clip ipo zaidi ya hiyo, kifupi tuu mtoto hana adabu na umeona mzazi wake kaomba radhi ujue kuna makosa ndani yake.Hata mimi nashangaa sana huyo kijana mwenyewe hakuna alipotamka kwa mdomo wake hayo maneno.
Watanzania tupunguze Wivu na Husda jamani, aliyekuzidi pambana naye kwa kutafuta zaidi yake lkn siyo kulazimisha umshusheeee. Huo ni Uchawi kama ilivyo Ulozi tu
Kwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment ya kijana wake.
UK, US, Canada, Australia na Newsland, kama ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office in disrepute, mfano kukutawa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.
Alichokifanya huyu mtoto wa Simbachawene kinafanywa na Rais, PM, IGP, CJ , Speaker wa Bunge na wote wa vyeo hivyo vya juu maana hakuna cha kuwafanya. Huyu mtot anaiga akijua ana kinga ya Waziri baba yake!Kwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment ya kijana wake.
UK, US, Canada, Australia na Newsland, kama ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office in disrepute, mfano kukutawa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.
P.
Viote mbaya kabisa maaana ni wajinga. Iweje mtu yuko chini ya Ulinzi tena kituo cha Polisi ina maaana ameshatii maelekezo halafu anarekodiwa????? Askari hawana weledi wa kazi watupwe huko Namanyere wakajifunze kazi kwanzanawasikitikia hao maafisa kuwa vibarua vyao vitaota mbawa.
Wameanza Mawaziri kututukana.
Wamefuata watoto wao bado wake zao na michepuko yao itumwagie matusi tukome.
Hii ni awamu ya makambale kila mtu ana ndevu.
Tutatukanwa mpaka tujute.
Bora umenena waziri, kijana hana adabu kabisa! Shame!
Maneno ya kwamba hakuna mtu wa kumuweka ndani coz ni mtoto wa waziri nayo unayachukuliaje?Hili ni tukio la kawaida. Limekuzwa kwa sababu ni mtoto wa waziri...
Magari yanabutuana kila cku Dar na watu wanakula kona.
Hii ni kwakuwa imesikika public, what if isingefika public angejitokeza kusema hilo!!!Nimemwagiza Mkuu kituo kwa sababu amekosa adabu kwa jeshi la polisi na ametenda kosa la usalama barabarani ASHUGHULIKIWE BILA HURUMA KWA MUJIBU WA SHERIA … Binafsi naomba RADHI SANA kwa walioathirika na mkasa huo lkn pia kwa jeshi la polisi na Watanzania wote.
👍Mkuu,kijana kukosa nidhamu kwa sheria zetu ni matokeo ya malezi anayopata,jiulize hadi awe na kiburi hivyo ni mara ngapi ameona Baba yake akifanya sarakasi ili sheria isichukue mkondo wake?
Ingekuwa bongo hiyo jiwe na mzee wa msoga wasingekuwa maraisKwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment ya kijana wake.
UK, US, Canada, Australia na Newsland, Baba, mama, mke na mtoto wa politicians ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office into disrepute, mfano kukutwa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.
P.
Unaombaje radhi kama siyo mhusika na umekiri ni mtu mzima ana maiisha yake mbali na weweBinafsi naomba RADHI SANA kwa walioathirika na mkasa huo lkn pia kwa jeshi la polisi na Watanzania wote.
Kwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo...
Kweli akili ni nywele. Kabisa unaamini hapa watu wanaona wivu? Na kuna mjinga mwingine amesema hili ni tukio la kawaida sana!Hata mimi nashangaa sana huyo kijana mwenyewe hakuna alipotamka kwa mdomo wake hayo maneno.
Watanzania tupunguze Wivu na Husda jamani, aliyekuzidi pambana naye kwa kutafuta zaidi yake lkn siyo kulazimisha umshusheeee. Huo ni Uchawi kama ilivyo Ulozi tu