SIMIYU: Rais Samia Suluhu tayari ameshinda Uchaguzi wa 2025 hata kabla ya kushinda ni mserereko tu

SIMIYU: Rais Samia Suluhu tayari ameshinda Uchaguzi wa 2025 hata kabla ya kushinda ni mserereko tu

Acha uongo. Hapa singida sisi wakulima wa mbaazi tulikuwa tunalia mpaka tunamsubili jpm akatize tu tumponde mawe kwa kuharibu zao la mbaazi Kama alivyotaka kuuawa kule luangwa kwa kuharibu zao la korosho. Yule bwana kila zao ilikuwa kilio halafu anajiita mtetezi wa wanyonge kumbe anawanyonga.
Duuuh,
 
Kuongoza watanzania ni kazi nyepesi sana, na hapa ndo utakuja kujua kwamba ile kauli ya kwamba "waafrica ni wamoja isipokuwa mipaka tu ndo imetutenganisha" kuwa ni ya uongo, species za kenya tu hapa ambao tumepakana nao ni tofauti kabisa na hizi ndina za Tz, achilia mbali SA ambako mtasema ni mbali.
 
BEI YA PAMBA JUU TENA,TOKA TZS 810 HADI TZS 1,800 MAKOFI KWA RAIS SAMIA


Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg mpaka Tshs 1,720-1,800/kg kwa kilo hivi sasa,

Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% ambalo wakulima wanalipwa mkono kwa mkono tena by " Cash money" NO CASH NO COTTON

Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo.

kwa msiofahamu,Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba"

CCM imekuwa ikihenyeshwa katika kila Uchaguzi kosa la CCM ikiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba "

RC Kafulila anasema ,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia Tshs 1,720-1,800/kg ila ni kwa awamu hii ya Sita na Mhe Samia Suluhu ndio Rais,

Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida ya Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba ili kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea Tshs 700/kg ya Pamba atakayouza iliyokuwa iende kwa Mnunuzi kama faida Mama ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"

Msikilize huyu Mwamba Mpaka mwisho,

View attachment 2253903
photo_2022-06-08_09-23-45.jpg
 
Kuongoza watanzania ni kazi nyepesi sana, na hapa ndo utakuja kujua kwamba ile kauli ya kwamba "waafrica ni wamoja isipokuwa mipaka tu ndo imetutenganisha" kuwa ni ya uongo, species za kenya tu hapa ambao tumepakana nao ni tofauti kabisa na hizi ndina za Tz, achilia mbali SA ambako mtasema ni mbali.
Mkuu hebu fafanua kwa kina,
 
Dawa ya meno ilikua 3000 sasa 5000 wacha kazi iendelee!
 
Kuongoza watanzania ni kazi nyepesi sana, na hapa ndo utakuja kujua kwamba ile kauli ya kwamba "waafrica ni wamoja isipokuwa mipaka tu ndo imetutenganisha" kuwa ni ya uongo, species za kenya tu hapa ambao tumepakana nao ni tofauti kabisa na hizi ndina za Tz, achilia mbali SA ambako mtasema ni mbali.
Wewe ni kiongozi wa level gani?
 
BEI YA PAMBA JUU TENA,TOKA TZS 810 HADI TZS 1,800 MAKOFI KWA RAIS SAMIA


Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg mpaka Tshs 1,720-1,800/kg kwa kilo hivi sasa,

Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% ambalo wakulima wanalipwa mkono kwa mkono tena by " Cash money" NO CASH NO COTTON

Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo.

kwa msiofahamu,Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba"

CCM imekuwa ikihenyeshwa katika kila Uchaguzi kosa la CCM ikiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba "

RC Kafulila anasema ,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia Tshs 1,720-1,800/kg ila ni kwa awamu hii ya Sita na Mhe Samia Suluhu ndio Rais,

Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida ya Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba ili kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea Tshs 700/kg ya Pamba atakayouza iliyokuwa iende kwa Mnunuzi kama faida Mama ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"

Msikilize huyu Mwamba Mpaka mwisho,

View attachment 2253903
Hakika Mama Samia SULUHU Hassan Anaupiga Mwingiiiiiii na anatumia akili nyingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sana kuliongoza taifa, ona maendeleo, nenda madarasa 15,000....wakulima ni Furaha, nenda miradi mikubwa inaendelea vema, Sasa kumtua ndoo Mama KICHWANI ni lazima miradi ya maji Bwerereeeee, Mama Anaupiga Acrobatics aiseee kila kona sifaaa....Sasa ni Simiyu kwa mwamba wa Escrow David Kafulila.....
 
Hakika Mama Samia SULUHU Hassan Anaupiga Mwingiiiiiii na anatumia akili nyingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sana kuliongoza taifa, ona maendeleo, nenda madarasa 15,000....wakulima ni Furaha, nenda miradi mikubwa inaendelea vema, Sasa kumtua ndoo Mama KICHWANI ni lazima miradi ya maji Bwerereeeee, Mama Anaupiga Acrobatics aiseee kila kona sifaaa....Sasa ni Simiyu kwa mwamba wa Escrow David Kafulila.....
Ila huyu huenda ndio mpango wa Mungu mwenyewe,
 
Tafadhari sana we kijana ni heri ukae kimya kuliko kutuletea huu upuuzi wako kwaio sie tule pamba au kwa nini hujasema awamu hii ndio awamu ambayo wananchi wake wamekumbwa na matatizo kibao njaa uchumi unakuja kuropoka hovyo hapa
 
Unahitaji kuwa mjinga ili uishi kwa amani nchi hii. Watu baada ya kuomgelea maendeleo ya nchi, anaongelea uchaguzi ambao upo miaka mitatu mbele.
 
Tafadhari sana we kijana ni heri ukae kimya kuliko kutuletea huu upuuzi wako kwaio sie tule pamba au kwa nini hujasema awamu hii ndio awamu ambayo wananchi wake wamekumbwa na matatizo kibao njaa uchumi unakuja kuropoka hovyo hapa
Hoja yangu ni bei ya pamba,
 
BEI YA PAMBA JUU TENA,TOKA TZS 810 HADI TZS 1,800 MAKOFI KWA RAIS SAMIA


Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg mpaka TZS 1,800/kg kwa kilo wakati huu wa Mama Samia Suluhu Hassan,

Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% ambalo wakulima wanalipwa mkono kwa mkono tena by " Cash money" wao wanasema "NO CASH NO COTTON"

Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo.

kwawale msiofahamu,Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba" tu,Yaani Ukimaliza na Pamba umeshinda Uchaguzi,

Huko nyuma, CCM imekuwa ikihenyeshwa karibu katika kila Uchaguzi huku kosa la CCM likiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba " tu,

RC Kafulila anasema ,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia TZS 1,800/kg ila tu ni kwa awamu hii ya Mhe Samia Suluhu,

Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida kwa Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba,

Lengo likiwa ni kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea TZS 700/kg ya Pamba atakayouza,

Pesa hii maranyingi ilikuwa ikiende kwa Mnunuzi kama faida,

Leo hii Mama Samia ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"

Msikilize huyu Mwamba Mpaka mwisho,

View attachment 2253903
Kukiwa na kitu kizuri lazima tukisifie.....Kweli Samia ni rais aliye bora sana.
 
Back
Top Bottom