Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magari ya serikali wanajiona kama wao ndiyo wana mamlaka wao wakuu juu ya sheriaKwa ujumla nidhamu ya maderefa wa serikali imepungua siyo kwenye misafara ya viongozi tu, bali hata katika uendeshaji wa kawaida.
God gives God takes, his name be glorified!Husna Mlanzi wa ITV Moja ya waliofarikiView attachment 2076909
Mmoja binafsi namfahamu, Anthony ChuwaNina rafiki zangu kibao kwenye tasnia hiyo waliopo Mwanza. Natamani nifahamu majina ya waathirika, lakini nimeshindwa kuwapigia simu mmoja mmoja! Natamani niwatambue kwa njia nyingine!
Aliyepata majina, naomba atupatie!
Kila Serikali inakujaga na yake... Naona Mama ameingia kama Mkapa.. Hata sijui haya ni maagano gani!?Watu 14 wamefariki dunia baada ya gari ya waandishi wa habari iliyokuwa kwenye msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza (RC), Robert Gabriel kugongana na gari ya abiria Hiace katika eneo la Nyamikoma wilaya ya Busega Mkoani Simiyu.
Mkuu wa Wilaya ya Busega (DC), Gabriel Zakaria amethibitisha kutokea vifo hivyo.
--
Rais Samia atoa salamu za Rambirambi
''View attachment 2076839
====
Watu 14 wamefariki dunia baada ya gari la waandishi wa habari iliyokuwa kwenye msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza (RC), Robert Gabriel kugongana na gari ya abiria Hiace katika eneo la Nyamikoma wilaya ya Busega Mkoani Simiyu.
Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu akiwa eneo la tukio, Mkuu wa Wilaya ya Busega (DC), Gabriel Zakaria amethibitisha kutokea vifo hivyo.
Amesema kati ya vifo hivyo kuna vifo vya waandishi wa habari wanne na dereva wa waandishi na watu wengine sita walifariki papo hapo
“Ni kweli ajali hiyo imetokea, watu 11 wamefariki kwenye eneo la tukio wakiwemo waandishi wa habari 4 na dereva na wengine sita waliokuwa kweneye gari lingine” amesema Zakaria na kuongeza
“Dakika chache majeruhi waliopelekwa kwenye kituo cha afya cha Nasa watatu walifariki, wakiwemo wale waandishi wa habari waliokuwa kwenye msafara”
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyo, Blasius Chatanda yupo katika hospitali ambako majeruhi walikopelekwa akiahidi kuwa atatoa taarifa baadaye.
Chanzo: Mwananchi
======
UPDATES;
=====
Waandishi waliofariki kwenye ajali ya gari ni
1. Husna Mlanzi wa ITV
2. Vanny Charles wa Icon. TV
3. Johari Shani wa Uhuru Digital
4. Antony Chuwa wa Habari leo Digital
5. Abel Ngapemba Afisa habari Mwanza
6. Steven Msengi Afisa Habari Ukerewe
7. Paul Silanga Dereva wao
Miili yao imehifadhiwa katika Kituo cha Afya Nassa wilayani Busega mkoani Simiyu.
Ajabu waandishi wa habari wanabebwa kama magunia na kupewa vibahasha vya posho ya mboga ilimradi tu wakaripoti habari kumpaisha mwanasiasa.. waandishi wa habari mjitathmini...kutwa kikimbilia kwenda kuripoti matukio ya wanasiasa na huku mtaani matukio ya wananchi, kero na maoni kuhusu serikali yao yamejaa ila hamuendi..
Huu utaratibu wa magari yaliyoko kwenye msafara wa viongozi kuendeshwa kama yanaendeshwa na vichaa ufikia mahali ufe.
Hakuna wanapowahi zaidi ya kaburini tu halafu utasikia "ni mpango wa Mungu".
Stupid fools.
Wanaambiwa na Nani wakati katibu mkuu kashasaini kibali mtu ahame, na wakati huo halmashauri nyingine watu wanapewa vibali....ni kutoheshimu mamlaka na roho mbaya tu ya huyo mkurugenzi, haya mwenzie kafariki sasa, hiko kibali akafungie vitumbua, au akibandike ukutani iwe ukumbusho.Sema inawezekana nyuma ya pazia wanaambiwa wasitoe uhamisho izi maswala ya serikali kuna mengi sana
Dah.... RC wa Mwanza ndani ya Simiyu...ziara ya kikazi..... Kama bi Mkubwa anashinda ndani ya ndege....Basi wengine Ni kina Nani hasa hata wasipende padiemu? 🤣🤣🤣🤣🤭Kuwa Mwafrika ni tatizo, hivi kuna haja gani mkuu wa mkoa kutembea na wanahabari wengi kiasi hichi?
Hao 6 ndio waliofariki, je waliopona na waliofariki jumla ya waandishi wa habari walikuwa wangapi?
What relevance want you to establish?Utawala wa mama unamatukio ya misiba sana yasiyoisha! Watu wanauana wanauliwa nk!
Walikuwa wanaelekea Ukerewe, kufika Ukerewe kuna njia mbili, moja ya Meli pale Mwanza, na nyingine kupitia Bunda ambako wangepanda kivuko.Dah.... RC wa Mwanza ndani ya Simiyu...ziara ya kikazi..... Kama bi Mkubwa anashinda ndani ya ndege....Basi wengine Ni kina Nani hasa hata wasipende padiemu? 🤣🤣🤣🤣🤭
Waandishi waliofariki kwenye ajali ya gari niNina rafiki zangu kibao kwenye tasnia hiyo waliopo Mwanza. Natamani nifahamu majina ya waathirika, lakini nimeshindwa kuwapigia simu mmoja mmoja! Natamani niwatambue kwa njia nyingine!
Aliyepata majina, naomba atupatie!