Simiyu: Baada ya kutenguliwa Ukuu wa Mkoa, Kafulila amshukuru Rais Samia kwa kumpa nafasi ya kulitumikia Taifa

Hivi vyeo vya kisiasa ni vyeo vya ovyo ovyo sana, kwa mtu mwenye akili sawasawa awezi kukubali teuzi za kisiasa ni bora kubaki na kazi yako ya kitaaluma, Vyeo vya kutegemea aliyekuteua ameamkaje siku iyo wakati huo wapambe wengine wanakuvizia ukosee wakulipue na wao wafikiriwe kwenye teuzi ni kazi zisizokuwa na uhakika wa kesho yako
 
Unazani angesema nini zaidi ya kushukuru tu!
 
Hilo ndilo swali nauliza: Hapi kafukuzwa Mara na pia Chegeni kafukuzwa Mara all in the space of one week? Au jambo gani limetokea?
 
Ameshindwa kufanya mabadiliko alijua kuongoza ni sawa na kupiga kelele mke kamwacha na pesa aliyohongwa itakwisha atabaki kuwa asieaminika hata kidogo na hawezi kuchaguliwa Tena kwenye nafasi za kuchaguliwa
 
Ameshindwa kufanya mabadiliko alijua kuongoza ni sawa na kupiga kelele mke kamwacha na pesa aliyohongwa itakwisha atabaki kuwa asieaminika hata kidogo na hawezi kuchaguliwa Tena kwenye nafasi za kuchaguliwa
CHADEMA mnasikia raha sana,
 
Chadema mnafanya sherehe,

Note, Rais wangu Samia unapomwondoa mtu na wanaofurahia ni Upinzani, Si afya kwa Chama chetu
Upinzani gani hao wanaofurahi.mfanye maujinga yenu uko alafu msingizie wengine.mtaangaika sana hadi jua lizame.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…