Simiyu: Baada ya kutenguliwa Ukuu wa Mkoa, Kafulila amshukuru Rais Samia kwa kumpa nafasi ya kulitumikia Taifa

Naamini atapewa nafasi kubwa zaidi.

Kosa la Kafulila ni kubana mafisadi wengi wa ccm hapo..

Nadhani atarudi tena ila awe mtulivu kama Chalamila..
 
Ila ukichunguza hao waliotemwa walikuwa wanajikomba wazwaz kwa Samia. Yaan walikuwa hawaweza kumaliza sentesi Bila kumtaja Samia tena sifa za kulazimisha
 
“Kwanza nitoe shukran za kipekee kwa Mhe. Rais wetu Samia Suluhu Hassan kwa kuniamini kumsaidia katika nafasi ya Mkuu wa Mkoa. Ni heshima kubwa kwangu ambayo sikuwahi kuipata hapo kabla.
LOoooh, alisahau kutoa spichi ya shukrani kwanza alipoteuliwa?

Mbona hii sasa ni kinyume kabisa na yaliyotokea?

Watu wanafiki mara nyingi huwa hawana busara kabisa.

Kwa hiyo hapa anamkebehi rais kwa kumpiga chini?
 
Akamalize kwanza Mgogoro wa kijinga wa ndoa aliozalisha
 
Rev. Daniel Mgogo ana ujumbe hapa
 
Unanikumbusha bwana Sabaya na kundi lake
 
Mabadiliko haya sehemu fulani yako kimkakati. Ukiangali kwenye jeshi letu Rtd CDF ameondoka na majenerali kadhaa, lazima hawa warudi kuchukua nafsi bila kulazimu kupandisha vyeo zaidi. Ally Hapi huyu wakati wowote Desemba atarudi kwenye Chama. Mkirikiti, Gabriel, Binith Mahenge hawa wanarudi nyumbani completely.
 
Akina Kafulila tuliwategemea sana kuimarisha siasa za upinzani.
Hawa ndio wanaifanya CCM itawale milele.

Siasa kwao ni ajira na sio nia ya kuimarisha demokrasia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…