Dah aisee hawa viumbe wanawake ni wapuuzi sana ila sio wote ni baadhi.Alafu siku hizi nadhani nimeshakomaa maana hata nikinyimwa pussy siwazagi hata nachukulia kawaida tuu.Naye alikuwa na mb..o..o varieties mmekutana mafisi matupu.
Lingine mmeiharibu siku ya Bwana kwa uzinzi..
Lofa wewe[emoji23]
[emoji23] poleee, mapenzi humea popote hakuna cha status wala nini.Mapenzi ni kitu kimoja cha ajabu sana.
Yaani mimi au watu wote tunaopitia haya unakuta ni watu wenye status nzuri sana mtaani, tuna income nzuri ya kuoa kwenye familia nzuri sana, na tuna future nzuri pia..
But tunaumizwa vichwa na mademu wa ovyo, mademu wa usawzi
Niko naye huku visiwa vya Shelisheli.Mpenzi wangu (mchumba mtarajiwa) amesafiri kwenda kwao lakini hajibu sms wala hapokei simu (japo iko hewani) tangu siku ya Xmas hadi leo. Hii maana yake nimetemwa au inamaanisha nini?
Maswali yako mengi yanayokosa majibu.
Kama anaumwa kwanini hasemi? Kama kapoteza simu mbona bado inaita hadi leo? Na kwanini asinijulishe kwa namba nyingine?
Sijulikani kwao kwahiyo sina namba ya mtu wa kwao yeyote wa karibu anayeweza kunieleza kinachoendekea.
Naombeni msaada kabla sijaongeza idadi ya machizi nchi hii.
Yaani kama hujamweka ndani ujue ana kijiji huwa anachagua mwenye mpunga anapewa kipaumbele.Dah aisee hawa viumbe wanawake ni wapuuzi sana ila sio wote ni baadhi.Alafu siku hizi nadhani nimeshakomaa maana hata nikinyimwa pussy siwazagi hata nachukulia kawaida tuu.
Oa kabisa fambaf zakoπ€£Niko naye huku visiwa vya Shelisheli.
Namrudisha kesho.
Hilo nalielewa ndio maana suala la wivu sinaga kabisa kwa mwanamke yeyote. Kikubwa ni kuwachakata mbususu mpaka akili ziwakae sawa. Uzuri huyo mpuuzi mmoja hajawahi kunipiga vibomu, ni viout vya hapa na pale tuu tena kama mara tatu tuu basi.Yaani kama hujamweka ndani ujue ana kijiji huwa anachagua mwenye mpunga anapewa kipaumbele.
Hawa wadudu asilimia kubwa hawatupendi lkn wanatutumia kukamilisha mambo yao.
Wanawake wakweli wapo japo ni 10% tu
Unique Flower umefichwa wapi?Habari zinazozagaa kwenye mitandao ya kijamii zinadai kuwa hata simu ya Unique Flower tokea krismas inaita bila kupokelewa piaπππ
Mpenzi wangu (mchumba mtarajiwa) amesafiri kwenda kwao lakini hajibu sms wala hapokei simu (japo iko hewani) tangu siku ya Xmas hadi leo. Hii maana yake nimetemwa au inamaanisha nini?
Maswali yako mengi yanayokosa majibu.
Kama anaumwa kwanini hasemi? Kama kapoteza simu mbona bado inaita hadi leo? Na kwanini asinijulishe kwa namba nyingine?
Sijulikani kwao kwahiyo sina namba ya mtu wa kwao yeyote wa karibu anayeweza kunieleza kinachoendekea.
Naombeni msaada kabla sijaongeza idadi ya machizi nchi hii.
Nikiletewa noma inakaa kimya Wala Huangaiki kunisaidia ila ukiona post za MASHALLAAH UNANITAg au unamention why?Unique Flower umefichwa wapi?
Kwa hiyo unataka kusema nauza k au??Habari zinazozagaa kwenye mitandao ya kijamii zinadai kuwa hata simu ya Unique Flower tokea krismas inaita bila kupokelewa piaπππ
Jamani mimi na wewe tena?Nikiletewa noma inakaa kimya Wala Huangaiki kunisaidia ila ukiona post za MASHALLAAH UNANITAg au unamention why?
Kauli yako imenipasua moyo, paah!!Na akitoka Kwa huyo bwana wa kijijini, anapasua screen Kwa makusudi ili aseme alikuwa hawezi kupokea wala kutuma message. Na utatoa hela kwenda kumbadilishia screen. [emoji23][emoji23]
Maisha bhana.
Unawezaje kuwa mchumba wa mtu halafu kwao hutambuliki au maana ya mchumba siku hizi ni tofauti ??Mchumba wako yuko kwa mchumba wake usiwabugudhi subiri zamu y'ako itafika.
(Fwatilia kwanza ujue kama ni mzima wa afya chukua chako mapema yawezekana yuko matatizoni ajali, n.k).
Dah Bora ww mi Kila nkpiga kuna mwamba anapokea anasema sim ipo chajiMpenzi wangu (mchumba mtarajiwa) amesafiri kwenda kwao lakini hajibu sms wala hapokei simu (japo iko hewani) tangu siku ya Xmas hadi leo. Hii maana yake nimetemwa au inamaanisha nini?
Maswali yako mengi yanayokosa majibu.
Kama anaumwa kwanini hasemi? Kama kapoteza simu mbona bado inaita hadi leo? Na kwanini asinijulishe kwa namba nyingine?
Sijulikani kwao kwahiyo sina namba ya mtu wa kwao yeyote wa karibu anayeweza kunieleza kinachoendekea.
Naombeni msaada kabla sijaongeza idadi ya machizi nchi hii.
Huyu wa kwako anajieleza wazi kuwa anachakatwa. Hakuna utata. Tatizo mm sielewi kama ninachokiwaza ndicho ama la.Dah Bora ww mi Kila nkpiga kuna mwamba anapokea anasema sim ipo chaji