Simba, Yanga na Taifa Stars mtumieni Rais Samia sasa 2024 na 2025, kwani kuanzia 2026 msitegemee kuona akiwasaidia kwa lolote lile

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwakuwa tayari mmeshakubali Kutumika nae kama Mtaji wake wa Siasa na kumhakikishia Ushindi na ameshawawekeni Mtegoni mwake na mmejaa vizuri kwa mwaka huu 2024 na 2025 atawamwagieni sana Fedha zake ila akishapita tu Oktoba 2025 msitegemee kumuona akihangaika nanyi tena kwa lolote lile kwani alitaka kuwafanya Ngazi / Daraja la kuelekea kule anakokutaka na kweli kwa 99% mmemfanikishia hilo.
 
Kwa nini asiwasaidie wakati ana dhamana ya kufanikisha Afcon?

Wacha uzushi wa kijinga basi.
 
Popoma tuliza mshono acha kujaza servers za JF na posts uchwara.
 
Nia na Dhamira ya ya Rais na kipenzi pekee cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan kwenye michezo, hususani wa mpira wa miguu, ni ya kudumu.

Asitokee yeyote wa kupotosha dhamira hiyo njema ya Rais, ambayo pia ni agenda ya serikali sikivu ya CCM, iliyoanishwa vyema sana kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM.

Mungu Ibariki Tanzania 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…