Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaUshakula bangi zako na viroba unakuja kuleta viingereza vyako vya st kayumba hapa hela yenyewe umepewa na mume wa dadaako
Sasa mbona ndo kapewa ubalozi badala ya kuwa demoted hata wamrudishe kuwa ACPSakata la mauaji yaliyotokea Mtwara ambapo Askari polisi walimpora na kumuua mfanyabiashara wa madini na kisha kumuua askari mwenzao aliyetoa siri za mauaji, kisha Sirro akatumika kufunika issue nzima kuwalinda askari wake (kuficha aibu ya jeshi la polisi) ndio chambo iliyotumika kumng'oa Sirro, lakini kiuhalisia Sirro alikuwa hatakiwi na Samia tangu Samia anaapishwa kuwa raus. Kwanini? Sirro aliwekwa na Magufuli kwa "kazi maalum", baada ya kifo cha Magufuli ilipaswa ang'olewe pale haraka sana maana angekuwa ni 'security threat' ya utawala wa mama.
Bwana PGO kaulaHata kumuondoa Kingai juzi Kinondoni kumpeleka Kigoma kuna sehemu wakubwa hawakufurahishwa na Sirro
Kuna jambo itakua limemnukisha.
Membe kusini, Wambura Kanda ya ziwa Musoma, labda kama ni siblingNje ya mada mleta mada. Naomba kuuliza huyu Camilius Wambura ana undugu na Benard Membe kachero mbobezi na mwanadiplomasia mzoefu? Kwasababu majina Yao yanafanana. Pia Membe Jina lake la kati ni Camilius.
Membe kusini , wambura Kanda ya ziwa msoma , labda kama ni sibling
Polisi wamekuwa Majambazi yanayovaa uniform, mfano hai mauaji ya mfanyabiashara wa kule Mtwara.Ilikuwa imebaki mwaka mmoja tu Simon Sirro atimize miaka 60 na yeye kustaafu kwa heshima.
Ametibua nini? Mpaka akag'olewa ?View attachment 2297927
Hapana mkuu huyo ametoka kanda ya ziwa port wake na Sirro mkoa wa MaraNje ya mada mleta mada. Naomba kuuliza huyu Camilius Wambura ana undugu na Benard Membe kachero mbobezi na mwanadiplomasia mzoefu? Kwasababu majina Yao yanafanana. Pia Membe Jina lake la kati ni Camilius.
Kwani Ndugu, hata Yale ya Madukani Rau si palikuwa Kwa ofisi🤔Ilikuwa imebaki mwaka mmoja tu Simon Sirro atimize miaka 60 na yeye kustaafu kwa heshima.
Ametibua nini? Mpaka akag'olewa ?View attachment 2297927
Na huo ubalozi baada ya mwaka unaisha maana ubalozi unastaafu ukifikisha 60Ubalozi ni cheo kikubwa kuliko IGP lakini kimajukumu IGP ndio mpango mzima.Ubalozi kwa Tanzania ukizingua wanakurusha mbali uache kiherehere.Rejae issue ya Polepole.
Mkuu punguza hasira. Kubali tu Loliondo na Ngorongoro 👋. Komaa tu huko longido.Kuna jambo itakua limemnukisha.
Ikiwa umepanga chumba kimoja harafu una watoto 2 waliopevuka kidogo ukahitaji falagha watoto utawatuma kwa Mangi wakanunue bigbom harafu wewe nyuma unafanya yako.Ilikuwa imebaki mwaka mmoja tu Simon Sirro atimize miaka 60 na yeye kustaafu kwa heshima.
Ametibua nini? Mpaka akag'olewa ?View attachment 2297927