Simiyu: Watu 14 wafariki dunia kwenye ajali katika msafara wa Mkuu wa Mkoa Mwanza

Simiyu: Watu 14 wafariki dunia kwenye ajali katika msafara wa Mkuu wa Mkoa Mwanza

Kwa kweli umeongea jambo la muhimu sana.

Nimewahi kuwa mikoani kwa shughuli kadhaa zinazohusiana na ofisi ya mkuu wa mkoa, wilaya ama mkurugenzi.

Kwa kweli kama ni kwenda kukagua miradi, misafara ya magari kwenye ziara huwa inakiuka kwa wazi kabisa sheria za usalama barabarani katika maeneo yafuatayo:
1. Mwendo kasi - ni kama vile kwa kuwa tu mpo kwenye msafara basi hakuna anayejali tena kuhusu mwendo kasi uliopitiliza.( Hata maaskari wa usalama wa barabarani huwa hawafanyi chochote kwa kuwa tu ni msafara wa mkuu wa mkoa, wilaya ama mkurugenzi.

2. Matumizi ya ''Hazard'' - yaani kwenye hii misafara kitu madereva wanajua ni kuwasha taa za hazard kisha wanakuwa huru kufanya chochote barabarani.

Ni muhimu sasa kwa madereva na wale wanaokuwa kwenye hii misafara kuzingatia sheria za barabarani.
Kwa ujumla nidhamu ya maderefa wa serikali imepungua siyo kwenye misafara ya viongozi tu, bali hata katika uendeshaji wa kawaida.
 
Kwa kweli umeongea jambo la muhimu sana.

Nimewahi kuwa mikoani kwa shughuli kadhaa zinazohusiana na ofisi ya mkuu wa mkoa, wilaya ama mkurugenzi.

Kwa kweli kama ni kwenda kukagua miradi, misafara ya magari kwenye ziara huwa inakiuka kwa wazi kabisa sheria za usalama barabarani katika maeneo yafuatayo:
1. Mwendo kasi - ni kama vile kwa kuwa tu mpo kwenye msafara basi hakuna anayejali tena kuhusu mwendo kasi uliopitiliza.( Hata maaskari wa usalama wa barabarani huwa hawafanyi chochote kwa kuwa tu ni msafara wa mkuu wa mkoa, wilaya ama mkurugenzi.

2. Matumizi ya ''Hazard'' - yaani kwenye hii misafara kitu madereva wanajua ni kuwasha taa za hazard kisha wanakuwa huru kufanya chochote barabarani.

Ni muhimu sasa kwa madereva na wale wanaokuwa kwenye hii misafara kuzingatia sheria za barabarani.
Kwa ujumla nidhamu ya maderefa wa serikali imepungua siyo kwenye misafara ya viongozi tu, bali hata katika uendeshaji wa kawaida.
 
Huu utaratibu wa magari yaliyoko kwenye msafara wa viongozi kuendeshwa kama yanaendeshwa na vichaa ufikia mahali ufe.

Hakuna wanapowahi zaidi ya kaburini tu halafu utasikia "ni mpango wa Mungu".

Stupid fools.
Ni kweli kabisa, magari ya serikali na hasa kwenye misafra yanaendeshwa utafikiri hakuna sheria za barabarani.
Barabara ina mashimo ya kukwepa, na hata magari yanayokuja usoni nayo yanakwepa mashimo, sasa wewe unaenda 120km/hr!

Wafanyakazi serikalini mtaendelea kufa bila sababu.
 
Kwa ujumla nidhamu ya maderefa wa serikali imepungua siyo kwenye misafara ya viongozi tu, bali hata katika uendeshaji wa kawaida.
Kwa ujumla roho ya mauti iko ya hali ya juu sana Tanzania! Juzi moshi dada kamuua mama yake,jana mama kafungia watoto 2 kwenye gari wakafa, leo baba kamfuma binti yake anafanya mapenzi kitandani kwake na mvulana baba kamuua, wiki iliyoisha mfanyakazi wa TRA kauliwa na mme wake mauti mauti kila pahala!
 
Back
Top Bottom