joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Zile dk 5 za mwanzo kasave mbili za hatari.Manula kajitahidi kwa kweli,maana simba wangeshatoka mapema ndani ya dakika 90,manula kawapa heshima kutoka kiume,hongera manula aliyewacost simba si mwingine ni mugalu
Pole kwa maumivu MAKOLOKOLO, meza Panadol kwa maji ya bariiidi usije kufa kwa uchungu toka kwa Orlando Pirates [emoji28]Yaone
Nyie mmeishia wapi???Wanaume wako nusu fainali
Ahahaahhha simbaaalooZis iz Thimba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Amecheza vzr sn leo, da Mungu amsaidie tu arud hali yake ya kawaida.Ulivyoandika hapo, nimekumbuka alivyokuwa anatetemeka hadi kachozi kamenitoka. Hopeful atapata msaada sahihi; atakuwa sawa tu
Amen 🙏🙏🙏Amecheza vzr sn leo, da Mungu amsaidie tu arud hali yake ya kawaida.
Eti kafa kiume, mtakaliaga na iyo misamiati miaka yote na mnaishia apo apo, wénzenu wanawatumia Kama daraja la kufuzu nyie mnakalia mambo ya kafa kiume,,,shame on youSimba mwanaumeee...
Kakomaaa sanaa
Kafa kiumeee
Mayele Anawazoom Tu [emoji1787]Hasira tunamalizia tarehe 30
Huko mlipokuwepo hamkuwa na hasira?Hasira tunamalizia tarehe 30
OYAAAA [emoji1787]
Tutatetema naye🤣🤣Mayele Anawazoom Tu [emoji1787]