Simiyu: Watu 14 wafariki dunia kwenye ajali katika msafara wa Mkuu wa Mkoa Mwanza

Kwa hii mbung’aa nang’ado inaonesha dereva alikuwa anatembea na 150KPH humo sema hiace ilipotokea ndio sielewi au dereva alikuwa anatanua kwenye kilima?
 
Hapo hakuna land cruiser V8. Iliyopata ajali ni land cruiser II - Prado.

Hizo picha ni gari moja ila imepigwa picha angle tofautitofauti.
Wote mnazingua! Hio Cruiser ni LX ya. 1HZ sio V8 wala sio Land Cruiser 2
 
Hahahahah hata Kirikuu itapigwa Mosh 3 mzee😅😅😅 tatizo la hawa madereva ni kujiamini kulikopitiliza yeye ana overtake hata kwenye blindspot! Haangalii kuna gari mbele ukute aliion hiace ila akatanua makusudi kabisa ili amalize semi pembeni yake. Mwishowe kashindwa kuimaliza kaivagaa
 
Sasa kila mtu akikimbia ofisi mnataka abakie pekeyake au
 
Idadi ya watu wanaotembea kwa msafara ipunguzwe, wabaki viongozi wajuu tu,
 
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza alikuwa na ziara Mkoa wa Simiyu?
Unaweza kujiuliza maswali mengi ukakosa majibu....nimeumia mno na kifo cha Husna
Hakuwa na ziara Simiyu walikuwa wanenda ukerewe so walikuwa wanenda kuvukia Bunda, ajali wameipatia wilaya ya busega zamani ilikuwa ni sehemu ya wilaya ya Magu-Mwanza, Walikopatia ajali na makao makuu ya mkoa wa Simiyu ni mbali
 
Magari ya serikali wanajiona kama wao ndiyo wana mamlaka wao wakuu juu ya sheria
Kwenye matumizi ya barabara


Ova
Tatizo ni uzembe yani! Mie naendesha gari ila usalama ni muhimu sana sio kujitanulia kama fala af katika gari ambazo sio salama kwenye barabara ni hizi za kuvunja miwa😅 bora auto ukishindilia brake inaweza simama haraka!

Mtu anakuwa anafungwa mota mie hata kama boss anasumbua ntampotezea tu mpaka ambako naona pako safe nafidia muda😅
 
Lakini pia RC kwa mamlaka yake anaruhusiwa kuwa na Police escort ambayo inatangulia kusafisha barabara mbele au mzimu wa ajali ya Sokoine bado ungalipo? kwamba barabara imesafishwa na pikipiki au gari la Polisi lakini anajitokeza mwehu mmoja na ki-hiace chake anaamua kujitoa akili....
 
Husna yupi mkuu?
 
Usilolijua! Ili ufike ukerewe ukiwa Mwanza ni either uvukie Mwanza mjini, usafiri ni meli almost 5 to 6hrs to ukerewe au upitie Bunda - Kisorya ambako utavuka na fery kwa nusu saa, Mwanza - Bunda Kisorya kwa ule mwendo wao ni 2 to 3hrs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…