Ndio maana timu mpaka sasa inashine mpaka mng'arishaji anakopwa.
Diih Kama kweli basi alikuwa pisi yake ...in and out[emoji38]...uko in [emoji39]..CEO nae hajakubali asee anarusha madongo kimwambao mwambao[emoji16][emoji16] hii timu ishakuwa LDIES FREE FCView attachment 1560241
Transition ipi hiyo,?Hakuna anayefananisha. Unapokuwa unaiga halafu unafanya makosa ya kipumbavu unakuwa mijinga zaidi ya aliyejaribu mwenyewe na kufanya makosa kama yapo.
Kwa sababu wewe una mfano wa kuiga.
Halafu unakiri kwamba Simba ni another level.
Kukosoa kwako ni sawa na maskini asiyekuwa hata na baiskeli anamkosoa tajiri anayefanya investment.
Halafu ukimuuliza huyo fukara anakuambia ohh mimi maskini wewe tajiri.
Kwani wewe unapoikosoa Simba unailinganisha na timu ipi?
Sasa hivi ni ngumu kumgombanisha moo na mashabiki wa simba.
Maana timu inafanya vizuri na uongozi upo vizuri.
Ngoja simba waanze kufanya vibaya ndo muanze maneno yenu
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Will be allotted 50% of the share capital!
Hii naona kama ni ya zamani, I expected to see 49%.
Kwani hiyo kampuni inasimamiwa na nani?, wewe ushachangia hata sahani ya chakula kwa siku kwa mchezaji wa Simba...Hajawahi kukopwa yeye kama yeye bali kampuni ya baba yake. Je yeye keshatoa hizo bil 20?
Kama point yako ni hiyo section unayoisema huu mkataba wote haupo valid kwani percentages zina makosa. Leta mkataba mpya tujadili hiyo pointi yako.My point is on
Section 4 (a)
Kama point yako ni hiyo section unayoisema huu mkataba wote haupo valid kwani percentages zina makosa. Leta mkataba mpya tujadili hiyo pointi yako.
Mlianza mchakato according to you miaka ya 2000!!Na bado mpo kwenye transition!!
Ndio ushahidi wa uwezo wenu wa kufikiri. Mpaka ukamilike itakuwa 2040.
Rafiki nasikia kuna goli lingine huko. 🤣🤣Hajawahi kukopwa yeye kama yeye bali kampuni ya baba yake. Je yeye keshatoa hizo bil 20?
Huu mkataba umeletwa hapa na Utopolo wenzako.Kwa hiyo mbumbumbu mlisainishana mkataba feki [emoji3], ambao hauna uwiano ki %... Soma vizuri uelewe huo mkataba
Kuhusu Yanga kuchelewa it's not a big deal, Yanga haikurupuki, Yanga inataka timu iende kwenye mabadiliko yanayokubalika na kwa maslahi ya Mwananchi sio kwa maslahi ya mhindi na ma PA wake
Lazima simba arudi alipo African Lyon
My point is on
Section 4 (a)
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna tofauti kubwa sana kati ya msimamizi wa mali za familia na mwenye mali.Hajawahi kukopwa yeye kama yeye bali kampuni ya baba yake. Je yeye keshatoa hizo bil 20?
Wanazidi kuharibu [emoji23]CEO nae hajakubali asee anarusha madongo kimwambao mwambao[emoji16][emoji16] hii timu ishakuwa LDIES FREE FCView attachment 1560241
nafasi yake ipo zaidi kwenye management and project invention on how to raise the club financially in matter of creativityNimesoma CV ya huyo CEO mpya wa Simba sc, kwa kweli hapo tumepigwa 3 bila wana Simba wenzangu. Huyo mtu sio mwanamichezo wala hajawahi fanya kazi yoyote ya kimichezo. Mwamed ametuzidi maarifa sisi wenye hisa hewa 51%.
PIA WAWEZA SOMA HAPA CHINI KUONGEZEA TAARIFA ZA HUYO MREMBO
View attachment 1559522
Barbara Gonzalez
CEO,
MO DEWJI FOUNDATION
Barbara Gonzalez is the head of the Mo Dewji Foundation, a registered charity founded by Africa’s youngest billionaire, Mohammed Dewji. The foundation is dedicated to enriching the lives and alleviating Tanzanian citizens from poverty and hardship through health, education and community development. She is responsible for developing strategies to address some of the world’s most challenging inequities and leading all the foundation’s efforts to promote equity and sustainable livelihoods for all Tanzanians.
Gonzalez serves on the advisory board for Young African Leaders Initiative (YALI) Regional Leadership Center East Africa. YALI was launched by former President of the United States Barack Obama as a signature effort to invest in the next generation of African leaders.
Prior to the foundation, Gonzalez was consultant at Deloitte Consulting Limited Tanzania. She was involved in projects for public sector clients including USAID, UNICEF, World Bank and Plan International.
Gonzalez holds a master’s degree in development management from the London School of Economics and Political Science, and a bachelor’s degree with honors in economics and political science from Manhattanville College in Purchase, New York.
Rafiki nasikia kuna goli lingine huko. 🤣🤣