SIMIYU: Rais Samia Suluhu tayari ameshinda Uchaguzi wa 2025 hata kabla ya kushinda ni mserereko tu

SIMIYU: Rais Samia Suluhu tayari ameshinda Uchaguzi wa 2025 hata kabla ya kushinda ni mserereko tu

BEI YA PAMBA JUU TENA,TOKA TZS 810 HADI TZS 1,800 MAKOFI KWA RAIS SAMIA


Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg mpaka TZS 1,800/kg kwa kilo wakati huu wa Mama Samia Suluhu Hassan,

Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% ambalo wakulima wanalipwa mkono kwa mkono tena by " Cash money" wao wanasema "NO CASH NO COTTON"

Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo.

kwawale msiofahamu,Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba" tu,Yaani Ukimaliza na Pamba umeshinda Uchaguzi,

Huko nyuma, CCM imekuwa ikihenyeshwa karibu katika kila Uchaguzi huku kosa la CCM likiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba " tu,

RC Kafulila anasema ,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia TZS 1,800/kg ila tu ni kwa awamu hii ya Mhe Samia Suluhu,

Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida kwa Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba,

Lengo likiwa ni kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea TZS 700/kg ya Pamba atakayouza,

Pesa hii maranyingi ilikuwa ikiende kwa Mnunuzi kama faida ya maramia,

Leo hii Mama Samia ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"

Msikilize huyu Mwamba Mpaka mwisho,

View attachment 2253903
Huyu bwana yuko vizuri sana
 
Kazi nzuri ya Rais Samia,inaitwa Simiyu model 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220609-225445.png
    Screenshot_20220609-225445.png
    158.8 KB · Views: 7
Kabla hujachangia huu Uzi lazima utathmini thamani halisi ya sh 1830 kwa leo.
Hii pesa na mfumuko huu wa bei ni worthless.
Hupati kg ya ngano, hupati Lita ya petrol, diesel Wala korie, hupati kg ya sukari, kupati kg ya mchele n.k, n.k
 
Kabla hujachangia huu Uzi lazima utathmini thamani halisi ya sh 1830 kwa leo.
Hii pesa na mfumuko huu wa bei ni worthless.
Hupati kg ya ngano, hupati Lita ya petrol, diesel Wala korie, hupati kg ya sukari, kupati kg ya mchele n.k, n.k
Kwani inflation ndio inapandisha bei ya Pamba?

Pamba imeanza kupanda bei tangu mwaka jana,
 
Tuache unafiki wakuu, suala la kupanda kwa bei ya pamba ni juhudi za serikali au ni mabadiliko ya soko la dunia? kama ni juhudi za serikalibasi hata suala la kupanda kwa bei ya bidhaa tunapaswa kuilaumu serikali.Tuache unafiki.
Soko la dunia mengine waambiwe wanakijiji huko. Halafu simiyu sio wa kutegemea kwa mtindo huo, wao wanao msemo wa
" Kula kwa...... kulala kwa ...."
Watakushangilia na kukubeba ila kura watapigia mwingine. Labda wewe wasubirie kuwapiga kwenye sanduku

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
kama unafikiri kabudi, lukuvi na ndugai wamelala tuu utakuwa unajidanganya, wee subiri mafuriko ya 2025!
 
Soko la dunia mengine waambiwe wanakijiji huko. Halafu simiyu sio wa kutegemea kwa mtindo huo, wao wanao msemo wa
" Kula kwa...... kulala kwa ...."
Watakushangilia na kukubeba ila kura watapigia mwingine. Labda wewe wasubirie kuwapiga kwenye sanduku

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Huu msemo haupo usukumani, wasukuma sio, watapeli
 
Back
Top Bottom