Simulizi: Harakati za Jason Sizya

Simulizi: Harakati za Jason Sizya

Bado naumwa, nina maumivu makali sana ya kichwa na shingo imekakamaa, siwezi hata kugeuka... Na Jumatatu wananifanyia uchunguzi mwingine ili kujua tatizo nini, nadhani Mungu akipenda nitaitupia yote iliyobaki...
Jamani! Pole sana mkuu! Mwenyezi Mungu akupe shifaa urudi katika majukumu yako inshallah
 
Bado naumwa, nina maumivu makali sana ya kichwa na shingo imekakamaa, siwezi hata kugeuka... Na Jumatatu wananifanyia uchunguzi mwingine ili kujua tatizo nini, nadhani Mungu akipenda nitaitupia yote iliyobaki...
Mkuu Mungu akupe uponyaji!
 
Nashukuru Mungu tatizo limegundulika na nimeshaanza tiba. Kwa sasa nipo sawa kisaikolojia kwani ilikuwa inaniumiza mno kuona naumwa lakini ugonjwa haujulikani, tiba napata lakini sipati nafuu!

Mungu akipenda kesho naubwaga mzigo wote humu ndani. Tusameheane maana season hii ya UTATA pia imekuwa na utata kwenye afya yangu...
 
Nashukuru Mungu tatizo limegundulika na nimeshaanza tiba. Kwa sasa nipo sawa kisaikolojia kwani ilikuwa inaniumiza mno kuona naumwa lakini ugonjwa haujulikani, tiba napata lakini sipati nafuu!

Mungu akipenda kesho naubwaga mzigo wote humu ndani. Tusameheane maana season hii ya UTATA pia imekuwa na utata kwenye afya yangu...
Pole sana mkuu wetu, Mwenyezi Mungu akujaalie nafuu kwa afya yako. Aamen
 
Nashukuru Mungu tatizo limegundulika na nimeshaanza tiba. Kwa sasa nipo sawa kisaikolojia kwani ilikuwa inaniumiza mno kuona naumwa lakini ugonjwa haujulikani, tiba napata lakini sipati nafuu!

Mungu akipenda kesho naubwaga mzigo wote humu ndani. Tusameheane maana season hii ya UTATA pia imekuwa na utata kwenye afya yangu...
Pole Sana bishop
 
Nashukuru Mungu tatizo limegundulika na nimeshaanza tiba. Kwa sasa nipo sawa kisaikolojia kwani ilikuwa inaniumiza mno kuona naumwa lakini ugonjwa haujulikani, tiba napata lakini sipati nafuu!

Mungu akipenda kesho naubwaga mzigo wote humu ndani. Tusameheane maana season hii ya UTATA pia imekuwa na utata kwenye afya yangu...
Mwenyezi Mungu akupe shifaa!
 
Back
Top Bottom