Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
[emoji23][emoji23][emoji23] Unamwonea wivu babra. Unatamani ungekuwa mrembo kama yeye ukawa ndo unaliwa na Mo... Punguza makasiriko....
Anashangazwa sana kutojua mambo rahisi kama haya..!Duuuh ko wachezaji wakiwa chini ya kiwango wabaki? Au kocha asipotimiza malengo ya club aachwe?? Yaan huu msimu m1 ndo barbrah anaonekana mbaya?? Mmmh extrooo hapana hauko serious.
Al Ahly wametimua pitso kisa kukosa CAFCL mwaka huu, au hukuona?? Kuna team isiyofungwa duniani??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] katulia kimyaaaa.umekuwa mpole unauliza mambo kwa nidhamu kubwa kabisa [emoji108][emoji108][emoji108]
Rudi tena shule, hiyo 20b ni 49% tu ya Mo. Nenda kanunue hizo 51%Thaman ya Simba billion 20 Ila imeingia mkataba wa billion 26
Afadhali ili muache sasa kubandua label kwenye jezi
kwa kweliAfadhali ili muache sasa kubandua label kwenye jezi
Nadhani ni vyema ukaja na document zinazoonyesha ni wapi zilipo zile 40B za Azam, bila kusahau zile mlizosaini juzi na SPESA.MIMI NINA SWALI KWA MUDY, B20 ZETU ZIKO WAPI?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee unanivunja mbavu mnooo.Tunatisha manina. Tik Tok waje tuwape bega kwa 1b kwa mwaka. Barbara lete matangazo mwili mzima [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Tena barbra ana huruma,mimi boko,nyoni,muzamilu,gadiel,kagere,mugaru ningewapiga risasi kabisaDuuuh ko wachezaji wakiwa chini ya kiwango wabaki? Au kocha asipotimiza malengo ya club aachwe?? Yaan huu msimu m1 ndo barbrah anaonekana mbaya?? Mmmh extrooo hapana hauko serious.
Al Ahly wametimua pitso kisa kukosa CAFCL mwaka huu, au hukuona?? Kuna team isiyofungwa duniani??
Club zishauriwe zisiwe zinaingia mikataba zaidi ya miaka 3. Miaka 5 ni mingi mno, mambo yanaweza kubadilika kwa kiasi kwamba ukiwa na mkataba wa muda mrefu unaweza baki unaugulia maumivu ya mkataba.Mbona mnapovukwaaa?.hamuamini macho yenu?.simba inawaanzishia nyinyi kazi yenu ni kuja kunakili. We are unstoppable
Waelezeeeeeeeeeee!!!!! WoyoooooooooooohRoho zinawauma bure tu, lakini hata nyinyi mnajua kuwa umaarufu wa Simba Sc na ufikiaji wa hatua kubwa (Brand) ni mkubwa kuliko ule wa kwenu (Yanga Sc).
Mfano mzuri ile VIST TZ ingekuwa na mchongo wa hela unadhani ni nani alistahili kunufaika nayo, incase vilabu viwili vingeamua kitumiwa?
Brand ya Simba Sc ni kubwa kuliko ile ya Yanga.
Kumbe thamani ya team ni 49%....?Thamami ya team 20B thamami ya mkataba kwa miaka mitano 26B [emoji36][emoji36] basi sawa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
sawaNadhani ni vyema ukaja na document zinazoonyesha ni wapi zilipo zile 40B za Azam, bila kusahau zile mlizosaini juzi na SPESA.
Ukiweza kuzileta hapa na kila mtu akaamini, sidhani kama kuna shabiki yoyote yule wa Simba Sc atashindwa kukuonyesha zile 20B za MO zilipo.
mwanaume na zile kende kuwa mbea sio vizuri.Mkataba ndio ule ule wa M bet bilion 12.5 kwa miaka mitano. Kama walifikiri ni siri hakuna siri ya watu zaidi ya kumi. Watakacho fanya ni kuwalaghai mashabiki wa mbumbumbu fc.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan leo Extroo kaniahangaza mnoo.Anashangazwa sana kutojua mambo rahisi kama haya..!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena barbra ana huruma,mimi boko,nyoni,muzamilu,gadiel,kagere,mugaru ningewapiga risasi kabisa
Terms ni win win situation, usiizungumzie Simba tu. Vaa viatu vya M-bet, ili watoboe wamedinda miaka 5 utafanyaje kama hakuna dau nono la miaka 3? Kumbuka M-Bet hakuwa peke yake, kulikuwa na Evaluation Committee yenye wasomi wakichekecha mikekaClub zishauriwe zisiwe zinaingia mikataba zaidi ya miaka 3. Miaka 5 ni mingi mno, mambo yanaweza kubadilika kwa kiasi kwamba ukiwa na mkataba wa muda mrefu unaweza baki unaugulia maumivu ya mkataba.
Huwezi kujua kila kitu ana majukwaa yake ya kujidai,na inapokuja swala la simba na yanga profesa na mzoa taka wote huwa na akili sawa😄😄😄[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan leo Extroo kaniahangaza mnoo.
Sijaamini km ndo yeye, khaaah
Simba haitakiwi kufungwaDuuuh ko wachezaji wakiwa chini ya kiwango wabaki? Au kocha asipotimiza malengo ya club aachwe?? Yaan huu msimu m1 ndo barbrah anaonekana mbaya?? Mmmh extrooo hapana hauko serious.
Al Ahly wametimua pitso kisa kukosa CAFCL mwaka huu, au hukuona?? Kuna team isiyofungwa duniani??