Tetesi: Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!

Tetesi: Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!

Nimependa ulivyohitimisha simulizi yako Mjukuu,

"Kwa msada wa chanzo changu.."

Kwa kuwa Mimi na Mkwe wangu wote ni Wanyama, na hii habari inatunufaisha zaidi sisi mashabiki wa Simba SC, nitamshauri Mkwe wangu akutafutie Jersey ya Simba kama zawadi yako Mjukuu ili uhamie upande wetu 🤗
Kama anaweza ku-afford kununiwa siku nzima ajaribu Babu.
 
Injinia ana upepo tu.

Tunazikumbuka hustling zake kipindi mnambeba juu juu akiwaahidi asipochukua ubingwa aulizwe.
Hata kama ni ushabiki, upepo msimu wa 4 huu?
 
Wewe unaongea kama shabiki andazi tu kwasababu viongozi wa simba kwa utashi wao huwa wanaamua wamlete nani na sio kwamba wanafuata maoni ya wapuuzi kama wewe ambao hata humu ndani hamutumii majina muliyopewa na wazazi wenu...
Kwa mihemko hii bila shaka we utakuwa manager wa Pacome.

Unahisi kama nazuia mifereji ya neema sio?
 
Nitajie wachezaji wako wawili tu wenye uwezo kumzidi Aucho? Au Mzamiru?
Level ya Aucho sio ya kuifanyia comparison Simba labda Fountain Gate kushuka chini huko ndio utawapata wachezaji sampuli yake
 
Kama anaweza ku-afford kununiwa siku nzima ajaribu Babu.
Hebu ninong'oneze Babu yako, unataka tukutafutie zawadi gani ili uhamie upande wetu Mjukuu

Hata kama itatulazimu Mimi na Mkwe wangu tuhamishe Mlima Kilimanjaro ili uje hapa DSM kwaajili yako, tupo tayari 😜

Ila ujue Kwa hiyo rangi yako, Utapendeza maradufu ukivaa Jersey ya Mnyama 🤗
 
Hebu ninong'oneze Babu yako, unataka tukutafutie zawadi gani ili uhamie upande wetu Mjukuu

Hata kama itatulazimu Mimi na Mkwe wangu tuhamishe Mlima Kilimanjaro ili uje hapa DSM kwaajili yako, tupo tayari 😜

Ila ujue Kwa hiyo rangi yako, Utapendeza maradufu ukivaa Jersey ya Mnyama 🤗
Babu unaijuaje rangi yangu jamani?

Ila kweli, huwa nikivaa red nasifiwa kweliweli. Lakini, yeye anajua kiasi gani niko Yanga. Hatokaa athubutu kunishawishi.
 
Chemistry ya Yanga haiwezi kuvurugika kwa kukosekana wachezaji wawili kwenye timu. Nyinyi simba mtaendera kuwa chakula cha Yanga mpaka pale tutakoposema sasa inatosha!


Screenshot_20241016-171423.png
Screenshot_20241016-171504.png
Screenshot_20241016-171618.png
Screenshot_20241016-172018.png
 
Babu unaijuaje rangi yangu jamani?

Ila kweli, huwa nikivaa red nasifiwa kweliweli. Lakini, yeye anajua kiasi gani niko Yanga. Hatokaa athubutu kunishawishi.
Babu nitaachache kujua rangi za Wajukuu zangu 😜(jokingly)

To be honest, kwa umbile lako na hiyo rangi. Ukivaa Jersey nyekundu ama nyeupe ya Simba lazima upendeze

Nitamshauri Mkwe akununulie nyingi za hivyo halafu kwenye Kila mechi ya Simba awe anakupeleka

Automatic utajikuta unahamia Simba SC mdogo mdogo
 
Mwanachama bora wa mchongo, Mwanachama bora Uchwara
Nikukumbushe tu, hicho chanzo unachokiita uchwara ndicho kimenipa hadhi ya kutambulika kama mwanachama bora wa Jamii Forums kwa mwaka huu 2024.
 
Back
Top Bottom