Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Utakuwa mjinga!!!! Wale wote ambao hufanana jina moja ni ndugu? Unataka kuunda hoja ya msoga gang kwa kujitoa ufaham....Nje ya mada mleta mada. Naomba kuuliza huyu Camilius Wambura ana undugu na Benard Membe kachero mbobezi na mwanadiplomasia mzoefu? Kwasababu majina Yao yanafanana. Pia Membe Jina lake la kati ni Camilius.
Kwani Mangu alifanya kosa ganiIlikuwa imebaki mwaka mmoja tu Simon Sirro atimize miaka 60 na yeye kustaafu kwa heshima.
Ametibua nini? Mpaka akag'olewa?
Pia, soma=> Kamishna Camillus Wambura ateuliwa kuwa IGP Mpya. Sirro apewa Ubalozi Zimbabwe, Kingai ateuliwa kuwa DCI
Nje ya mada mleta mada. Naomba kuuliza huyu Camilius Wambura ana undugu na Benard Membe kachero mbobezi na mwanadiplomasia mzoefu? Kwasababu majina Yao yanafanana. Pia Membe Jina lake la kati ni Camilius.
Tatizo la Ajali linahusika Vipi na IGP ? Nani mwenye Jukumu la kwanza la kuzuia ajali ni Dereva au IGP? Na pia unasema ajali zimeongezeka , Kwa Takwimu ipi na ukilinganisha na ya mwaka Gani ? Kwa Ratio ipi ukilinganisha na wingi wa magari ya mwaka Gani?. Ulitegemea ajali zibaki Kwa ratio ya miaka ya 80 wakati pikipiki vijjini zilikua za mabwana Shamba tuu. Leo Kuna pikipiki maelfu Huko vijijini na Malaki mijini unategemea IGP atazuia Vipi ajali wakati miundo mbinu ni Ile Ile isiyokidhi.Huzioni ajali zinazotokea kila uchao na hakuna hatua zozote anazochukua!?
Ubalozi ni uhamishoni. Ni kama ukimbizi wa Kistarabu na wenye maslahi lakini kwenye nchi isiyo yako ni kama kifungo Cha nje hakuna uhuru. Unakua mbali na masela wako uliokua unakutana nao na kucheza BAO na pool. Hivi vyeo nadhani vingefanywa Kwa kuomba na kueleza utalifanyia Nini Taifa. Siro alitakiwa astaafu na kupumzika zake nyumbani kwao Butiama.Balozi ah iyo cheo kikubwa zaidi ya IGP..... Hiyo ni demotion. Wenyewe wanaziita ni Horizontal drop.
Siri ya mtungi aijuae kataKuna jambo itakuwa limemnukisha.
Mkuu IGP yuko juu ya Balozi kimajukumu.. Wenye vyeo ya Balozi wako wengi lakini IGP yuko mmoja tu kwa wakati..Kwani ikiwa IGP na kuwa Balozi kipi ni high rank?
Hii issue mbona Siro alisema ilichelewa kufika mezani kwake! Lakini alipoipata tu anakuambia ndani ya miezi mitatu aliipiga hadi mwili kupatikana,na kuwafikisha Mahakamani Watuhumiwa wote ambao ndiyo hao maafisa wa police!!??Sakata la mauaji yaliyotokea Mtwara ambapo Askari polisi walimpora na kumuua mfanyabiashara wa madini na kisha kumuua askari mwenzao aliyetoa siri za mauaji, kisha Sirro akatumika kufunika issue nzima kuwalinda askari wake (kuficha aibu ya jeshi la polisi) ndio chambo iliyotumika kumng'oa Sirro, lakini kiuhalisia Sirro alikuwa hatakiwi na Samia tangu Samia anaapishwa kuwa raus. Kwanini? Sirro aliwekwa na Magufuli kwa "kazi maalum", baada ya kifo cha Magufuli ilipaswa ang'olewe pale haraka sana maana angekuwa ni 'security threat' ya utawala wa mama.
😂 😂 😂 Pole sana wahome..With my advanced age and all my head is gray you call me stupid? You know I can utter a single word and be a curse to you?
MODs please I demand an apology!
Ajali rushwa Kwa wanausalama barabarani badala ya kutekelezwa ,kufanya ukaguzi inavyostahili,achilia Mbali kesi michongo na milungula inapohusiana na majukumu ya msingi Kwa anaowasimamia🤔Huzioni ajali zinazotokea kila uchao na hakuna hatua zozote anazochukua!?
Well said.Sakata la mauaji yaliyotokea Mtwara ambapo Askari polisi walimpora na kumuua mfanyabiashara wa madini na kisha kumuua askari mwenzao aliyetoa siri za mauaji, kisha Sirro akatumika kufunika issue nzima kuwalinda askari wake (kuficha aibu ya jeshi la polisi) ndio chambo iliyotumika kumng'oa Sirro, lakini kiuhalisia Sirro alikuwa hatakiwi na Samia tangu Samia anaapishwa kuwa raus. Kwanini? Sirro aliwekwa na Magufuli kwa "kazi maalum", baada ya kifo cha Magufuli ilipaswa ang'olewe pale haraka sana maana angekuwa ni 'security threat' ya utawala wa mama.
Sirro na Mabeyo walimpambania SSH alipokuwa anakutana na upinzani dhidi ya urais wake baada tu ya JPM kuaga dunia, hivyo imembidi SSH amvumilie kwa muda mrefu kama kumtunzia heshima yake.Sakata la mauaji yaliyotokea Mtwara ambapo Askari polisi walimpora na kumuua mfanyabiashara wa madini na kisha kumuua askari mwenzao aliyetoa siri za mauaji, kisha Sirro akatumika kufunika issue nzima kuwalinda askari wake (kuficha aibu ya jeshi la polisi) ndio chambo iliyotumika kumng'oa Sirro, lakini kiuhalisia Sirro alikuwa hatakiwi na Samia tangu Samia anaapishwa kuwa raus. Kwanini? Sirro aliwekwa na Magufuli kwa "kazi maalum", baada ya kifo cha Magufuli ilipaswa ang'olewe pale haraka sana maana angekuwa ni 'security threat' ya utawala wa mama.
Kosa lake kubwa ni kujenga kanisa! Hilo pia limemkumba MkinguleIlikuwa imebaki mwaka mmoja tu Simon Sirro atimize miaka 60 na yeye kustaafu kwa heshima.
Ametibua nini? Mpaka akag'olewa?
Pia, soma=> Kamishna Camillus Wambura ateuliwa kuwa IGP Mpya. Sirro apewa Ubalozi Zimbabwe, Kingai ateuliwa kuwa DCI
Umeongea vizuri sana shida ni kwamba wenye uwezo wa kukielewa ulichomaanisha ni wachache.Tatizo la Ajali linahusika Vipi na IGP ? Nani mwenye Jukumu la kwanza la kuzuia ajali ni Dereva au IGP? Na pia unasema ajali zimeongezeka , Kwa Takwimu ipi na ukilinganisha na ya mwaka Gani ? Kwa Ratio ipi ukilinganisha na wingi wa magari ya mwaka Gani?. Ulitegemea ajali zibaki Kwa ratio ya miaka ya 80 wakati pikipiki vijjini zilikua za mabwana Shamba tuu. Leo Kuna pikipiki maelfu Huko vijijini na Malaki mijini unategemea IGP atazuia Vipi ajali wakati miundo mbinu ni Ile Ile isiyokidhi.
Magari yaliambiwa yafungwe Speed governor watu wakapiga.Wakaziharibu wenyewe,wanasiasa ambao wengi ndio wanaomiliki magari Mengi wakaja na mambo ya GPS wakawapa Jukumu Hilo Sumatra au Latra wakapiga vita tochi ya Polisi akasema haiaminiki. Leo Kuna watu wanazima mpaka data za Latra ili zisisome mwendo wa magari. Watu wanapiga pesa magari yanakimbia unamlaumu IGP.
Unaonaje magari binafsi yamavyokimbia Huko Tanzania kwenye miundo mbinu isiyokidhi. Watu wanajenga Barabarani . Watu wanauza bidhaa Barabara. Kila sehemu ni speed 50 kwenye HIGHWAY na matuta juu. Unaonaje kama wangejenga Barabara za Juu kweye magari ya watu ili Watu wenye haraka zao wapite zao.
Badala ya Kuibana Serikali ijenge Barabara za Pembeni na kutanua njia ili magari yapite Kwa wepesi watu wanapambana na IGP.
Afrika tumelogwa , Badala ya kufunga Kamera Barabarani watu wanapeana ulaji Kwa kuteuana na kuhamishana vitenge etu watapata mtu wa kuzuia ajali. Labda aendeshe magari yote yeye Mwenyewe kama sijui Malaika au ayaendeshe kama Drone.
Mfano TU miaka ya Nyuma Barabara ya kutoka MOROGORO kuanzia Chalinze palikua na ajali kila siku na mamia ya watu walipoteza maisha.
JPM alijitahidi kujiongeza upana Ile Barabara na kuiwekewa njia nyingi za michepuko ,leo hii pametulia kabisa husikii ajali Moro DSM pamoja na kuwa na magari Mengi kuliko Barabara zote za Highway nchi. M
Unafikiri JPM alikua mjinga kuwa na wazo la kizalendo la kujenga miundo Mbinu.
Jengeni Miundo mbinu , wekeni Kamera, Badilisheni Sheria Magari yafungwe Speed governor badala ya kingamuzi Cha Sasa ni dili za watu Kupiga Hela tuu.
Polisi wakipiga tochi watu wanalalamika ,wakiacha wanalalamika. Gari zikikamatwa watu wanalalamika ,zikiachwa watu wanalalamika.
Mbunge Mstaafu Bwege apewe digree ya heshima kama Musukuma
Vivuko vilivyokua vinazama wanakufa maelfu ilikua ni Siro? Acheni kukosa Shukrani. Siro amefanya mambo makubwa sana kuifanya nchi hii itulie.Wale Magaidi waliopo Msumbuji walikua hapo Tanzania kwenu na walikua wamebakiza kidogo TU kuingia Ikulu kutokea Kibiti. Walikua na mtandano mkubwa ambao huwezi kuamini na walikua na wakubwa wengi nyuma yao na watu walitajirika sana Kwa kujifanya wanataka kuigeuza Afrika kuwa nchi ya Imani hiyo waliokua nao hao Magaidi. Nchi ilifikia pabaya sana. Kagera Ujambazi ulizoeleka na ikawa ni jambo la kawaida kuteka mabasi,kubaka watu na kupora Mali za wasafiri. Ni Simon Nyonkoro Siro aliyewadhibiti majambazi kule Kagera. Watu walikua wanaporea mchana kweupe. Mabenki yalikua yanavunjwa na Polisi kuuawa. Siro alifanya kazi kubwa sana. Alisacrifice maisha yake Kwa ajili ya amani ya nchi . Wezi ,majambazi , wahuni, Magaidi na wadhamini wao ndio wanaomsema vibaya Siro.
Na Amini usiamini Historia ya Siro imetukuka sana.Hata Elimu yake kuanzia kule Seminari alikosoma huwezi kumdhalilisha au kumdharau Kwa namna yoyote.
Nchi hii imeharibiwa na wanasiasa waovu na wasio na dura ambao wamejenga roho ya uhalifu kwenye nchi hii. Uovu umejijenga kwenye mioyo ya Watanzania ndio maana watu waadilifu ,wakweli na wenye misimamo wanapigwa vita.