Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh alimbania dereva kuhama nini?Mkurugenzi wa Ukerewe umefurahi sasa? Umemfichia kibali chake cha kuhama hadi amefariki kijana wa watu, haya tumia hicho kibali uhame wewe.
Yawezekana akawa ni huyo kijana Afisa Habari wa Wilaya ya UkereweDuh alimbania dereva kuhama nini?
Mwendo Kasi ni tatizoWatu 14 wamefariki dunia baada ya gari ya waandishi wa habari iliyokuwa kwenye msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza (RC), Robert Gabriel kugongana na gari ya abiria Hiace katika eneo la Nyamikoma wilaya ya Busega Mkoani Simiyu.
Mkuu wa Wilaya ya Busega (DC), Gabriel Zakaria amethibitisha kutokea vifo hivyo.
====
Watu 14 wamefariki dunia baada ya gari la waandishi wa habari iliyokuwa kwenye msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza (RC), Robert Gabriel kugongana na gari ya abiria Hiace katika eneo la Nyamikoma wilaya ya Busega Mkoani Simiyu.
Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu akiwa eneo la tukio, Mkuu wa Wilaya ya Busega (DC), Gabriel Zakaria amethibitisha kutokea vifo hivyo.
Amesema kati ya vifo hivyo kuna vifo vya waandishi wa habari wanne na dereva wa waandishi na watu wengine sita walifariki papo hapo
“Ni kweli ajali hiyo imetokea, watu 11 wamefariki kwenye eneo la tukio wakiwemo waandishi wa habari 4 na dereva na wengine sita waliokuwa kweneye gari lingine” amesema Zakaria na kuongeza
“Dakika chache majeruhi waliopelekwa kwenye kituo cha afya cha Nasa watatu walifariki, wakiwemo wale waandishi wa habari waliokuwa kwenye msafara”
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyo, Blasius Chatanda yupo katika hospitali ambako majeruhi walikopelekwa akiahidi kuwa atatoa taarifa baadaye.
Chanzo: Mwananchi
Acha uongo..Hapo hata hujaona cruiser mbili. Umeona cruiser moja katika angles tofauti.
Ni kweli wakati mwingine madereva wa serikali hujiona wana haki tofauti katika matumizi ya barabara. Na hapo utasikia wametolea kafara.Huu utaratibu wa magari yaliyoko kwenye msafara wa viongozi kuendeshwa kama yanaendeshwa na vichaa ufikia mahali ufe.
Hakuna wanapowahi zaidi ya kaburini tu halafu utasikia "ni mpango wa Mungu".
Stupid fools.
Hapo hakuna land cruiser V8. Iliyopata ajali ni land cruiser II - Prado.Acha uongo..
Cruiser moja (V8) imebinuka upande
Nyingine imesimama lakin juu imefumuka.
Waandishi wa habari tafuteni habari sio kufuatana na misafara ya wanasiasa matapeliWatu 14 wamefariki dunia baada ya gari ya waandishi wa habari iliyokuwa kwenye msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza (RC), Robert Gabriel kugongana na gari ya abiria Hiace katika eneo la Nyamikoma wilaya ya Busega Mkoani Simiyu.
Mkuu wa Wilaya ya Busega (DC), Gabriel Zakaria amethibitisha kutokea vifo hivyo.
--
Rais Samia atoa salamu za Rambirambi
''View attachment 2076839
====
Watu 14 wamefariki dunia baada ya gari la waandishi wa habari iliyokuwa kwenye msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza (RC), Robert Gabriel kugongana na gari ya abiria Hiace katika eneo la Nyamikoma wilaya ya Busega Mkoani Simiyu.
Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu akiwa eneo la tukio, Mkuu wa Wilaya ya Busega (DC), Gabriel Zakaria amethibitisha kutokea vifo hivyo.
Amesema kati ya vifo hivyo kuna vifo vya waandishi wa habari wanne na dereva wa waandishi na watu wengine sita walifariki papo hapo
“Ni kweli ajali hiyo imetokea, watu 11 wamefariki kwenye eneo la tukio wakiwemo waandishi wa habari 4 na dereva na wengine sita waliokuwa kweneye gari lingine” amesema Zakaria na kuongeza
“Dakika chache majeruhi waliopelekwa kwenye kituo cha afya cha Nasa watatu walifariki, wakiwemo wale waandishi wa habari waliokuwa kwenye msafara”
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyo, Blasius Chatanda yupo katika hospitali ambako majeruhi walikopelekwa akiahidi kuwa atatoa taarifa baadaye.
Chanzo: Mwananchi
Kama umenisoma mawazo yangu vile.Ndio maana huwa sioni logic ya kushangilia mwaka mpya.
Kwangu logic ni kushukuru kumaliza mwaka na sio kushangilia mwaka mpya, mwaka ambao ndio unaweza kuwa mwisho wa maisha yako.
Alimbania Afisa habari...Dogo alishakamilisha michakato ya kuhama, kibali kimetumwa kutoka tamisemi, Mkurugenzi amegoma kumpatia hadi leo umauti umemkuta.Duh alimbania dereva kuhama nini?
Mimi ninashauri hawa madereva wa serikali wanunuliwe gari za kawaida kama za kwetu watu wa chini. Hizi gari zenye uwezo mkubwa zinawapa viburi na kujiamnini kukimbia mwendokasi wenye matokeo kama haya. Inatakiwa wapewe gari kama kirikuu (suzuki carry) ili tuone kama wataendelea na mwendokasi, wameonywa lakini hawasikii.Watu 14 wamefariki dunia baada ya gari ya waandishi wa habari iliyokuwa kwenye msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza (RC), Robert Gabriel kugongana na gari ya abiria Hiace katika eneo la Nyamikoma wilaya ya Busega Mkoani Simiyu.
Mkuu wa Wilaya ya Busega (DC), Gabriel Zakaria amethibitisha kutokea vifo hivyo.
--
Rais Samia atoa salamu za Rambirambi
''View attachment 2076839
====
Watu 14 wamefariki dunia baada ya gari la waandishi wa habari iliyokuwa kwenye msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza (RC), Robert Gabriel kugongana na gari ya abiria Hiace katika eneo la Nyamikoma wilaya ya Busega Mkoani Simiyu.
Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu akiwa eneo la tukio, Mkuu wa Wilaya ya Busega (DC), Gabriel Zakaria amethibitisha kutokea vifo hivyo.
Amesema kati ya vifo hivyo kuna vifo vya waandishi wa habari wanne na dereva wa waandishi na watu wengine sita walifariki papo hapo
“Ni kweli ajali hiyo imetokea, watu 11 wamefariki kwenye eneo la tukio wakiwemo waandishi wa habari 4 na dereva na wengine sita waliokuwa kweneye gari lingine” amesema Zakaria na kuongeza
“Dakika chache majeruhi waliopelekwa kwenye kituo cha afya cha Nasa watatu walifariki, wakiwemo wale waandishi wa habari waliokuwa kwenye msafara”
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyo, Blasius Chatanda yupo katika hospitali ambako majeruhi walikopelekwa akiahidi kuwa atatoa taarifa baadaye.
Chanzo: Mwananchi
======
UPDATES;
Waandishi Waliofariki
1. Abel ngapemba Afisa habari mwanza
2. Vanny charles mwandishi
3. Johari shani mwandishi
4. Steven Afisa habari ukerewe
5. Husna mlanzi ITV
6. ANTONY chuwa ITV
Si kwa ubaya ila gari la mwanzo limeandikwa Kazi iendeleeWatu 14 wamefariki dunia baada ya gari ya waandishi wa habari iliyokuwa kwenye msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza (RC), Robert Gabriel kugongana na gari ya abiria Hiace katika eneo la Nyamikoma wilaya ya Busega Mkoani Simiyu.
Mkuu wa Wilaya ya Busega (DC), Gabriel Zakaria amethibitisha kutokea vifo hivyo.
--
Rais Samia atoa salamu za Rambirambi
''View attachment 2076839
====
Watu 14 wamefariki dunia baada ya gari la waandishi wa habari iliyokuwa kwenye msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza (RC), Robert Gabriel kugongana na gari ya abiria Hiace katika eneo la Nyamikoma wilaya ya Busega Mkoani Simiyu.
Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu akiwa eneo la tukio, Mkuu wa Wilaya ya Busega (DC), Gabriel Zakaria amethibitisha kutokea vifo hivyo.
Amesema kati ya vifo hivyo kuna vifo vya waandishi wa habari wanne na dereva wa waandishi na watu wengine sita walifariki papo hapo
“Ni kweli ajali hiyo imetokea, watu 11 wamefariki kwenye eneo la tukio wakiwemo waandishi wa habari 4 na dereva na wengine sita waliokuwa kweneye gari lingine” amesema Zakaria na kuongeza
“Dakika chache majeruhi waliopelekwa kwenye kituo cha afya cha Nasa watatu walifariki, wakiwemo wale waandishi wa habari waliokuwa kwenye msafara”
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyo, Blasius Chatanda yupo katika hospitali ambako majeruhi walikopelekwa akiahidi kuwa atatoa taarifa baadaye.
Chanzo: Mwananchi
======
UPDATES;
=====
Waandishi waliofariki kwenye ajali ya gari ni
1. Husna Mlanzi wa ITV
2. Vanny Charles wa Icon
3. Johari Shani wa Uhuru Digital
4. Antony Chuwa wa ITV
5. Abel Ngapemba Afisa habari Mwanza
6. Steven Afisa Habari Ukerewe
Miili yao imehifadhiwa katika Kituo cha Afya Nassa wilayani Busega mkoani Simiyu.
sasa na hao wa itv, uhuru digital wamepandaje gari ya serikali?wangekuwa waandishi pekee wa halamashauri hapo sawa..Hao ni waajiriwa, ni maafisa habari wa halmashauri.
Duh Apumzike kwa amani maisha haya sijui anajidillsikiaje huko alipoAlimbania Afisa habari...Dogo alishakamilisha michakato ya kuhama, kibali kimetumwa kutoka tamisemi, Mkurugenzi amegoma kumpatia hadi leo umauti umemkuta.