Simba yatolewa kwa penati 4 - 3 | Orlando Stadium

Nilimwambia pilipili isoila ,yakuwashia nn??


Aache Wanasimba tutangaze zetu.


Sisi mbona hatuna shobo na mtu!!.
MAKOLOKOLO mnafurahisha sana, kwa taarifa yako hapo mpo kimya kama maji ya mtungini, lakini kimbembe ni ikiwa mtashinda hiyo mechi dhidi ya Orlando Pirates, utaona jinsi gani MAKOLOKOLO FC huwashwa washwa na YANGA FC hata kama hachezi naye ana kwa ana [emoji23]
 
Kila la heri mnyama
 
Full-time Orlando 0 Simba 0
Hahaha, kusema kweli leo zikiwa chache ni tatu bila. Kwa zile dakika kumi za mwisho walizocheza pale Lupaso nikiangalia na backline yetu na viungo wetu alafu lile pira walipige dakika tisini hakuna pa kutokea.
 
Simba atafungwa nyingi tu na Kisha kutolewa nje ya mashindano.
 
Naona leo mmewahi kujianzishia uzi

Guvu moya

All the best Orlando pirates πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Friends of namungo msikasirike sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…