Leo tumewashika penyewe Mtani hivyo semeni weeee sisi tunabakia ule upande wa Kigwa. ππYanga hadi mikataba ya wachezaji anakaa nayo GSM..
LAKINI HAUWEZI KUONA WAKIHOJI.
Wanasubiri mambo ya simba waanze kupiga kelele.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Natamani niisikilize hiyo Interview ya huko wasafi ambayo Chorii chorii anasema majibu ya 20b ndo yanapatikana huko. π
Aisee!! Ropo ropo kazi anayo kulinda ugali wake.
#barbara Fc.
Mtani kama nakuona tunavyokukerrrrrraaaaaa. [emoji28][emoji28][emoji28]
Tuko mbioni kuanzisha harambee ya kuchangishana pesa tuujenge kwa hela zetu Wananchi. Teh teh.
Hajachomoa ila tunataka kusaidiana naye. Hatutaki mambo ya GSM arena sisi.
Leo tumewashika penyewe Mtani hivyo semeni weeee sisi tunabakia ule upande wa Kigwa. [emoji41][emoji41]
#Majibundotunataka.
wayihamuhoji?.
Ndokusemamnatuigaama?
Hajachomoa ila tunataka kusaidiana naye. Hatutaki mambo ya GSM arena sisi.
Mtani kwa leo mtusamehe kwa kweli. Hayo tutajadili yakieleweka haya. πKabla ya kuanza kuhoji mambo ya simba.
Mnatakiwa muanze kuhoji mambo ya timu yenu yatakayo waletea maendeleo.
Sasa hivi kuwahoji GSM kuhusu AHADI yao ya kujengaa uwanja ndo jambo la msingi
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Mtani kwa leo mtusamehe kwa kweli. Hayo tutajadili yakieleweka haya. [emoji41]
Hatuezi waacha ndugu zetu mpotee.
Mtu mmoja ambaye ni mchepuko wa Mudi umehongwa taasisi inayoitwa Simba sport club
Hizi mambo za kukomoana tuziache tu Mtani kwani hakukuwa na jinsi ya Senzo kubakia ikiwa alishahitilafiana na huyu Barbara.Mlivyomchukua senzo mkadhani mmetukomoa?.
tumeweka chuma kipyaa mtoto mzuri kabisa na nina mpango wa kujiweka pale niwe baba ceo.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Hizi mambo za kukomoana tuziache tu Mtani kwani hakukuwa na jinsi ya Senzo kubakia ikiwa alishahitilafiana na huyu Barbara.
Nimecheka hivyo Mtani watamani uwe Baba CEO. Lol.
Subiria uone hapo ndo utashangaa.Mishahara ya wachezaji inawashinda MTAWEZA KUJENGAA UWANJA?..
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Subiria uone hapo ndo utashangaa.
Punguza jazba Mtani. πππππAcha wivu kwa mtoto wa kike..
ukiona hivyo cha kumpa anacho.
Au na wewe unataka upewe?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Punguza jazba Mtani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
#Barbara Fc. lol
Senzo ni bukheri wa afya Alhamdulillah.Senzo kaacha kazi Kaenda kuomba kibarua.
Anaendeleaje huko?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Mmarekani yuleHuyo Gonzalez Kama hajasoma vyuo Kama UDOM...TEKU..JORDAN..RUCO...SEKUKO..NA KANGE sisi hatumuamini kabisa katika utendaji wake. ( Utopolo et all 1960)