Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria

Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria

Kwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake iitwayo vicarious liability ya malezi mabovu ya wazazi, hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment iliyosababishwa na makosa ya kijana wake, mzazi anawajibika kwa kosa la mtoto, mume anawajibika kwa kosa la mke, boss anawajibika kwa kosa la mtumishi wake, hata Ali Hassan Mwinyi alipowajibika ile 1976 akiwa Waziri wa mambo ya ndani kwa vifo vya wale mahabusu wawili, Masaga Makhula Mazengenuka na Isaack Ng'wana Ng'hohoboko, Mwinyi did nothing!, mahabusu hao walikufa kufuatia mahojiano na polisi eneo la Kigoto, na waliokolewa na RSO wa Mwanza, na vifo vyao vikamponza Mzee wa watu aliyewaokoa!. Aliyejiuzulu ni Mwinyi na hakuwa na kosa lolote.

UK, US, Canada, Australia na Newsland, Baba, mama, mke na mtoto wa politicians ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office into disrepute, mfano kukutwa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.

P.
Nakumbuka those big days of ours ,wakati wa Mwalimu Julius Nyerere ,watoto wake au wadogo zake walikuwa wakitolewa report kuwa wamekutwa sehemu fulani,wanaofanya fujo.Mwalimu pia aliwambia wahusika wawachukulie hatua Kali Sana hao vijana wake au wadogo zake.Kwa hiyo huyo mtoto wa Simba chamwene ,mm nafikiri makosa yake yasimwadhibu mzazi pia.
 
Huyo dogo kasemaje Kwan wengine simu zetu hazifungui hizo video
 
Behind the door wenzake walimshughulikia. Unajua iko hivi, kila mtu anataka kujipendekeza, huyo mtoto wa Simbachawene kitakachoenda kutokea ni afisa mmoja tu tena anaweza kuwa IGP akaamrisha dogo aachwe na akampigia waziri tunaomba utusamehe na hapo hao traffic kibarua kipo hatarini. Yaani hao polisi hawakutumia hekima. Ni muhimu walipaswa baada ya kujua wawasiliane hata na baba yake kwa sababu ni waziri then kimya kimya wanamaliza zali. Hiyo ya mapicha video, wamuulize mwenzao kilichomtokea.
Heshima ni bora kuliko ugali was fedheha
 
Kuna watoto wa mashekh na wachungaji pamoja na kulelewa kwenye misingi ya dini tabia zao ni tofauti.
Si sahihi kumshambulia Simbachawene Kwa kosa alipofanya mwanae
 
Hii movie ingenoga kama angegonga gari ya mahita junior

Hapo vyuma vingeumana
 
Huyu dogo pamoja na ucheck-bob wake na kujiona mwamba baada ya miaka 10 ijayo utashangaa kavaa magwanda ya kijani anaomba kura zenu aingie bungeni na mtamchagua.. Kama yule mtoto wa Rita
 
Kijana tumia pesa ya mzazi kamaipo kula maisha..kunawengine wana pata faida kupitia wewe huko ulipo kula tungi tyar kashaingiza pesa huyo uliemgonga kipasso chake kilichochakaa siajabu akavutakipya..ndoinatakiwa msumbue mzee hela sianazo nyingi chota leta kwa wahuni ukikuta gari imechakaa chakaa gonga ila ulipe ..NB ukiwa na kiburi uwe nahela yakulipia hapo utaendanao sawa
 
Njia pekee yakuwafanya polisi wamshughulikie huyu kijana kwa kuvunja sheria, kudhalilisha jeshi letu, kuonea watu, kuikosea heshima serikali nk, NI KWA SIMBACHAWENE KUJIUZURU AU KUWAJIBISHWA.

AKIWA HAYUKO KAZINI polisi wetu watamshughulikia huyu kijana, kitendo cha yeye kuwepo kazini na eti kutoa maagizo ashughulikiwe ni sinema tu.

IMPACT YA YEYE KUJIUZURU AU KUWAJIBISHWA ITALETA HESHIMA KWA NDUGU NA WATOTO WENGINE WA VIONGOZI SIKU ZA USONI LAKINI PIA ITALETA KUJIAMINI KWENYE UTENDAJI WA KAZI KWA WATENDAJI WA SERIKALI.
 
Mkuu,kijana kukosa nidhamu kwa sheria zetu ni matokeo ya malezi anayopata,jiulize hadi awe na kiburi hivyo ni mara ngapi ameona Baba yake akifanya sarakasi ili sheria isichukue mkondo wake?

Sisi tumelelewa enzi hizo ukikosea kwa jirani unatamani jirani akuchape na habari zisifike nyumbani maana Baba ndio atakuvunja mgongo.

Ila kama Baba hafuati sheria unatarajia Kijana ataziheshimu?
Umenena mkuu, kuna kitu kiko wrong mahali. Waswahili husema; "embe hudondoka chini ya mti husika"
 
Kwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake iitwayo vicarious liability ya malezi mabovu ya wazazi, hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment iliyosababishwa na makosa ya kijana wake, mzazi anawajibika kwa kosa la mtoto, mume anawajibika kwa kosa la mke, boss anawajibika kwa kosa la mtumishi wake, hata Ali Hassan Mwinyi alipowajibika ile 1976 akiwa Waziri wa mambo ya ndani kwa vifo vya wale mahabusu wawili, Masaga Makhula Mazengenuka na Isaack Ng'wana Ng'hohoboko, Mwinyi did nothing!, mahabusu hao walikufa kufuatia mahojiano na polisi eneo la Kigoto, na waliokolewa na RSO wa Mwanza, na vifo vyao vikamponza Mzee wa watu aliyewaokoa!. Aliyejiuzulu ni Mwinyi na hakuwa na kosa lolote.

UK, US, Canada, Australia na Newsland, Baba, mama, mke na mtoto wa politicians ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office into disrepute, mfano kukutwa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.

P.
PUBLIC OFFICE...huku tunatambua hilo?.
 
Huyu jamaa naye vip...,yaani unakurupuka unakuja kutuandikia upuuzi namna hii......eti mkapime DNA.
 
Maza atasema "Hilo nalo muende kulifanyia kazi" imeisha hiyo
Ingekuwa enzi za Mzee wa Chato sheria ingechukua mkondo ili Mtu akiulizwa atoe jibu harakaharaka "tumeshamfungulia mashtaka mheshimiwa".
 
Hata mimi nashangaa sana huyo kijana mwenyewe hakuna alipotamka kwa mdomo wake hayo maneno.
Watanzania tupunguze Wivu na Husda jamani, aliyekuzidi pambana naye kwa kutafuta zaidi yake lkn siyo kulazimisha umshusheeee. Huo ni Uchawi kama ilivyo Ulozi tu
Acha porojo. Unaona kila mtu anamjua mtoto wa Simbachawene Kama anavyomjua Rais wa nchi eenhe!? Huyo baba yake mwenyewe sio kuwa anajulikana kiviile. Bila kutamka yeye mwenyewe kuwa Ni mtoto wa Simbachawene, hao ambao gari zao ziligongwa wangefahamu vipi kuwa Ni mtoto wa Simbachawene.!? Au number plate yake imeandikwa "Simbachawene Son"!?
 
Back
Top Bottom