Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Wapumzike kwa Amani, hizi speed hizi ifike pahala sheria itumike moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maspeedddd !hivi huwa mnakimbilia wapiii
Ova
Mmoja ni Afisa habari Ukerewe.Nina rafiki zangu kibao kwenye tasnia hiyo waliopo Mwanza. Natamani nifahamu majina ya waathirika, lakini nimeshindwa kuwapigia simu mmoja mmoja! Natamani niwatambue kwa njia nyingine!
Aliyepata majina, naomba atupatie!
Kwa ujumla nidhamu ya maderefa wa serikali imepungua siyo kwenye misafara ya viongozi tu, bali hata katika uendeshaji wa kawaida.Kwa kweli umeongea jambo la muhimu sana.
Nimewahi kuwa mikoani kwa shughuli kadhaa zinazohusiana na ofisi ya mkuu wa mkoa, wilaya ama mkurugenzi.
Kwa kweli kama ni kwenda kukagua miradi, misafara ya magari kwenye ziara huwa inakiuka kwa wazi kabisa sheria za usalama barabarani katika maeneo yafuatayo:
1. Mwendo kasi - ni kama vile kwa kuwa tu mpo kwenye msafara basi hakuna anayejali tena kuhusu mwendo kasi uliopitiliza.( Hata maaskari wa usalama wa barabarani huwa hawafanyi chochote kwa kuwa tu ni msafara wa mkuu wa mkoa, wilaya ama mkurugenzi.
2. Matumizi ya ''Hazard'' - yaani kwenye hii misafara kitu madereva wanajua ni kuwasha taa za hazard kisha wanakuwa huru kufanya chochote barabarani.
Ni muhimu sasa kwa madereva na wale wanaokuwa kwenye hii misafara kuzingatia sheria za barabarani.
Kwa ujumla nidhamu ya maderefa wa serikali imepungua siyo kwenye misafara ya viongozi tu, bali hata katika uendeshaji wa kawaida.Kwa kweli umeongea jambo la muhimu sana.
Nimewahi kuwa mikoani kwa shughuli kadhaa zinazohusiana na ofisi ya mkuu wa mkoa, wilaya ama mkurugenzi.
Kwa kweli kama ni kwenda kukagua miradi, misafara ya magari kwenye ziara huwa inakiuka kwa wazi kabisa sheria za usalama barabarani katika maeneo yafuatayo:
1. Mwendo kasi - ni kama vile kwa kuwa tu mpo kwenye msafara basi hakuna anayejali tena kuhusu mwendo kasi uliopitiliza.( Hata maaskari wa usalama wa barabarani huwa hawafanyi chochote kwa kuwa tu ni msafara wa mkuu wa mkoa, wilaya ama mkurugenzi.
2. Matumizi ya ''Hazard'' - yaani kwenye hii misafara kitu madereva wanajua ni kuwasha taa za hazard kisha wanakuwa huru kufanya chochote barabarani.
Ni muhimu sasa kwa madereva na wale wanaokuwa kwenye hii misafara kuzingatia sheria za barabarani.
Ni kweli kabisa, magari ya serikali na hasa kwenye misafra yanaendeshwa utafikiri hakuna sheria za barabarani.Huu utaratibu wa magari yaliyoko kwenye msafara wa viongozi kuendeshwa kama yanaendeshwa na vichaa ufikia mahali ufe.
Hakuna wanapowahi zaidi ya kaburini tu halafu utasikia "ni mpango wa Mungu".
Stupid fools.
Kwa ujumla roho ya mauti iko ya hali ya juu sana Tanzania! Juzi moshi dada kamuua mama yake,jana mama kafungia watoto 2 kwenye gari wakafa, leo baba kamfuma binti yake anafanya mapenzi kitandani kwake na mvulana baba kamuua, wiki iliyoisha mfanyakazi wa TRA kauliwa na mme wake mauti mauti kila pahala!Kwa ujumla nidhamu ya maderefa wa serikali imepungua siyo kwenye misafara ya viongozi tu, bali hata katika uendeshaji wa kawaida.
Roho yamauti juu ya anga la Tanzania naikemea kwa jina la bwana wetu Yesu kiristo! Amina!Aisee mola awarehemu wapendwa wetu.
Taarifa iliyopo ni kwamba walikuwa wanaenda ziara Wilayani Ukerewe kupitia Wilayani BundaMkuu wa Mkoa wa Mwanza alikuwa na ziara Mkoa wa Simiyu?
Tofauti kabisa na ule utawala wa kutekwa kupigwa risasi na kupotezwaUtawala wa mama unamatukio ya misiba sana yasiyoisha! Watu wanauana wanauliwa nk!
Hapo hata hujaona cruiser mbili. Umeona cruiser moja katika angles tofauti.Sijaona Hiace hapo.
Nimeona cruiser mbili tu.