Simiyu: Watu 14 wafariki dunia kwenye ajali katika msafara wa Mkuu wa Mkoa Mwanza

Simiyu: Watu 14 wafariki dunia kwenye ajali katika msafara wa Mkuu wa Mkoa Mwanza

Ni kweli kabisa, hapo Kuna watu wamegeuzwa sadaka hyo mendokasi ni kisingizio tu nakumbuka Kuna mtu alianzisha Uzi jinsi walivokuwaga wanasababisha ajali huku watu tukisingizia mwendokasi
Tarehe 11 January na watu 11 on the sport kuchinjwa then unaongeza 3 ili kupata 14 ambayo ni 1+4 unapata 5 ambayo Pentagon kwa elimu ya namba (numerology) ina maana sana.
Connect dots na September 11, 2001 au 11.03.2011 Tsunami iliyoua maelfu Japan.
Yaani 5+6=11
Watano kwenye gari hili na Sita kwenye hilo, perfect masonic numbers
 
Maafisa wa Marekani wakati wakitathimini hali na usalama wa rais wa Baraka Obama alipokuja Tanzania, wali konklud kuwa barabara zetu ni mbovu na hatarishi sana kwa usalama wa rais wao, hivyo katika msafar wake aendeshwe kwa mwendo mdogo from ubungo tanesco to airport.

nashangaa usalama wetu wanapo ruhusu kukimbizwa kwa viongozi wetu kwa mwendo wa mashindano ya magari, as if kuna imejensi huko waendapo given ubovu wa barabara.

Nakuunga mkono mkuu..
Kamwe usilinganishe usalama wa Marekani na vitu vya ajabu ajabu vya kupikia majungu.
 
Hayo ma-STJ yasivyozingatia sheria barabarani hiki kinachotokea hakishangazi.
 
Mamii polee mkuu lakini usimlaumu sana huyo boss inawezekana kibali kilikuwa tayari lakini bado hakukuwa na mfanyakazi mbadala wake hivyo alikuwa anangoja apate mtu mbadala aachie kibali ni taratibu tu za kazi .
Na kama alikuwa hampendi kwa nini ampe safari maana ina marupurupu hiyo safari kwa dereva. Bosi angeendelea kumbana na hata safari asingepata. Pole sana Mamy.
Baada ya kufa kapatikana mfanyakazi mbadala????

Acheni kutetea vitu vya hovyo.

Nani asyejua Tanzania kila mtu anataka aabudiwe na kupigiwa magoti kila siku???

Makurugenzi mengi ni ya hovyo kabisa, yana roho mbaya kuliko maelezo.

Kila kona ya nchi yanalalamikiwa hayo majitu.
 
Mkuu kijiografia mwanza na simiyu hasa wilaya ya Busega ni jirani,na kabla ya mkoa wa simiyu, Busega ilikuwa Mwanza,hapo mkuu wa mkoa wa Mwanza alikuwa anaenda ukerewe kwa ziara ya kikazi,so ili ufike ukerewe ni eidha upite Mwanza kwa kupanda meli ambapo ni almost masaa 3 Hadi 4 kufika ukerewe,au upite njia ya nchi kavu kwa kupitia Busega ,Bunda badae kibara dheni ukerewe,hapa utavuka kwa kivuko toka chisorya Hadi ng'ambo ambapo Ni dakika 30 kufika ukerewe.

Nadhani mkuu wa mkoa kwa uharaka aliokuwa nao aliopt njia ya nchi kavu ili awahi kufika ,so usishangae kusikiwa mkuu wa mkoa wa Mwanza kukutwa na ajari simiyu.
Dah...mbona imeandikwa wazi kabisa "akiwa ziarani Simiyu".. .rudia kusoma Uzi wa misingi....Kisha urejee utetezi wako 🤣🤣🤭
 
Tarehe 11 January na watu 11 on the sport kuchinjwa then unaongeza 3 ili kupata 14 ambayo ni 1+4 unapata 5 ambayo Pentagon kwa elimu ya namba (numerology) ina maana sana.
Connect dots na September 11, 2001 au 11.03.2011 Tsunami iliyoua maelfu Japan.
Yaani 5+6=11
Watano kwenye gari hili na Sita kwenye hilo, perfect masonic numbers

You watching too much movies man!
 
Inawezekana kulikuwa na mvutano kati marehemu na Mkurugenzi na hivyo kuamua kutomshirikisha kuhusu kutaka kuhama. Mkurugenzi kuona hajashirikishwa akaamua kutompa ushirikiano marehemu na hivyo kuhisi kama ilikuwa ni insubordination kwa Mkurugenzi which is not the case!!

R.I.P kijana!
Sasa mtumishi ambaye mkurugenzi kaona hamuheshimu anakiuka hierarchy si ni vizuri angemuachia aondoke ili aliondoe kabisa tatizo.. watu wa chini wanapambania maisha yao ila wanakwamishwa na wajinga wachache wenye nyadhifa za koneksheni na ukada ambao tayari wao wameshapiga hatua
 
Magari ya serikali wanajiona kama wao ndiyo wana mamlaka wao wakuu juu ya sheria
Kwenye matumizi ya barabara


Ova
Wakulaumiwa Ni huyo kiongozi.
Speed ya magari unaiona lkn uko kimya tu hukemei.
Mkuu wa mkoa angemuambia dereva wake apunguze spidi hakuna mtu ambaye Ange overtake gari la mkuu. Lkn mkuu mwenyewe yupoyupo tu anataka kuwahi. Sijui alichelewa wapi.
 
Sasa mtumishi ambaye mkurugenzi kaona hamuheshimu anakiuka hierarchy si ni vizuri angemuachia aondoke ili aliondoe kabisa tatizo.. watu wa chini wanapambania maisha yao ila wanakwamishwa na wajinga wachache wenye nyadhifa za koneksheni na ukada ambao tayari wao wameshapiga hatua
Na wala hakuruka hatua, mchakato aliuanza wakati huo mkurugenzi ni mwingine, kibali kimefika wakati huyu mkurugenzi wa sasa ndo amefika, na amegoma kukitoa...na sio huyu marehemu (naumia kutumia hili jina) peke yake, kuna wengine pia vibali vyao viko kwa huyo mkurugenzi.
 
Na wala hakuruka hatua, mchakato aliuanza wakati huo mkurugenzi ni mwingine, kibali kimefika wakati huyu mkurugenzi wa sasa ndo amefika, na amegoma kukitoa...na sio huyu marehemu (naumia kutumia hili jina) peke yake, kuna wengine pia vibali vyao viko kwa huyo mkurugenzi.
Sasa jitu limelamba nyadhifa kwa koneksheni na ukada kwanini lisiwe kibri na hulka ya kiMungu mtu.. wengi ni maSADIST.. heartless mo....kers
 
Baada ya kufa kapatikana mfanyakazi mbadala????

Acheni kutetea vitu vya hovyo.

Nani asyejua Tanzania kila mtu anataka aabudiwe na kupigiwa magoti kila siku???

Makurugenzi mengi ni ya hovyo kabisa, yana roho mbaya kuliko maelezo.

Kila kona ya nchi yanalalamikiwa hayo majitu.
Wanatulazimisha kuwaombea dua mbaya hawa watu, Wana roho mbaya sana...sasa na hivyo vibali vingine mfano walimu nao hakuna mbadala?
Yani kuna muda tunawaza angekuwa kashapewa kibali kaondoka labda asingekutana na hii ajali zembe....
Mkurugenzi hii damu ya huyu kijana will haunt you...
 
Back
Top Bottom