ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
- Thread starter
-
- #141
51’ Singida Wanapata Free Kick Nje ya 18
Umetisha mkuu kazi nzuri yaan nimepata clear updatesUPDATE
DAKIKA YA 63
AZAM FC 2 (01’ Dube, 42’ Sopu)
SINGIDA FOUNTAIN GATE 0
Singida FG wanafanya Mabadiriko, Anatoka Ambundo Anaingia Kaseke.
Upande wa Azam Kipre JR ameingia
Acheni polimilai....yani mkishinda nyie hakuna ajenda tukishinda sisi kuja ajenda..acha boli litembeeNaitakia ushindi mnono timu yangu ya Wananchi, hata kama hao waandaji wana ajenda zao za siri za kutaka kuibebba timu fulani kupitia waamuzi wa kike! Ila naamini haki itapatikana tu.
Nyingi tuAzam wangecheza na simba wangeshinda
Hakuna cha ajabu..ni kama tuu sisi tulivyiwapiga 2 kwa 0....bado kidonda kibichiiMadunduka mnapata picha gani hapa, mtu aliwesumbua hadi penati amepigwa na mtu tuliyempiga kama dufu...
HaupendeziYANGA BINGWA
Dalili za hatari.Bado moja