Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

Nioneshe nilipokiri kwamba mikia ni another level, nimesema nyie ndio mnajimwambafai kwamba simba ni another level lakini mbona unafananisha timu ambazo mnaona hampo level nao moja?

Kwa taarifa yako simba ndio alioiga mabadiliko ya kiuendeshaji wa timu kutoka kwa yanga kama ni kijana wa 2000's ndio nakutaarifu sasa (Rejea vita ya Yanga Kampuni vs Yanga Asili)

Yanga ipo kwenye transition lakini unafananisha na simba sports club company (ambayo dalili zinaonesha ni kampuni hewa)

Ngoja mudi airudishe simba ilipo African Lyon
Transition ipi hiyo,?Hakuna anayefananisha. Unapokuwa unaiga halafu unafanya makosa ya kipumbavu unakuwa mijinga zaidi ya aliyejaribu mwenyewe na kufanya makosa kama yapo.
Kwa sababu wewe una mfano wa kuiga.
Halafu unakiri kwamba Simba ni another level.
Kukosoa kwako ni sawa na maskini asiyekuwa hata na baiskeli anamkosoa tajiri anayefanya investment.
Halafu ukimuuliza huyo fukara anakuambia ohh mimi maskini wewe tajiri.
Kwani wewe unapoikosoa Simba unailinganisha na timu ipi?
 
Huyu bibie si nilisikiaga ndo chanzo cha senzo kuondoka
 
Sasa Kwan mashabiki hua tunataka Nini? Timu ishinde na ichukue makombe baaas, timu imilikiwe na familia, ceo awe demu wake watajijua wenyewe ilimradi timu inashinda na makombe inachukua Mimi furaha napata na sijatoa hata sh kumi. Upande wa pili mashabiki wanatembezewa bakuli na hawapati kitu ndio wanatamani turudi tuwe Kama wao.

Yanga mashabiki wanachangia na hawajui hata timu ikipata faida hela zao zitarudishwa ama laaa ilimrad timu yao iwe nzuri ipate matokeo. Tusidanganyane hapa mashabiki wote tunataka matokeo. Na wengi wanaojifanya kumponda mo ni mashabiki wa Yanga wanatamani mo ajiuzuru turudi kwenye kuchangishana waanze kututesa
Sasa hivi ni ngumu kumgombanisha moo na mashabiki wa simba.
Maana timu inafanya vizuri na uongozi upo vizuri.
Ngoja simba waanze kufanya vibaya ndo muanze maneno yenu

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Hajawahi kukopwa yeye kama yeye bali kampuni ya baba yake. Je yeye keshatoa hizo bil 20?
Kwani hiyo kampuni inasimamiwa na nani?, wewe ushachangia hata sahani ya chakula kwa siku kwa mchezaji wa Simba...
Pambana na hali yako kwanza utashikwa na vidonda vya tumbo.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
My point is on

Section 4 (a)
Kama point yako ni hiyo section unayoisema huu mkataba wote haupo valid kwani percentages zina makosa. Leta mkataba mpya tujadili hiyo pointi yako.
Mlianza mchakato according to you miaka ya 2000!!Na bado mpo kwenye transition!!
Ndio ushahidi wa uwezo wenu wa kufikiri. Mpaka ukamilike itakuwa 2040.
 
Kwa hiyo mbumbumbu mlisainishana mkataba feki [emoji3], ambao hauna uwiano ki %... Soma vizuri uelewe huo mkataba

Kuhusu Yanga kuchelewa it's not a big deal, Yanga haikurupuki, Yanga inataka timu iende kwenye mabadiliko yanayokubalika na kwa maslahi ya Mwananchi sio kwa maslahi ya mhindi na ma PA wake

Lazima simba arudi alipo African Lyon
Kama point yako ni hiyo section unayoisema huu mkataba wote haupo valid kwani percentages zina makosa. Leta mkataba mpya tujadili hiyo pointi yako.
Mlianza mchakato according to you miaka ya 2000!!Na bado mpo kwenye transition!!
Ndio ushahidi wa uwezo wenu wa kufikiri. Mpaka ukamilike itakuwa 2040.
 
Hajawahi kukopwa yeye kama yeye bali kampuni ya baba yake. Je yeye keshatoa hizo bil 20?
Rafiki nasikia kuna goli lingine huko. 🤣🤣
20200906_111857.jpg
 
Kwa hiyo mbumbumbu mlisainishana mkataba feki [emoji3], ambao hauna uwiano ki %... Soma vizuri uelewe huo mkataba

Kuhusu Yanga kuchelewa it's not a big deal, Yanga haikurupuki, Yanga inataka timu iende kwenye mabadiliko yanayokubalika na kwa maslahi ya Mwananchi sio kwa maslahi ya mhindi na ma PA wake

Lazima simba arudi alipo African Lyon
Huu mkataba umeletwa hapa na Utopolo wenzako.
Kufoji ni sera zenu .Mlijaribu kwa Tshishimbi mkatutangazia deal done.Mkajaribu kwa Morisson tunajua kilichotokea.Mkajaribu kuchana na ku paste mkakwama.
Transition miaka zaidi ya 20 and going ni uwezo mdogo wa kutafakari mambo.
 
Kwani kukopwa ni lazima?. Mbona jamaa kalichukulia personal. Si anapata mshahara wa ubunge na mafao?Hana uaminifu wa kukopa hata pikipiki pamoja na kuwa Waziri?Kwani si kuna maduka mengi ya pikipiki?
Halafu anataka tumuamini kwenye hoja zake ambazo sio mpya. Atuwekee hiyo inbox aache majungu.
 
Nimesoma CV ya huyo CEO mpya wa Simba sc, kwa kweli hapo tumepigwa 3 bila wana Simba wenzangu. Huyo mtu sio mwanamichezo wala hajawahi fanya kazi yoyote ya kimichezo. Mwamed ametuzidi maarifa sisi wenye hisa hewa 51%.

PIA WAWEZA SOMA HAPA CHINI KUONGEZEA TAARIFA ZA HUYO MREMBO


View attachment 1559522
Barbara Gonzalez
CEO,

MO DEWJI FOUNDATION
Barbara Gonzalez is the head of the Mo Dewji Foundation, a registered charity founded by Africa’s youngest billionaire, Mohammed Dewji. The foundation is dedicated to enriching the lives and alleviating Tanzanian citizens from poverty and hardship through health, education and community development. She is responsible for developing strategies to address some of the world’s most challenging inequities and leading all the foundation’s efforts to promote equity and sustainable livelihoods for all Tanzanians.
Gonzalez serves on the advisory board for Young African Leaders Initiative (YALI) Regional Leadership Center East Africa. YALI was launched by former President of the United States Barack Obama as a signature effort to invest in the next generation of African leaders.
Prior to the foundation, Gonzalez was consultant at Deloitte Consulting Limited Tanzania. She was involved in projects for public sector clients including USAID, UNICEF, World Bank and Plan International.
Gonzalez holds a master’s degree in development management from the London School of Economics and Political Science, and a bachelor’s degree with honors in economics and political science from Manhattanville College in Purchase, New York.
nafasi yake ipo zaidi kwenye management and project invention on how to raise the club financially in matter of creativity
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Nmejaribu kiwaza nje ya mada kidogo, hv km kweli Kigwa alijarbu kumkopa mo pikipiki ili naye akawapumbazie wapiga kura wake hv mbunge akipotea hata miaka hajafika jimboni mtamlaumu kwel.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Rafiki nasikia kuna goli lingine huko. 🤣🤣

Mawifi naona mmeanza kumsakama wifi yenu mpyaa. Sisi mashemeji tunamkaribisha kwa mikono miwili pale Jangwani. Tumeandaa biriani siku ya Ijumaa. Jiangalie sana, utasababisha Kaka ajinyonge, kule Zimababwe Bwana Mkubwa yeye alitaka kukabidhi Nchi kabisa!!
 
Mtu huwa anavuna anachokipanda.Kigwa kaingia choo cha kike.Angeandika proposal nyingine .
Huwezi kujua kama amekopeshwa pikipiki kwingine?
Hivi GSM wanauza au hata kukopesha pikipiki??Just curious!!!
 
Back
Top Bottom