Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Mi Sina kinyongo mkuu,na huwa Sina roho mbaya Kwa maendeleo ya jirani yangu maana ndiyo huwa ananipa hasira namm kupambanaUtatuona hivi hivi tukitinga nusu fainali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi Sina kinyongo mkuu,na huwa Sina roho mbaya Kwa maendeleo ya jirani yangu maana ndiyo huwa ananipa hasira namm kupambanaUtatuona hivi hivi tukitinga nusu fainali
Kwakweli ile formation sijaielewa japokuwa hatujafungwa ila risk ni nyingiDah!..Pablo arekebishe makosa aisee, tuwe makini sana kwenye hichi kipindi cha pili.
Kweli mkuuIkibidi iwe hivi, Wawa ana wenge sana
Shika adabu yako wewe, unaona watu wamezamia sio? Sema watafutaji wanaume halisi. Sio wewe upo kwa mtogoleKuna vibe hapo kiwanjani hatari,Mikia nikama wapo Kwa Ben tu..... wazamiaji wa Sauzi wameitikia wito vizuri.......
awa wanafungika Simba wakirudi kwenye utulivu wake wa mipira ya chini.Wepesi sana mbona, Simba pigeni kimoja tu kinawatosha.
Yani nashindwa Hadi kuchati Kwa jinsi presha inavyopanda..sijui kipindi cha pili itakuwaje asee!!!Kwakweli ile formation sijaielewa japokuwa hatujafungwa ila risk ni nyingi
Imetufanya tushambuliwe Sana, sema ubora wa Manula umesaidia.Kwakweli ile formation sijaielewa japokuwa hatujafungwa ila risk ni nyingi
Upinzani wa jadi na kusagiana kunguni ni noma.😂Team zote za South zimetoka imebaki Orlando, kwahiyo hao unaowaona wanaisagia kunguni Orlando itoke pia ili mitaa itulie[emoji23].
Haya mambo sio kati ya Simba na Yanga tu, hata kwa wenzetu huko.
Shida ni umakini wetu mdogonkwenye kuzuia, hapa tuendelee kuomba wao wafanye makosa ya kutukosa kosa hivi hivi.Kwangu bora concentration yetu iwe kukaba kwanza, then kushambulia kuwe secondary objective, kwa ubora wa hao jamaa hasa baada ya kuwafunga lile goli mpira walioanza kuucheza kwa Mkapa sio wa kupishana nao, tutulie kwetu waje tuzuie kwanza.
Pole mkuu. Hii game tuliiona jana, full time Orlando 0 Simba 0Yani nashindwa Hadi kuchati Kwa jinsi presha inavyopanda..sijui kipindi cha pili itakuwaje asee!!!
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Naivizia vizia ubwabwa wa Mama home mkuu,siyo lazima wote tuzamie Sauzi.....sema nawewe nikupe mchongo wa kuingilia Malawi...... ungekuwepo dimbani hapoShika adabu yako wewe, unaona watu wamezamia sio? Sema watafutaji wanaume halisi. Sio wewe upo kwa mtogole
Kina Wawa? 🤣🤣Tuombe second half umakini wa wachezaji usipotee mpaka sasa Boys wamepambana sana.