Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
QuwmqmaqoUlitaka MO akukaze ww? Acha kuonea wivu wanawake wenzako..shubaamiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
QuwmqmaqoUlitaka MO akukaze ww? Acha kuonea wivu wanawake wenzako..shubaamiti
Huyu jamaa kumbe akili Hana kabisa,Alijichanganya kivipi sasa? Mwanaume kuwa na wivu na mwanamke ni aibu kubwa sana. Ulitaka wewe ndio uwe CEO?
Haya sasa SIMBA bado haijakidhi vigezo vya kuwa KAMPUNI as per TUME YA USHINDANI (FCC)
Hivyo Simba inatambulika kama NOT FOR PROFIT ORGANIZATION (NGO) bado, ambao bado wanategemea SPONSORSHIP, SUBSCRIPTION FEES na Winners katika mapato yao. Hivyo wao kama Simba hawana PROFIT wana SURPLUS tu.
Je NGOs wanalipa INCOME TAXES kwa sheria zetu za KODI??
Quwmqmaqo
kawaida ya wa kina mama hawapendani,tumsamehe tuUlitaka MO akukaze ww? Acha kuonea wivu wanawake wenzako..shubaamiti
Tuliza upele basi sikuhizi sili vitopeYa mama ako ipo mgongoni we khanithi?
Hiyo kiwango ni yakwako jombaa. Ni kimango/mtonyo/jax/ngawira.Kimango [emoji777] Kiwango [emoji736]
Sawa jems delishazkawaida ya wa kina mama hawapendani,tumsamehe tu
una dada na mama au binti?Mo alijichanganya sana kumleta huyu malaya wake Simba Sc
Bint ninae mkuuuna dada na mama au binti?
Timu aishindi tatizoWe jamaa kumbe huna akili, Sasa unamtukania Nini dada wa watu? au mafanikio yake na club yanakukera
tukimuita malaya nae? Au marehemu mamako?Bint ninae mkuu
As long as si malaya we muite tutukimuita malaya nae?
Na marehemu mamako?As long as si malaya we muite tu
Msifike huko ,japo mi ni mnyama turudi kujadili madaNa marehemu mamako?
Alitaka yeye ndio awe malaya wa moAlijichanganya kivipi sasa? Mwanaume kuwa na wivu na mwanamke ni aibu kubwa sana. Ulitaka wewe ndio uwe CEO?
Kama idris sultan mpunga wa big brother aliulipia income tax itakuwa kwa timu,kama kanisani tunatoa fungu la kumi kwa kila kipato mwigulu ndio akuachieMkuu nani alikuambia NGO’s hazilipi income tax? NGO’s, charitable organizations na religious institutions zinalipa kodi kama kawaida, watu wengi hudhani hizi institutions ziko exempted kulipa kodi...sema tu mode ya kuzi tax iko very technical. Kwa msaada zaidi soma kufungu cha 64 cha The Income Tax Act utapata mwanga. Hili ni eneo pia mie nimefanya Thesis yangu ya undergraduate naweza kukupa lecture kidogo. Huwezi kuingiza faida halafu eti wakuache tu (vilabu vya mpira kwa sasa vinafanya biashara so TRA hawezi kuwaacha)
team ipi?! Kwamba haijawai kushindaTimu aishindi tatizo
kwa Gsm ni kweli kabisa,wakati wa Aveva alitaka kuja kuwekeza ila mambo yakaingiliana baada ya kuona Simba haieleweki kipindi kileNiliwahi sema kuwa hata gsm ni simba damu kawaida tu hiyo
Namshangaa jamaa, yaani uingize 26.1B halafu Serikali ukuangalie tu kwa vile wewe sio KampuniKama idris sultan mpunga wa big brother aliulipia income tax itakuwa kwa timu,kama kanisani tunatoa fungu la kumi kwa kila kipato mwigulu ndio akuachie