Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

Mkuu, huyo jamaa ni Utopolo wala usihangaike nae.
 
MUDA UTAAMUA
 
SHUKRANI KWA SHULE HII BILA ADA
 
watu mnakuwa wajinga. mpaka muhasibu mtahitaji awe mwanamichezo
 
If wishes were horses beggars would ride on them.Keep dreaming. Manyani kila siku wamekuwa doom sayers. Kila siku kuishi kwa uzushi na husda.
Mpira unachezwa uwanjani .
 
Nchi imejaa wajinga wengi sana kibaya zaidi hawajui kuwa hawajui kitu.

Kazi yao kubwa ni kupiga majungu tu na kuzalisha michepuko.

Mtu kuwa CEO kwenye football Club siyo lazima awe mtu wa mpira.

Kwani Saad Kawemba wakati anakuwa CEO wa AZAM alikuwa ana historia ya kuongoza football club popote ?

Au Popat wa sasa pale AZAM ana historia ya kuongoza football club yoyote ?

CEO kazi yake kubwa ni corporate management of the club simba waende mbali zaidi wateue na Sporting Director tena Walete Mzungu kuajiri mswahili ni kusogeza wapiga majungu tu.

Unaweza ukamwajiri leo kesho anaanza rumours kuwa unatafuna wafanya usafi wa club.
 
Nyinyi mmeweka hata shilling tano ?
[/QUOTE]
Looh kweliiiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nyinyi mmeweka hata shilling tano ?
Looh kweliii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][/QUOTE]Jibuni basi kama mmeweka hata hiyo shilling tano ?

Siyo kulilia pesa za wenzenu wakati nyinyi hamjaweka hata mia otherwise mnafanya majungu tu kwa sababu sasa hivi hampati gate collections
 
Reactions: Tui

Sijawahi kukutana au kuona Mwanamke mzuri ( Mrembo ) hasa halafu tena akawa 'Kichwani' mwake Kiuweledi na Kitasnia akawa ni Mtupu kabisa.
 
[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]πš”πšŠπšπš’πš”πšŠ πšžπš‹πš˜πš›πšŠ πš πšŠπš”πš˜,πšŽπšπš’ πš—πš’πš–πšŽπšŠπš–πšŠ πšœπš’πš–πš‹πšŠ[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
π™Όπšžπšžπš•πš’πš£πšŽ πšŠπšœπšŽπš›πš—πšŠπš• πš’πš–πšŽπšŒπš‘πšžπš”πšžπšŠ πš•πš’πš—πš’ πš”πš˜πš–πš‹πšŽ πš•πšŠ πšŽπš™πš•? π™±πšžπš πš”πš’ πšπš’πš—πšŠπš—πšŒπš’πšŠπš• πš πšŠπš™πš˜ πšŸπš£πš›
 
πš†πšŠπšœπš’πš”πšžπšœπšžπš–πš‹πšžπšŽ πš”πš’πšŒπš‘πš πšŠ 𝚠𝚊𝚘 πš—πš’ πšžπšπš˜πš™πš˜πš•πš˜ πš”πšŠπšπš’πš”πšŠ πšžπš‹πš˜πš›πšŠ 𝚠𝚊𝚘, πš πšŠπšžπš•πš’πš£πšŽ πš‘πšžπš’πš˜ πšœπšŽπš—πš£πš˜ πš πšŠπš•πš’πš˜πš–πšŒπš‘πšžπš”πšžπšŠ πš πšŠπš•πš’πšπšŠπš—πšπšŠπš£πšŠ πš πšŠπš™πš’ πšŠπš“πš’πš›πšŠ πš’πšŠπš”πšŽ?
 
Namuheshimu sana Mo naiheshimu sana Body ya wakurugenzi wa klabu ya simba.

Nasikitika simba bado kuna Uswahili wa kutosha,kweli ukatuletee mtu asie na elimu ya management/utawala wala hata kuujua mpira.

Huu ni mtego mkubwa sana ndani ya Klabu, amewekwa kwa ajiliya bilion 20????

Tuendelee kutafakari.#
 

Ndiyo maana ameamua kumpa ulaji kila kona hata asipositahili. Ataisoma namba mashabiki tukichachamaa pindi timu itakapokuwa inafanya vibaya. Kuna vitu vinafikirisha, kwa nini viongozi walio upande wa mashabiki kila siku wanatenguliwa na kuwekwa awapendao tu?, tujipe muda kumuondoa Mwamed huko mbeleni maana amezidi ujanja ujanja hata zile 20B ni zaidi ya miaka mitatu kila siku chenga.[/QUOTE][emoji1787][emoji1787][emoji1787]πšŽπšπš’ πš£πšŠπš’πš 𝚒𝚊 πš–πš’πšŠπš”πšŠ πš–πš’πšπšŠπšπšž, πš πšŠπš”πšŠπšπš’ πš–πš πšŽπš£πš’ πšžπš•πš’πš™πš’πšπšŠ πš”πšŠπšπš’πš”πš’πšœπš‘πšŠ πš–πš’πšŠπš”πšŠ πš–πš’πš πš’πš•πš’ πš—πšπš’πš˜ πšŠπš—πšŠπšŽπš—πšπšŠ 𝚠𝚊𝚝𝚊𝚝𝚞, πš“πšŽ πš–πšŒπš‘πšŠπš”πšŠπšπš˜ 𝚠𝚊 πš–πšŠπš‹πšŠπšπš’πš•πš’πš”πš˜ 𝚠𝚊 πš’πšŠπš—πšπšŠ πšžπš—πšŠπšŒπš‘πšžπš”πšžπšŠ πš–πš πšπšŠπš—πš’?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…