Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Maadili ya kazi yake hayahitaji hayo
SIYO KWELI.
Endapo kama huyo binti angekuwa subordinate wake mahali pake pa kazi, hapa hoja yako ingekuwa Ina mashiko. Lakini kwa kuwa binti huyo ni mtu mzima, na wala Hana uhusiano wowote ule wa kikazi au wa kindugu na huyo ex-RC, basi hakuna maadili yoyote yale ambayo yamekiukwa na huyo RC. Mahusiano yao yalikuwa halali kabisa kwa mujibu wa Sheria za nchi hii.
 
SIYO KWELI.
Endapo kama huyo binti angekuwa subordinate wake mahali pake pa kazi, hapa hoja yako ingekuwa Ina mashiko. Lakini kwa kuwa binti huyo ni mtu mzima, na wala Hana uhusiano wowote ule wa kikazi au wa kindugu na huyo ex-RC, basi hakuna maadili yoyote yale ambayo yamekiukwa na huyo RC. Mahusiano yao yalikuwa halali kabisa kwa mujibu wa Sheria za nchi hii.
Kwahiyo wamekosea kumtumbua?
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
  2. Kati ya tarehe 23 November 2019 hadi 14 December 2019 kakiwa form 4 St. Mary Mpanda, kalitorokea kwa dereva boda boda Saidi Selemani, eneo la Msasani hapo Mpanda mkoa wa Katavi na kuishi nae kinyumba kwa muda wa wiki 3.
  3. Wazazi wake waka ka set kaseme kametekwa na kubakwa, na kweli kakatoa ushahidi wa kutekwa na kubakwa na huyo boda, boda akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela!.
  4. Masikini boda hakuwa na wakili!. Ushahidi pekee kuwa amebakwa, ni uchunguzi wa daktari kuthibitisha amekutwa hana "B"!. Wasichana wangapi wa primari wanaanza mambo?, uwepo wa "B" ndio ushahidi wa kubakwa?.
  5. Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela!.
  6. Usikute hata hili tukio la Mwanza, hakuna ubakaji wowote, kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, sio kosa la jinai ila ukishitaki ndipo linageuka ni jinai!.
  7. Kuna uwezekano mkubwa sana Binti alisetiwa, Dr. Nawanda akaingia line kwenye mtego, binti akashitaki kubakwa!.
  8. Baada ya binti kuripoti tukio, akajikuta ni yeye anajiharibia CV yake, akataka kufuta kesi.
  9. Natoa wito kwa Waandishi wa habari wa IJ, wasaidie hili kabla kesi haijafunguliwa, kesi ikifunguliwa, IJ haiwezi kusaidia kitu.
  10. Kwenye issue ya shambulio la Lissu, niliuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Paskali
Brother wewe ni lawyer tena wakili kama sikosei.Kumlala mtoto chini ya miaka 18 linaangaliwa swala la consent ama sheria inasemaje ikithibitika umefanya kama bodaboda alivyokutwa amefanya kama ulivyodokeza? Pili,kumuingilia mtu kinyume cha maumbile hata kama victim aliridhia,penal code inasemaje? Lete majibu .mkuu.
 
Kabinti ni kashenzi sana,ila Nawanda nae alizingua mtu ushakua na wadhfa wa RC bado unatoka na vibinti mcharuka vya nini wakati mishangazi ipo.
Naye kwa kukosa kwake maadili wacha akome! Ila aibu amepata aisee watoto wake wanasoma habari zake kwenye mitandao kwamba baba aliingilia kabinti Kinyume na maumbile akatumbuliwa! Aibu hiyo naificha wapi aiseee!
 
Yule binti ni malaya anayejiuza nina picha ambazo nimetumiwa na jamaa aliekaita chunya Kwa dau la laki moja, na ameshangaa sana hadi akasema mbona hako ni kazoefu ka kazi zote, Nawanda kaangushiwa jumba bovu, huezi kunieleza kabakwa mtu ambae anajiuza chunya, kahama, tena ana dau lake rasmi Kwa huduma zote, yule ni kahaba ambae nawanda kaangukia pua,
Laki mbona ndogo sana..?
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
  2. Kati ya tarehe 23 November 2019 hadi 14 December 2019 kakiwa form 4 St. Mary Mpanda, kalitorokea kwa dereva boda boda Saidi Selemani, eneo la Msasani hapo Mpanda mkoa wa Katavi na kuishi nae kinyumba kwa muda wa wiki 3.
  3. Wazazi wake waka ka set kaseme kametekwa na kubakwa, na kweli kakatoa ushahidi wa kutekwa na kubakwa na huyo boda, boda akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela!.
  4. Masikini boda hakuwa na wakili!. Ushahidi pekee kuwa amebakwa, ni uchunguzi wa daktari kuthibitisha amekutwa hana "B"!. Wasichana wangapi wa primari wanaanza mambo?, uwepo wa "B" ndio ushahidi wa kubakwa?.
  5. Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela!.
  6. Usikute hata hili tukio la Mwanza, hakuna ubakaji wowote, kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, sio kosa la jinai ila ukishitaki ndipo linageuka ni jinai!.
  7. Kuna uwezekano mkubwa sana Binti alisetiwa, Dr. Nawanda akaingia line kwenye mtego, binti akashitaki kubakwa!.
  8. Baada ya binti kuripoti tukio, akajikuta ni yeye anajiharibia CV yake, akataka kufuta kesi.
  9. Natoa wito kwa Waandishi wa habari wa IJ, wasaidie hili kabla kesi haijafunguliwa, kesi ikifunguliwa, IJ haiwezi kusaidia kitu.
  10. Kwenye issue ya shambulio la Lissu, niliuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Paskali
Tanzania tuitakayo ikoje hiyo
 
Niliona rc anakomaa kwa injinia njoo utoe takataka yako nikasema hiii ,wanamletea zengwe. Mitego hii mtu aliyeweza kuikwepa ni fidel castro peke yake. Alishawindwa mara 200 na kanasurika na alifariki akiwa na miaka 90. Jamaa alishategewa mpaka wine sumu,ilivofika kwake unaambiwa mganga wake kiboko,glass ikavunjika kabla ya castro kunywa. Niliona video za kaz za Rc anashangaa juu ya chumvi kukosekana hivyo jenereta zima kabisa kushindwa kuwaka.kwanza ana uelewa wa field na ana abc za miradi za material n.k.hivi vitu ni muhimu,kwansa ukiwatisha watumish ukifika site unaomba tape,hujakaa vizur unaomba nyundi unapima ratio aa lazima waogope namna alivyokuwa anakagua jengo na ukali ule, lazima walimchukia
 
Unatetea mtoto wa miaka 16 kusema uwongo kwamba alitekwa? Au na wewe umetumwa?
Ingekuwa uongo huyo bodaboda asingekula nyundo 7 gerezani sasa na wewe jichanganye kwa mtoto wa chini ya miaka 18 uone mahakama za Tz zitakavyofanya zitakusikiliza wewe au mtoto.
 
Back
Top Bottom