babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Hamna kitu km hiyo we mwanga,Na huo ubalozi baada ya mwaka unaisha maana ubalozi unstaafu ukifikisha 60
Kashaula huyo miaka 5-10.
Kanye ulale na umaskini wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu km hiyo we mwanga,Na huo ubalozi baada ya mwaka unaisha maana ubalozi unstaafu ukifikisha 60
Kwanini mnapenda kumvictimise JPM? Walioko madarakani wote walikuwa pamoja naye! Sioni jipya hapo.Sakata la mauaji yaliyotokea Mtwara ambapo Askari polisi walimpora na kumuua mfanyabiashara wa madini na kisha kumuua askari mwenzao aliyetoa siri za mauaji, kisha Sirro akatumika kufunika issue nzima kuwalinda askari wake (kuficha aibu ya jeshi la polisi) ndio chambo iliyotumika kumng'oa Sirro, lakini kiuhalisia Sirro alikuwa hatakiwi na Samia tangu Samia anaapishwa kuwa raus. Kwanini? Sirro aliwekwa na Magufuli kwa "kazi maalum", baada ya kifo cha Magufuli ilipaswa ang'olewe pale haraka sana maana angekuwa ni 'security threat' ya utawala wa mama.
Ila amefanya kazi nzuri sana kibiti.Huyu na yule aliyekuwa mungu mdogo wa mjengoni tabia zao zilikuwa sawa,kila wakipata nafasi walikuwa wakimjibu Mother house wanavyotaka hawakujua Mhimili uliojichimbia mizizi mirefu unaweza kufanya yake wakati wowote muda wowote.
Kifupi Mother house alilalamikia utendaji mbovu wa jeshi la Police badala ya Mkuu wake kuangalia wapi pa kurekebisha akarusha vijembe kwamba unaweza kumchikia yeye kama yeye lakini usilichukie jeshi la police.
Mother house 'nikisema najibiwa' nyenyenyenye something like that nikajisemea huyu Mwamba nafasi ya UBALOZI inanukia.
Always! OkayHamna kitu km hiyo we mwanga,
Kashaula huyo miaka 5-10.
Kanye ulale na umaskini wako
Tofauti iliypo kati ya umri wao haiwezi kuwa chini ya miaka minne!Hivi umri wa Sirro na Wambura nani mkubwa?
kitendo cha kumuua hamza baada ya kumpora madini yakeIlikuwa imebaki mwaka mmoja tu Simon Sirro atimize miaka 60 na yeye kustaafu kwa heshima.
Ametibua nini? Mpaka akag'olewa?
Pia, soma=> Kamishna Camillus Wambura ateuliwa kuwa IGP Mpya. Sirro apewa Ubalozi Zimbabwe, Kingai ateuliwa kuwa DCI
Wala sio ajali na halihusiani na ajaliHuzioni ajali zinazotokea kila uchao na hakuna hatua zozote anazochukua!?
Hana uhusiono na Membe,Wambura mkikuyu🙂Nje ya mada mleta mada. Naomba kuuliza huyu Camilius Wambura ana undugu na Benard Membe kachero mbobezi na mwanadiplomasia mzoefu? Kwasababu majina Yao yanafanana. Pia Membe Jina lake la kati ni Camilius.
Kupisha maridhiano🤣Ilikuwa imebaki mwaka mmoja tu Simon Sirro atimize miaka 60 na yeye kustaafu kwa heshima.
Ametibua nini? Mpaka akag'olewa?
Pia, soma=> Kamishna Camillus Wambura ateuliwa kuwa IGP Mpya. Sirro apewa Ubalozi Zimbabwe, Kingai ateuliwa kuwa DCI
Ameenda zimbabwe alikotangulia Roma mkatoliki.IGP tunamkaribisha kundini.
kwani afande mangu alifanya kosa?Nafasi ya kveuliwa c lazima hadi ustafu .Ilikuwa imebaki mwaka mmoja tu Simon Sirro atimize miaka 60 na yeye kustaafu kwa heshima.
Ametibua nini? Mpaka akag'olewa?
Pia, soma=> Kamishna Camillus Wambura ateuliwa kuwa IGP Mpya. Sirro apewa Ubalozi Zimbabwe, Kingai ateuliwa kuwa DCI
Halafu hao wote Ni waikizu wa Mkoani maraHivi umri wa Sirro na Wambura nani mkubwa?
Once stupid always stupid being aged doesn't change a thing🤣🤣🤣🤣With my advanced age and all my head is gray you call me stupid? You know I can utter a single word and be a curse to you?
MODs please I demand an apology!
Inakuwaje mkuu? Bado unakula kiyoyoz tu kwenye kiti cha kuzunguka mbele yako kwa juu kidogo kuna picha ya mama?Once stupid always stupid being aged doesn't change a thing🤣🤣🤣🤣
Aisee kumbe nn ww😂😂😂😂😂😂Inakuwaje mkuu? Bado unakula kiyoyoz tu kwenye kiti cha kuzunguka mbele yako kwa juu kidogo kuna picha ya mama?
Ama hupo mafia unavua ngadu?
Mkuu umenifanya niangue kicheko Cha hatarii hapa Hadi shemeji Yako kashangaaAisee kumbe nn ww😂😂😂😂😂😂
Huzioni ajali zinazotokea kila uchao na hakuna hatua zozote anazochukua!?