Imani iendane na uhalisia mkuuImani ni kitu muhimu Sana kuelekea kwenye mafanikio.
Huna akiliHmmh kuna mwana Simba Sc asiyetaka ifuzu kungia nusu fainali tofauti na mabumunda ya GSM? Hivi kwanini msijivunie tu kuwa mashabiki wa li team lenu (yanga)??
Yani hamna kabisa furaha licha ya liteam lenu kuongoza ligi??
Orlando PiratesUmekumbuka maturubai maana msiba wako unaweza kugeuka sherehe maturabai yakasaidia pia.
Sasa Leo Ndo Utajua Kati Ya Yeye Na Nyie Nani Boya.Umesahau aliomba poo huyu boya wako
Wakuu kwa kikosi hicho tunacheza mfumo gani?Kikosi cha Simba SC KinachoanzaView attachment 2199141
Sawa, tutaziona.Kabisa mkuu, zile kelele za kusema Simba Sc hana kikosi cha kucheza nusu fainali zitaisha leo.
Beki sita. Jumlisha na Mkude na Kanoute (mids za kukaba) jumla nane!Kikosi cha Simba SC KinachoanzaView attachment 2199141