kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Waendelee wengine kumsoma aisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuo nishamaliza kitambo mkuuhaya fanya urudi chuo.
Huyo mtoto kayatafuta mwenyewe wewe hadi anataka kumsingizia mleta mada kuwa asipomkubali basi atapiga kelele.Predator
Unaweza kapiga kakazima ikaonekana katili na mtesaji watoto. Vitoto vya siku hizi ni changamoto sana eneo la malezi.Mtoa mada na wewe bana, mambo ya kuambiwa na mtoto wa miaka 8 unaenda kusemea, afu acheni ujinga wa kisasa ndo maana watoto wanaharibika, mtoto wa miaka 8 akileta swaga kama hizo ni kumgonga stick za kutosha heshima inarudi mimi Kuna upuuzi siwezi vumilia hata nikiwa ugenini
Siku izi unakuta hata mjomba anashindwa kuwaadhibu wapwa zake mpaka asubirie wazazi wao aje kuwasemea, stupid!
Bro wanasemaga "hadithi njoo , uongo njoo, ukweli njoo, utamu kolea" sasa nadhani hicho ndio kipande cha uongo njoo ili mradi tu utamu ukolee.Hivi huwa mnafaidika nini kuandika uongo? maana imekuwa kama fasheni. eti jicho kiini kinabadilika rangi.... umeangalia movies za kutisha then unaamua kuja itungia story
Wewe hebu acha kujibu jibu comment nenda ukatype story tuendelezee unatukoroga hapa na utamu halafu unakaa kimya mbwa wewe unatutesa shenzi wewe hebu nenda kaandike story. Ukichelewa mimi na unsubscribe kwenye huu uzi maana haupigi hatua. Unanikera sana.Naogopa kesi miaka 30 Jera
Unajua ndio maana ni ngumu sana kujua mwanamke anakuwa mtu mzima katika age gani. Maana unaona kitoto cha miaka 8 tayari kimeanza kupata hisia sasa kakifika 18 haka si tayari moto wa makaa ya mawe umeshakolea.Hiyo scenario imenitoke nilikuwa na naishi kwa uncle wangu Basi yule uncle ana watoto wa kike nikifika chumbani wanataka kulala na Mimi kitanda kimoja , dah nilikuwa naona msala hii ilinipelekea kuanza kulala saa nane usiku na kukaa sebuleni nikijifanya naangaolia movie kumbe hata Mimi SIPENDI movie
i agree with mtoa mada
Jamaa anaboa balaa. Yupo slow. Halafu anakuja anasoma comments hapa me ananiboa sana mkuu.haya leta muendelezo sasa hivi madogo wanasubiri na wameanza kuleta malalamiko kwangu kuwa unachelewa sana.
Jana nilikuwa natazama taarifa ya habari. Huko Manyara watu wanabaka na kulawiti watoto hadi nikajiuliza inamaana wanawake hakuna.nimeshangaa sana. maana hapo ilikuwa ni suala la kumuita tu huyo mtoto na kumuuliza kisha kumtandika viboko hasa vya ukweli. huyu jamaa anaweza kuwa ni mbakaji wa watoto sema anataka ku justify kuwa alishawishiwa. mimi mtoto wa umri huo anaanzaje kunitega?
Watu wanaweza wakahisi utani kumbe ni vitu real na vipo.Unajua ndio maana ni ngumu sana kujua mwanamke anakuwa mtu mzima katika age gani. Maana unaona kitoto cha miaka 8 tayari kimeanza kupata hisia sasa kakifika 18 haka si tayari moto wa makaa ya mawe umeshakolea.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Mimi kishanikera sidhani kama nina mood ya kuendelea kusoma story yake. Nakerekwa sana na tabia ya kucheleweshewa kitu ninachotaka kwa wakati fulani huwa sikawii kususa.me ninachoona anaangalia watu wanavyokoment ili aimodify story yake, amna kitu apa
Anaboa. Matako yake.Mwanzon ulisema una stori fupi lakn maajabu imechukua siku ya pili leo
Andaa kitabu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umetest mitambo kwa kukaa kimya ili uone raia watarespond vipi maana kiukweli kwa mwenendo ule ulikuwa mawili huyo mtoto ulikuwa unampiga mashine mdogo mdogo hadi aizoee.Inaendelea sehemu ya 5
Maisha yaliendelea pale kwa mama mkubwa furaha na amani vilitawala muda mwingi nilikuwa na sister angu Mara twende town nimsindikize huku alikuwa ananikubari sababu Mimi ni mtu wa utani real comedian ukikaa na Mimi utacheka Sana.....
Ila shemeji mama yake na Aisha hatukuwa na mazoea kivile tokea yaliyotokea siku Ile kuhusu kutaka kuniwekea sumu,sikuwa na tatizo nae na nilijua Aisha ni muongo sijui alikuwa ana Nia gani na mama yake Yani mtoto wa miaka 8 anakuwa hivi au tunaishi na mkubwa mwezetu yupo nikawa nafikiria labda mama Aisha anamtumia Aisha kuja kuniharibia hapa kwa mama mkubwa Ila mbona ni mtu Safi tu mkarimu na muongeaji mzuri tu nikawa natafakari maisha ya ugenini ni magumu
Kuna siku moja nilikuwa nipo chumbani baada ya mishe nikajilaza nikapitiwa na usingizi nakuja kushtuka namuona Aisha kanilalia yupo juu yangu naye kusinzia nikamtoa taratibu...
Nikamlaza taratibu pembeni
Aisha alizidisha vituko Mara anifanyie hivi Kuna muda anaongea maneno ya kikubwa mpaka nikawa nashangaa huyu mtoto kajifunzia wapi au anamsikiliza Nani hili swala ikabidi nimwambie sister angu ili aweze kunisaidi lile Jambo likamfikia mama mkubwa ikabidi aishi achezee viboko ya kutosha kutoka kwa mama yake na Bibi yake mama mkubwa na aniombe samahani na arudishwe kwao tanga...mama mkubwa akawa ananisumulia hii tabia ya Aisha ni Mara ya pili inatokea ndo Mana ata walivyosikia malalamiko kutoka kwangu wakaamini Aisha amerudia tabia yake ambaye walijua ameshaacha na kingine Aisha alikuwa ana mashetani ambayo yalikuwa yanapelekea kufanya hivyo ikabidi nimuelezee yote yalitokea na nilivyojitahidi kujizuia na kumkemea pale nilipoona yanazidi
Aisha na mama yake ilibidi waende tanga kwa mapumziko kidogo
Maisha yaliendelea vizuri mpaka likizo ilipo malizika nikarudi chuo
.......,......... MWISHO..........
Nb : Imebidi Kuna vitu nivipunguze ili story isiwe ndefu Sana Ila mkasa ndo huo niliopata ugenini...Aisha nilimchukulia Kama mwanangu na nilikuwa namkemea kila akitaka kunishika sehemu nyeti..
Aisha saizi ni mkubwa ana miaka 12 na shuleni Yuko vizuri sanaa
Ngumu sana mtoto kuanza hayo mazoea kama haujamjengea mazingira. Hata mtoto akiwa na mashetani basi hayo mashetani huwa yanaangalia.Sijaona sehemu ulipojuta kukaa ugenini hata kidogo. Lakini maswaibu yote ulikuwa unayataka mwenyewe.
Aisha ni binti mdogo mno. Ni kumtandika viboko tu na kuendelea na maisha yako. Ninachoona na wewe ulikuwa unamuendekeza ndipo naye akapata kichwa. Ndiyo kusema huenda ulikuwa unafurahia kutomaswa na hako katoto.
😂😂😂Sijaona tukio la ajabu zaidi naota tu utoto una wasumbu .afu kijana una onekana ni mbea sana wewe
😂😂😂