SIMIYU: Rais Samia Suluhu tayari ameshinda Uchaguzi wa 2025 hata kabla ya kushinda ni mserereko tu

SIMIYU: Rais Samia Suluhu tayari ameshinda Uchaguzi wa 2025 hata kabla ya kushinda ni mserereko tu

BEI YA PAMBA JUU TENA,TOKA TZS 810 HADI TZS 1,800 MAKOFI KWA RAIS SAMIA


Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg mpaka TZS 1,800/kg kwa kilo wakati huu wa Mama Samia Suluhu Hassan,

Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% ambalo wakulima wanalipwa mkono kwa mkono tena by " Cash money" wao wanasema "NO CASH NO COTTON"

Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo.

kwawale msiofahamu,Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba" tu,Yaani Ukimaliza na Pamba umeshinda Uchaguzi,

Huko nyuma, CCM imekuwa ikihenyeshwa karibu katika kila Uchaguzi huku kosa la CCM likiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba " tu,

RC Kafulila anasema ,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia TZS 1,800/kg ila tu ni kwa awamu hii ya Mhe Samia Suluhu,

Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida kwa Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba,

Lengo likiwa ni kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea TZS 700/kg ya Pamba atakayouza,

Pesa hii maranyingi ilikuwa ikiende kwa Mnunuzi kama faida ya maramia,

Leo hii Mama Samia ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"

Msikilize huyu Mwamba Mpaka mwisho,

View attachment 2253903
Umerogwa kizembe sana
 
Wakuu

Uchuro KWA mama wa nini!?

Aliewaambia 2025 kuna uchaguzi na aliepo atafika ni Nani!!?mmempigia sim Mungu!!?

Na kauli hii Ndio imemletea utenguzi wa ukuu wake wa mkoa!!

"Rasimu ya warioba irudi mezani SASA iwe katiba mpya"!
 
Wakuu

Uchuro KWA mama wa nini!?

Aliewaambia 2025 kuna uchaguzi na aliepo atafika ni Nani!!?mmempigia sim Mungu!!?

Na kauli hii Ndio imemletea utenguzi wa ukuu wake wa mkoa!!

"Rasimu ya warioba irudi mezani SASA iwe katiba mpya"!
Hiyo heading ni mtazamo tu wa Mwandishi, Kafulila Hajaongea mambo ya Uchaguzi 2025,
 
BEI YA PAMBA JUU TENA,TOKA TZS 810 HADI TZS 1,800 MAKOFI KWA RAIS SAMIA


Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg mpaka TZS 1,800/kg kwa kilo wakati huu wa Mama Samia Suluhu Hassan,

Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% ambalo wakulima wanalipwa mkono kwa mkono tena by " Cash money" wao wanasema "NO CASH NO COTTON"

Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo.

kwawale msiofahamu,Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba" tu,Yaani Ukimaliza na Pamba umeshinda Uchaguzi,

Huko nyuma, CCM imekuwa ikihenyeshwa karibu katika kila Uchaguzi huku kosa la CCM likiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba " tu,

RC Kafulila anasema ,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia TZS 1,800/kg ila tu ni kwa awamu hii ya Mhe Samia Suluhu,

Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida kwa Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba,

Lengo likiwa ni kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea TZS 700/kg ya Pamba atakayouza,

Pesa hii maranyingi ilikuwa ikiende kwa Mnunuzi kama faida ya maramia,

Leo hii Mama Samia ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"

Msikilize huyu Mwamba Mpaka mwisho,

View attachment 2253903
Bei mbona za vitu vyote vimepanda duniani kote 🤷‍♂️
 
BEI YA PAMBA JUU TENA,TOKA TZS 810 HADI TZS 1,800 MAKOFI KWA RAIS SAMIA


Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg mpaka TZS 1,800/kg kwa kilo wakati huu wa Mama Samia Suluhu Hassan,

Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% ambalo wakulima wanalipwa mkono kwa mkono tena by " Cash money" wao wanasema "NO CASH NO COTTON"

Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo.

kwawale msiofahamu,Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba" tu,Yaani Ukimaliza na Pamba umeshinda Uchaguzi,

Huko nyuma, CCM imekuwa ikihenyeshwa karibu katika kila Uchaguzi huku kosa la CCM likiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba " tu,

RC Kafulila anasema ,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia TZS 1,800/kg ila tu ni kwa awamu hii ya Mhe Samia Suluhu,

Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida kwa Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba,

Lengo likiwa ni kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea TZS 700/kg ya Pamba atakayouza,

Pesa hii maranyingi ilikuwa ikiende kwa Mnunuzi kama faida ya maramia,

Leo hii Mama Samia ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"

Msikilize huyu Mwamba Mpaka mwisho,

View attachment 2253903
Petrol je?
 
Ila huyu Kafulila ni hazina kwa Taifa
BEI YA PAMBA JUU TENA,TOKA TZS 810 HADI TZS 1,800 MAKOFI KWA RAIS SAMIA


Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg mpaka TZS 1,800/kg kwa kilo wakati huu wa Mama Samia Suluhu Hassan,

Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% ambalo wakulima wanalipwa mkono kwa mkono tena by " Cash money" wao wanasema "NO CASH NO COTTON"

Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo.

kwawale msiofahamu,Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba" tu,Yaani Ukimaliza na Pamba umeshinda Uchaguzi,

Huko nyuma, CCM imekuwa ikihenyeshwa karibu katika kila Uchaguzi huku kosa la CCM likiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba " tu,

RC Kafulila anasema ,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia TZS 1,800/kg ila tu ni kwa awamu hii ya Mhe Samia Suluhu,

Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida kwa Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba,

Lengo likiwa ni kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea TZS 700/kg ya Pamba atakayouza,

Pesa hii maranyingi ilikuwa ikiende kwa Mnunuzi kama faida ya maramia,

Leo hii Mama Samia ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"

Msikilize huyu Mwamba Mpaka mwisho,

View attachment 2253903
 
Back
Top Bottom