Simbachawene: Ripoti zinaonesha zaidi ya 40% ya Watumishi wa Umma Tanzania hawafanyi kazi

Simbachawene: Ripoti zinaonesha zaidi ya 40% ya Watumishi wa Umma Tanzania hawafanyi kazi

Hayati MAGUFURI aliweza kurudisha nidhamu KAZINI MPAKA akaitwa majina ya OVYO Dicteta, roho mbaya...Kuna kipindi mpaka Kuna walio chelewa kazini vitu vyao vilichukuliwa na kupelekwa halmashauli ikabidi wavifuate huko😊

Kwa CCM hii ya mama simuoni huyo mwenye ubavu wa kuwa shurutisha Hawa wazembe wafanye kazi maana hata "MC GREGORY KWENYE THEORY X NA THEORY Y alipata kusema Kuna watu ni wavivu na hawataki kufanya kazi na pia kuna watu ni wachapakazi Sana.

Tuwafundishe watu wetu kua na moyo wa kupenda kazi hata Kama mazingira,malipo hakuna ni ku feel proud kufanya kazi kwa bidii hio ndio iwe spirit yetu..
dah,
aise umenikumbusha jambo muhimu ambalo rafiki yangu ambae kwasasa ni muhadhiri hapo chuo kikuu kigamboni alikua hawezi kumaliza discussion bila kusema chochote kuhusu motivation theories za Maslow's hierarchy of needs & McGregor theory X & theory Y,

Infact,
mambo haya ni muhimu sana katika kuongeza ufanisi katika kazi, ila yanapuuzwa ikiwa ni pamoja na watu wasomi kabisa na wenye uelewa juu ya mambo haya,

wacha tumalize uchaguzi utaona ambao huwaamini wakichukua hatua dhidi ya wazembe na wavivu kazini 🐒
 
Let me make this clear to everyone in this esteemed platform,

awamu ijayo ya uongozi wa serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi wetu mpendwa na kipenzi cha waTanzania wote Dr.Samia Suluhu Hassan & Dr Emanuel Nchimbi,

kuanzia kwenye baraza la mawaziri, taasisi, mashirika na mamlaka mbalimbali za umma hadi watendaji wa ngazi za vijiji na mitaa nchini,

hapatakua na kasumba ya kuhamishwa wizara, shirika, kijiji au mtaa, ukivurunda unapigwa chini na unakwenda nyumbani mazima,

hapatakua na mzaha wala kumuonea mtu aibu wala haya kwa uzembe au makosa yake kazini na kwa kuendekeza mazoe kwenye kazi za utendaji za kuwapelekea wananchi maendeleo.

there will be no excuse at all [emoji205]
Au co?hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
 
40% takwimu haiko sahihi hata kdg, sema 80% kuna watu hawajui hata ofsn anaenda kufanya nini

hapo hatujazungumzia ambao hawaendi kabisa wanapotelea kwenye ulevi na kamari

nimewahi kuwa napanda daladala na watumishi halmashauri flani unashangaa anahairisha bila sababu na si mara moja wala mbili
Duh
 
dah,
aise umenikumbusha jambo muhimu ambalo rafiki yangu ambae kwasasa ni muhadhiri hapo chuo kikuu kigamboni alikua hawezi kumaliza discussion bila kusema chochote kuhusu motivation theories za Maslow's hierarchy of needs & McGregor theory X & theory Y,

Infact,
mambo haya ni muhimu sana katika kuongeza ufanisi katika kazi, ila yanapuuzwa ikiwa ni pamoja na watu wasomi kabisa na wenye uelewa juu ya mambo haya,

wacha tumalize uchaguzi utaona ambao huwaamini wakichukua hatua dhidi ya wazembe na wavivu kazini 🐒
Sawa gentleman 😊 Ila tumeshindwa kwa miaka 60's leo hii ndani ya miaka mitano tutaweza kweli,

Nchi hii ni moja ya nchi ambazo unaweza kuja hauna mtaji wowote..wewe tu na kibegi chako Cha shangazi kaja na ukatajirika Sanaa.

Kuna maswali gentleman yananitatiza nisaidie uniweke sawa.

1. Hii mitungi ya gesi yenye picha ya mama Samia mwenyekiti CCM taifa na Raisi wa JAMHURI ya muungano wa Tanzania imenunuliwa kwa pesa BINAFSI ya mama Samia? Au ni pesa ya CCM ama ni pesa ya SERIKALI ya JAMHURI ya muungano wa Tanzania???

2. Hizi pikipiki yenye nembo ya SSH na picha ya mama Samia mwenyekiti CCM taifa na Raisi wa JAMHURI ya muungano wa Tanzania imenunuliwa kwa pesa BINAFSI ya mama Samia? Au ni pesa ya CCM ama ni pesa ya SERIKALI ya JAMHURI ya muungano wa Tanzania???

Maswali yangu ni hayo na ni kwa Nia njema kabisa.
 
CCM ni mzigo kwa taifa hili kwa miaka zaidi ya 40 wananchi wanaishi kwenye lindi la umasikini licha UTAJIRI wa rasilimali uliopo. Huduma za msingi kwa wananchi zimekuwa ndoto za alinacha, wanafaidika wajanja wachache.
 
40 percent is just too much of a burden to shoulder. How did they hire the employees who have no value addition.

Results ya employment ya watoto wa mjomba, shangazi etc Kama wanajuwa ni mzigo, basi wawatoe!!

Kiongozi huwezi kutoa kauli kama hiyo hadharani halafu na solution huna. Ni bora ukae KIMYA

Naona waziri ndio mzigo kama tatizo umeliona unaanza kulalamika bila kutoa maamuzi. You are the biggest problem

Bongo kila mtu analalamika. Rais mwenyewe analalamika nae hajui afanye nini. CDF analalamika hajui wahamiaji haramu wanaingiaje nchini hadi kuajiriwa serikalini.
 
Nijambo la kustaajabu kama karibu nusu ya watumishi wa umma hawafanyi kazi. Pamoja na uhaba wa nguvu kazi ulipo bado kuna nguvu kazi inakula mshahara wa serikali na hawafanyi kazi inavyo takiwa. Ikumbukwe kuwa tanzania ina watu walio katika nguvu kazi takribani milioni 25 kati ya watanzania milion 65. Hii inamaana kuwa watanzania milion 49 niwategemezi sasa hawa wacache waliopo bado kuna watu hawatumii nguvu zao vizuri kutumikia Taifa hili. 😪 maendeleo yatatoka wapi? Yani nguvu kazi ya milion 25, ukitoa hapo hawa wavivu , ukitoa hapo jobless na wale wadangaji sijui maendeleo tutatoa wapi

"
#HABARI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene amesema zaidi ya asilimia 40 ya Watumishi wa Umma hawafanyi kazi licha ya kulipwa mshahara kila mwezi.

Amesema hiyo ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi karibuni na Tume ya Utumishi wa Umma nchini

Mhe. Simbachawene amesema hayo leo jijini Arusha wakati akifunga Kikao kazi cha tano cha Serikali Mtandao ambapo amesema Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma wanawajibu wa kuhakikisha kila mtumishi anatekeleza majukumu yake ipasavyo.

‘’Watumishi ni lazima wafanye kazi kwani wasipofanya kazi wanakuangusha wewe Mkuu wa Taasisi, lazima tuwe na jamii inayoandaliwa kufanya kazi’’ amesisitiza Mhe. Simbachawene

Amefafanua kuwa kwa mujibu wa tafiti hiyo, wavivu, wazembe, wagonjwa pamoja na waliosusiwa kutokana na vipaji na uwezo wao ni asilimia 40 ya Watumishi wanaolipwa pasipo kufanya kazi

Amewataka Wakuu hao kuwatumia Watumishi wa Umma wenye vipaji na uwezo badala ya kuwafanyia fitina na hujuma hali inayopelekea kurudisha nyuma maendeleo ya nchi

Amesema hali hiyo imesababisha kutokuwepo kwa urithishanaji wa madaraka jambo ambalo limechangia kudhoofika kwa Taasisi pale kiongozi wa Taasisi anapostaafu au kuhama. #EastAfricaTV
Mmh, watumishi wa umma wanasemwa as if ni manual Laborers wanaopangiwa miraba inayoonekana😆
 
Sawa gentleman 😊 Ila tumeshindwa kwa miaka 60's leo hii ndani ya miaka mitano tutaweza kweli,

Nchi hii ni moja ya nchi ambazo unaweza kuja hauna mtaji wowote..wewe tu na kibegi chako Cha shangazi kaja na ukatajirika Sanaa.

Kuna maswali gentleman yananitatiza nisaidie uniweke sawa.

1. Hii mitungi ya gesi yenye picha ya mama Samia mwenyekiti CCM taifa na Raisi wa JAMHURI ya muungano wa Tanzania imenunuliwa kwa pesa BINAFSI ya mama Samia? Au ni pesa ya CCM ama ni pesa ya SERIKALI ya JAMHURI ya muungano wa Tanzania???

2. Hizi pikipiki yenye nembo ya SSH na picha ya mama Samia mwenyekiti CCM taifa na Raisi wa JAMHURI ya muungano wa Tanzania imenunuliwa kwa pesa BINAFSI ya mama Samia? Au ni pesa ya CCM ama ni pesa ya SERIKALI ya JAMHURI ya muungano wa Tanzania???

Maswali yangu ni hayo na ni kwa Nia njema kabisa.
Gentleman,
agenda ya Rais ya Nishati Safi ya kupikia majumbani, kwa lengo la kutunza mazingira inaungwa mkono kwa 100% na wadau na wafanyabiashara wa sekta ya nishati,

ndio maana mitungi ya gas inatoka makampuni mbalimbali tofauti ya gas. Gas ikiwaishia atakae pata faida na wateja maeneo yote nchini ni nani?

Kwa sababu hiyo,
nchi nzima watapata mitungi ya gas kwasabb Dr.Samia anataka watu watumie Nishati safi na kutunza mazingira na wafanyabiashara pia wanataka soko kubwa zaidi la biashara ya gas nchini.

Kuhusu pikipiki,
nadhani na v8, Land cruzers, mabasi lakini pia kuna bajaji zipo njiani ni uwekezaji wa CCM na si vinginevyo.

In conclusion,
picha ya Dr.Samia kwenye mitungi, pikipiki, vitenge, t-shirts na kofia ni mapenzi na Uzalendo ya watoa huduma hisika 🐒
 
Huu ni ushetani kabisa.
Wabunge wanajizolea mabilioni kila mwezi wanafanya kazi gani?
Mkurugenzi wa Halmashauri anatosha kufanya kazi anazofanya mbunge.
Sheria na sera zitungwe na maafisa wa wizara husika kwa kushirikiana na wizara ya sheria
 
Waziri anayehusika na utumishi Simbachawene asema asilimia 40 ya wafanyakazi wa serikali ni mizigo

swali kwa nini hawaachishwi kazi? Wapishe wengine?


Serikali kwa nini inaendelea kuwakumbatia?
Tatizo ni kubwa sana- Uwafukuze ili uingize wavivu kama hao wengine.

Tafsiri ya asilimia 40...mizigo, maana yake katika kila wafanyakazi 10, wa 4 hawafanyi kazi au popote walipo watanzania 10 wanaotafuta kazi kati ya hao 4 hawatofanya kazi. Tatizo kubwa ni kuwajua hao wa 4 ni akina nani?

Mama Samia anabadilisha mawaziri kila siku, na nyie ndie mnaolalamika kuwa kazi yake ni mikeka tu. Na bado wanaoingia nao ni mizigo. Wakati mwingine anaingiza leo, mara baada ya wiki tu huonekana aliyeingia ndie mbovu kabisa, analazimika kutumbua kesho yake.
Wakurugenzi wakifanya hivyo, nyinyi wenyewe mtatoka nje na kuzomea. Basi inabaki lete kama tulivyo au ajiri kama tulivyo.
 
Gentleman,
agenda ya Rais ya Nishati Safi ya kupikia majumbani, kwa lengo la kutunza mazingira inaungwa mkono kwa 100% na wadau na wafanyabiashara wa sekta ya nishati,

ndio maana mitungi ya gas inatoka makampuni mbalimbali tofauti ya gas. Gas ikiwaishia atakae pata faida na wateja maeneo yote nchini ni nani?

Kwa sababu hiyo,
nchi nzima watapata mitungi ya gas kwasabb Dr.Samia anataka watu watumie Nishati safi na kutunza mazingira na wafanyabiashara pia wanataka soko kubwa zaidi la biashara ya gas nchini.

Kuhusu pikipiki,
nadhani na v8, Land cruzers, mabasi lakini pia kuna bajaji zipo njiani ni uwekezaji wa CCM na si vinginevyo.

In conclusion,
picha ya Dr.Samia kwenye mitungi, pikipiki, vitenge, t-shirts na kofia ni mapenzi na Uzalendo ya watoa huduma hisika 🐒
Hivi uliwahi kupata ajali ukajigonga kichwa chako!!??
Uliwahi kupata matatizo ya afya ya akili!!??
Ulizaliwa kichwa chako kikiwa sawa 100%!!??
 
Back
Top Bottom