Simon Sirro amefanya kosa gani mpaka akaondolewa u-IGP kabla ya kustaafu kama Venance Mabeyo?

Kwanini mnapenda kumvictimise JPM? Walioko madarakani wote walikuwa pamoja naye! Sioni jipya hapo.
 
Ila amefanya kazi nzuri sana kibiti.
 
Nje ya mada mleta mada. Naomba kuuliza huyu Camilius Wambura ana undugu na Benard Membe kachero mbobezi na mwanadiplomasia mzoefu? Kwasababu majina Yao yanafanana. Pia Membe Jina lake la kati ni Camilius.
Hana uhusiono na Membe,Wambura mkikuyuπŸ™‚
 
Harry Maguire mzee wa maboko nadhani kwenda ubalozini ni upendeleo kwake.
 
With my advanced age and all my head is gray you call me stupid? You know I can utter a single word and be a curse to you?

MODs please I demand an apology!
Once stupid always stupid being aged doesn't change a thing🀣🀣🀣🀣
 
Inakuwaje mkuu? Bado unakula kiyoyoz tu kwenye kiti cha kuzunguka mbele yako kwa juu kidogo kuna picha ya mama?

Ama hupo mafia unavua ngadu?
Aisee kumbe nn wwπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…