OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Haaa haaa mwenye penati anajulikana. Kaingia kwenye kumbukumbu ya hatrick ya save. Tena zingine kazimezaπ€£πππ nani kakwambia mtani kuwa hazina mwenyewe?
Mwenyewe keshapatika ni Ally Salim Katoro ππ€£
Au nasema uongo ndugu zangu Kalpana cocastic Scars OKW BOBAN SUNZU Bantu Lady
Penalty hazina mwenyewe...haaahaaa sawa mtani pole piaTukutane kwenye Ligi kuu. Yaliyopita si ndwele. Tumekubali matokeo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bob, tumia tu kiswahili. Unaandika pumba kwa kiingereza. Au umetumia google translation? Lugha ya English kama huifahamu andika kwa kiswahili angalau ueleweke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa ana masifa ya kishambaa, limebaki janaa mbwaaa kuaibikaaa.Jamaa waga anastaili flani ya kuzomea, jana mara baada ya Moze Phiri kupiga penalt mwendo kasi, basi diara alikimbia huku akicheka kwa dharau utafikiri anangoja tu kuveshwa taji kwani kazi keshamaliza,
Maskini kiburi si maungwana na raiti angejua nadhani ile mikwara asingefanya kamwe kama jina la afisa habari wake.
Amezinguliwaa yeye. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ile ni njia ya kuwa zingua kisaokolojia wapigaji wanao fuata ..
sikuona kosa lolote kwake kufanya vile.
ni mpira
Muambieniii aendeleee kudevelekaaa, tena azifate camera ya azam akazoom, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kushangilia ni haki yake kwasababu ni kitendo kilichoonesha dalili ya ushindi kwenye timu yake kwa wakati ule, au mkuu ulitaka amkumbatie phiri kwa kukosa penalty
Uko sahihi, na haipingwiiiiiiiii[emoji1787][emoji23][emoji38][emoji2] nani kakwambia mtani kuwa hazina mwenyewe?
Mwenyewe keshapatika ni Ally Salim Katoro [emoji38][emoji1787]
Au nasema uongo ndugu zangu Kalpana cocastic Scars OKW BOBAN SUNZU Bantu Lady
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya futa machoziii sasa.Tumeridhika kwa matokeo. Mwamuzi amechezesha vizuri. Tumeshindwa kuzitumia nafasi tulizopata.
Hivyo nawapongeza kwa kuchukua Ngao ya Jamii msimu huu kwa changamoto ya mikwaju ya penati.
Jana limekomeshwa na dharau zake zote fyaaa, limebakii aibuu tyuuuh.Diara ana dharau sana ila mpaka umuangalie kwa jicho la tatu. Nb mimi simba lia lia
Na aliyefuzu kuingia jeshini kafahamika.Simba hakuna Timu pale muda utaongea...
Jana mmepigishwa gwaride la JKT lile...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa.Kwani Diara alikatazwa kutoka nje ya mstari. Acheni ushamba pori.
Si wachambuzi tu, bali na wale wanaoishabikia timu ambayo na wewe unaishabikia!mkuu wachambuzi wote leo wanashangaa refa na vibendera kuruhusu kipa kutoka kabla ya pigo la penati
Regardless of the final results, Yanga are still the team to beat this season. Simba have run out of gas in the second half while Yanga seemed to get stronger and stronger.Kakosea wapi?
Yanga mwenzangu ila umeandika Utopolo. Mabingwa wa sasa wa Dunia walishinda Ubingwa kwa Penalty
Huu sasa ndiyo uanaumeTukutane kwenye Ligi kuu. Yaliyopita si ndwele. Tumekubali matokeo.
Aibu kweli.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa ana masifa ya kishambaa, limebaki janaa mbwaaa kuaibikaaa.
Limekomaaa kirangaa choteee fyaaaa.
Maneno yasiwe mengi sanaa tunasemajeee "Aliyapanda kapandaaa" π Simba Mnyama fo laifuuuuWekundu wa Msimbazi wameanza msimu mpya wa Soka wa 2023/2024 kwa kishindo sana, je wanaweza kurejesha ubingwa wao waliopoyeza kwa miaka miwili mfululizo?View attachment 2717044
Ndio tumeshamaliza hivyo mkitaka turudiane tenaKwa mpira mliochezewa jana, msiongee mkamaliza.