Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nani amesaini kwa niaba ya Simba , Kaduguda , MO au Babra ?
Timu ya soka ya Simba leo Julai 14, 2022 imeitangaza kampuni ya ubashiri ya M-Bet kuwa mdhamini wake mkuu kwa muda wa miaka mitano. Awali Simba ilikuwa ikidhaminiwa na kampuni ya ubashiri ya Sportspesa ambayo mkataba wake umefika ukingoni.
Mkataba huo ulisainiwa Julai 01 na taarifa zaidi juu ya udhamini huo zitatolewa Agosti 01, 2022.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejua kunifurahishaaa. Umemuwezea haswaaa.Maoni ya mdau gani huko PM, vipi kama huyo mdau nae ana akili kama zako? Yani seriously unataka watu wazima na akili zao humu waamini unachokisema kwakua kuna mdau wako kakutumia maoni PM?
AU na wewe nae unataka kujifanya kuwa una connection kutoka bodi ya wakurugenzi na viongozi wa Simba Sc, kama mwenzako demigod ?
Hebu acheni utoto[emoji23]
Wee mtu mwenyewe upo kwa shem wako kutwaa kushinda JF, hapo watu uwatolee wapi? Hebu hapa sio FB? jishikilie wee kijana. LolNiamini mm Mzee wangu.....watu tuna watu wetu kwenye hizi timu za kariakoo
Hujaolewa Bado?Wee mtu mwenyewe upo kwa shem wako kutwaa kushinda JF, hapo watu uwatolee wapi? Hebu hapa sio FB? jishikilie wee kijana. Lol
Hawa dawa yao ni kuwapiga spana tuπ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejua kunifurahishaaa. Umemuwezea haswaaa.
Basi kulikuwa hakuna haja ya kuvaa hata hiyo Logo ya M-Bet kama bado hamjafikia makubalio yoyote ya kimkataba kati yao
Wangevaa T-shirt zao plain bila mdhamini mpk hapo watakapokubaliana kila kitu
Kitendo cha kuvaa nembo mdhamini bila makubaliano yoyote kukamilika,sio utaratibu mzuri wa uendeshwaji wa timu kisasa ila timu inaendeshwa kwa mihemko
Imenibidi kurudi kuangalia tena hiyo taarifa, sijaona mahala inatamkwa bil 15, kilichotamkwa ni miaka 5. Au kuna taarifa tofauti?
Sasa huyu mtu anayekuja na figure ya bil 15 anaipatia wapi?Hawajataja ili kumuweka tarimba kwenye mtego. Maana naye aliwafanyia uhuni.
Kwani unataka nikuoe??Hujaolewa Bado?
Kabisaaaa.Hawa dawa yao ni kuwapiga spana tu[emoji23]
Aya sawaKwani unataka nikuoe??
UjueWatu Wamebandua Sportpesa Wameweka M-Bet..Wakati Hawa Huwa Wanajisifu Mambo Yao Wanafanya Kiuweledi Hii Vp Tena?? [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2291038View attachment 2291042
Niamini mm Mzee wangu.....watu tuna watu wetu kwenye hizi timu za kariakoo
Mkuu mbona makasiriko ni mengi hasa kwa mm JoblessYaani wewe graduate kapuku usie na kazi maalumu ndo uwe na watu???
Oneni hii ng'ombeπππππ
Mkuu mbona makasiriko ni mengi hasa kwa mm Jobless
Hata hivyo kijana hunijui wala sikujui,wala tusichoshane sanaDogo wewe kama kijana pambania hali yako ya kiuchumi acha ushabiki maandazi. Yaani mtu huna Hata laki 3+ cash unashinda mitandaoni kupiga kelele za kiushabiki?? Hizo kelele waachie wale ambao wanaingiza pesa kupitia kelele hizo, wewe kama kijana mwenzangu ambao bado tunahaso (hustle), tushabikie mpira kama burudani (refreshment) hasa baada ya kuchapa kazi na kufunga mahesabu ya siku!!!