Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Bora angesema kabakwa kawaida ni afadhali,tatizo ni huko kulawitiwa ni 30 years
 
Hakupunguziwa kifungo bali Jaji wa Mahakama ya Rufaa hakuona ushahidi kwamba huyo binti aliingiliwa na Mtuhumiwa kwa sababu ushahidi pekee ni maelezo ya binti na mama yake ambae hakuwepo wala kuona binti yake akimegwa! Hivyo basi, madai ya ubakaji yalitupwa na kisheria Mwamba hajawahi kushitakiwa kwa kesi ya ubakaji na kifungo chake kinatokana na kesi ya utekaji kwa sababu Mwamba alikutwa na binti LIVE!
 
Nanyie wazee mmezidi kisa mna vyeo na pesa.
 
Nilisoma yote alikua na miaka 16 mkuu, hata hvyo haikuthibitika kama kulikua na penetration (sexual intercourse) hivyo jamaa anatumikia abduction peke yake miaka saba
 
Hao IJ huwa wanaangalia na matukio ya kufuatilia ndio maana hata suala la Azory, Saanane na kushambuliwa kwa Lissu wameyapotezea mpaka Sasa.
 
Sex inataka consent the act itself, bila ya consent za pandΔ™ mbili. Mmoja akilalamika akuridhia hiyo inatafsiriwa ni rape.

Implying or what’s seems as an invitation sio consent. Dada kaja kwako, sijui kavaa ki suruali kimembana mpaka unaona β€˜camel toe’, tisheti fupi tumbo nusu lipo nje na imembana mpaka chuchu zinachomoza, halafu kanywa na wine. Hiyo sio consent ukitaka kumgusa akisema hapana acha.

Mtu alie lewa hasa chakari pia kisheria anapoteza legal capacity ya kufanya maamuzi (intoxicated) same kama sheria inavyotambua mtoto mdogo kuna maamuzi hawezi fanya kwa usahihi peke yake.

We unadhani kwanini wanamichezo huko kwa wenzetu hasa wacheza mpira walikuwa na kesi nyingi sana za ubakaji (nyingine za kusingiziwa maana huko victims wanalipwa hela kibao kisa tabia zao za kuokota wanawake wa ovyo ma-bar, hata kama wengine wanawajua) akisha report umemuingilia huku akiwa ajitambui au kwa nguvu mjomba huo mziki ni wako kuonyesha kulikuwa na consent.

Kumtukana huyo binti akusaidii kesi yake huyo mkuu wa mkoa. Silaha pekee aliyokuwa nayo ni kama kweli huyo binti kapokea hela baadae afute kesi hapo sasa ndio wanasheria wake wanaweza mmbadilishia motives zake mahakamani.

Lakini kwa sasa hilo tukio kwa mlolongo wa maelezo ya usiku husika linaminajili yote ya rape.
 
Kaka kama nikweli basi inasikitisha sana, Paskali RC anamtandao mkubwa ninahakika yataisha kwani yatafuatiliwa kwa kina sasa, huyu boda anasaidikaje?!!!😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Unataka kusema boda boda alionewa wakati unajua kabisa kutembea na mtoto chini ya miaka 18 ni kosa la jinai hata kama mtoto huyo ametaka mwenyewe boda alipaswa kumkwepa.
Issue sio kutembea na mtoto wa U-18 bali USHAHIDI kwamba alitembea nae! Binafsi ilitokea kukapenda Kabinti ka 16 years, na mara kwa mara alikuwa anakuwa ghetto, na wakati mwingine anatoka usiku. Pale ghetto nilikuwa naishia peke yangu, na sehemu ya kimya kweli kweli; yaani uzunguni fulani hivi. Lakini pamoja na kuja ghetto mara kwa mara lakini sikuwahi kumtia hadi alivyofikisha 18+. Sasa endapo Mahakama itakuwa inaegemea ushahidi wa binti na mama yake basi hata mimi nilikuwa na sifa zote za kupigwa 30 years kwa sababu tu binti angeweza kusema kila siku wakati wa likizo nilikuwa naenda kwa Bon na tulikuwa tunafanya mapenzi.
Kingine mkuu wa mkoa kwanini alikwenda kujianika club na hako katoto ka 21 year na huku akijua kabisa yeye ni mkuu wa mkoa na anafamilia..
Kwanini hapo juu umehalalisha jamaa kuhukumiwa kwa sababu she's U-18 halafu hapa tena 21 years unaita katoto?! Ukisia biasness ndo hiyo, kwa sababu ikiwa hoja yako ya kwanza ni suala la U-18 basi huyo wa 21 anaweza kutoka hata na Sheikh au Askofu wa miaka 75 na hayo mengine yakawa yao na Mungu wao na familia zao lakini sio kwa sababu ya "katoto"!
 
Kumbe Huyu ni mchezaji wa kiungo katika ubora wake.
 
Kumbe Udaktari ni poa hivi, hadi kubaini status ya B ni kazi ya Dokta[emoji39]
 
Mkuu walimchola mda mrefu itakua anatoka na uyo dogo,wakamPanga dogo achezeshe game,huenda maadui wanamjua kua ni kamalaya kazoefu kakutoaalinda town,wakamPanga,wakakapa Hela ndefu,assume uyo dogo apigwe 50M+,hata cheza game,?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…