Lubebenamawe
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 1,973
- 2,239
At least not boring. Japo kuna some episode zimekuwa skipped
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuja kwa kuchelewa, kuna episode wanaziondoa. Nilishasema kam kuna episode umeikosa njoo wasap nikutumie usome. DotAt least not boring. Japo kuna some episode zimekuwa skipped
Hatimaye nimemaliza dah sio poa, kwa hiyo ndo kusema kumtafuna kote kule miryam mpaka mifupa awe dada ako hapo haiwezakani kabisa tumekataa ndoa tunayo na tunatamba nayo.Returning main characters for Season 3: JC, Miryam, Tesha, Mariam, Ankia, Bobo, Bi Zawadi, Bi Jamila, Adeline, Leah, Jasmine, Stella, Beatha, and Festo!
Wataongezeka na character wengine muhimu kama Simba rafiki yake JC, na Evelyn, binti ya JC. Fanyeni utabiri 😁
Sio Eltony ila nafikiri Ugonjwa wa akili hupotea na huenda kurudi baada ya muda fulani. Je alipelekwa kwenye hospital za magonjwa ya akili na kupatiwa matibabu yanayohusika?Mkuu Elton Tonny nina changamoto ya kifamilia na ninaomba ushauri kutoka kwako.
Mimi ni mwanafunzi wa elimu ya sekondari ya juu ninaishi na mzee(baba), wadogo zangu pamoja na mama wa kufikia. Situation ipo ivi ndani ya siku za hivi karibuni katika familia yangu mama yangu wa kufikia huwa anashindwa kutafsiri vitu vizuri kwa mfano.
ukimuuliza kitu flaani anajibu kengine ,
anazunguka nyumba nzima usiku kucha (halali), hali vizuri na sometimes huwa anapiga makelele kiufupi ni kama anaukichaa flaani ivi japo sina uhakika ni aina gani ya ukichaa pia nimegundua imani potofu na kumbukumbu zinamtesa sana.
Tumejaribu kumpeleka hospitali lakini haisaidii
misikiti pamoja na makanisa haisaidii pia .
samahani lakini ila kunawakati nashindwa kuendesha masomo yangu pamoja na wadogo zangu vizuri.
Pole ndugu. Inawezekana mama akawa na tatizo fulani kisaikolojia ama ugonjwa ikiwa hayo yote siyo mambo ambayo alikuwa akipitia hapo awali. Ikiwa amefikia hatua ya kupiga makelele basi hiyo inaonyesha si jambo dogo. La muhimu kwanza jaribuni kumpeleka hospital, achunguzwe, labda anaweza kupata tiba, kisha kadiri siku zinavyoenda ikitegemea na jinsi ambavyo hali yake itakuwa mtaona ni kipi cha kufanya kumsaidia zaidi. Siyo kwamba me ni expert mdogo wangu, ila naona hilo Ndiyo moja kati ya mambo ya msingi mnayotakiwa kufanya. Na pia... anahitaji zaidi kuwa karibu zaidi na familia. Yaani, wapendwa wake wote wampe support ndani ya kipindi hiki, anahitaji kuuhisi upendo wenu.Mkuu Elton Tonny nina changamoto ya kifamilia na ninaomba ushauri kutoka kwako.
Mimi ni mwanafunzi wa elimu ya sekondari ya juu ninaishi na mzee(baba), wadogo zangu pamoja na mama wa kufikia. Situation ipo ivi ndani ya siku za hivi karibuni katika familia yangu mama yangu wa kufikia huwa anashindwa kutafsiri vitu vizuri kwa mfano.
ukimuuliza kitu flaani anajibu kengine ,
anazunguka nyumba nzima usiku kucha (halali), hali vizuri na sometimes huwa anapiga makelele kiufupi ni kama anaukichaa flaani ivi japo sina uhakika ni aina gani ya ukichaa pia nimegundua imani potofu na kumbukumbu zinamtesa sana.
Tumejaribu kumpeleka hospitali lakini haisaidii
misikiti pamoja na makanisa haisaidii pia .
samahani lakini ila kunawakati nashindwa kuendesha masomo yangu pamoja na wadogo zangu vizuri.
shukhran mkuu nitalifanyia kazi .Pole ndugu. Inawezekana mama akawa na tatizo fulani kisaikolojia ama ugonjwa ikiwa hayo yote siyo mambo ambayo alikuwa akipitia hapo awali. Ikiwa amefikia hatua ya kupiga makelele basi hiyo inaonyesha si jambo dogo. La muhimu kwanza jaribuni kumpeleka hospital, achunguzwe, labda anaweza kupata tiba, kisha kadiri siku zinavyoenda ikitegemea na jinsi ambavyo hali yake itakuwa mtaona ni kipi cha kufanya kumsaidia zaidi. Siyo kwamba me ni expert mdogo wangu, ila naona hilo Ndiyo moja kati ya mambo ya msingi mnayotakiwa kufanya. Na pia... anahitaji zaidi kuwa karibu zaidi na familia. Yaani, wapendwa wake wote wampe support ndani ya kipindi hiki, anahitaji kuuhisi upendo wenu.
familia haitaki apelekwe huko mkuu.Sio Eltony ila nafikiri Ugonjwa wa akili hupotea na huenda kurudi baada ya muda fulani. Je alipelekwa kwenye hospital za magonjwa ya akili na kupatiwa matibabu yanayohusika?
lakini kwa yeye kukaa na sisi naweza nikasema haiwezekani. Kwasababu sisi ni wanafunzi hatutokuwa na muda wa kumuangalia. Hata tukisema tulete beki tatu hatoweza kuvumilia mambo yake zaidi ya kutufanyia fujo tu usiku na mchana.Pole ndugu. Inawezekana mama akawa na tatizo fulani kisaikolojia ama ugonjwa ikiwa hayo yote siyo mambo ambayo alikuwa akipitia hapo awali. Ikiwa amefikia hatua ya kupiga makelele basi hiyo inaonyesha si jambo dogo. La muhimu kwanza jaribuni kumpeleka hospital, achunguzwe, labda anaweza kupata tiba, kisha kadiri siku zinavyoenda ikitegemea na jinsi ambavyo hali yake itakuwa mtaona ni kipi cha kufanya kumsaidia zaidi. Siyo kwamba me ni expert mdogo wangu, ila naona hilo Ndiyo moja kati ya mambo ya msingi mnayotakiwa kufanya. Na pia... anahitaji zaidi kuwa karibu zaidi na familia. Yaani, wapendwa wake wote wampe support ndani ya kipindi hiki, anahitaji kuuhisi upendo wenu.
familia haitaki apelekwe huko mkuu.
Mkuu Elton Tonny nina changamoto ya kifamilia na ninaomba ushauri kutoka kwako.
Mimi ni mwanafunzi wa elimu ya sekondari ya juu ninaishi na mzee(baba), wadogo zangu pamoja na mama wa kufikia. Situation ipo ivi ndani ya siku za hivi karibuni katika familia yangu mama yangu wa kufikia huwa anashindwa kutafsiri vitu vizuri kwa mfano.
ukimuuliza kitu flaani anajibu kengine ,
anazunguka nyumba nzima usiku kucha (halali), hali vizuri na sometimes huwa anapiga makelele kiufupi ni kama anaukichaa flaani ivi japo sina uhakika ni aina gani ya ukichaa pia nimegundua imani potofu na kumbukumbu zinamtesa sana.
Tumejaribu kumpeleka hospitali lakini haisaidii
misikiti pamoja na makanisa haisaidii pia .
samahani lakini ila kunawakati nashindwa kuendesha masomo yangu pamoja na wadogo zangu vizuri
Kuna uzi Moja humu humu jamii forum Kuna mtu alikua anaeleza jinsi Mwenyezi Mungu anavyotutendea, ivyo akataka wadau waeleze vile Mungu kawafanyia maajabu Kuna mtu kwenye maoni yake ameeleza hii, kua mke wake alikua na tatizo kama hili wakapitia misukosuko badae wakapata daktar muhimbili, kama sikosei alisema tatizo linaitea "depression" ila watu wengi hawatambui, kwanza nitafute huo uziMkuu Elton Tonny nina changamoto ya kifamilia na ninaomba ushauri kutoka kwako.
Mimi ni mwanafunzi wa elimu ya sekondari ya juu ninaishi na mzee(baba), wadogo zangu pamoja na mama wa kufikia. Situation ipo ivi ndani ya siku za hivi karibuni katika familia yangu mama yangu wa kufikia huwa anashindwa kutafsiri vitu vizuri kwa mfano.
ukimuuliza kitu flaani anajibu kengine ,
anazunguka nyumba nzima usiku kucha (halali), hali vizuri na sometimes huwa anapiga makelele kiufupi ni kama anaukichaa flaani ivi japo sina uhakika ni aina gani ya ukichaa pia nimegundua imani potofu na kumbukumbu zinamtesa sana.
Tumejaribu kumpeleka hospitali lakini haisaidii
misikiti pamoja na makanisa haisaidii pia .
samahani lakini ila kunawakati nashindwa kuendesha masomo yangu pamoja na wadogo zangu vizuri.
Fuatilia uzi unaoenda kwa title ya "mambo Gani umewahi kumuomba Mungu na akakujibu apoapo" soma comment zote za mtu anaejiuta "jidu la mabambani" naamin utapata kituMkuu Elton Tonny nina changamoto ya kifamilia na ninaomba ushauri kutoka kwako.
Mimi ni mwanafunzi wa elimu ya sekondari ya juu ninaishi na mzee(baba), wadogo zangu pamoja na mama wa kufikia. Situation ipo ivi ndani ya siku za hivi karibuni katika familia yangu mama yangu wa kufikia huwa anashindwa kutafsiri vitu vizuri kwa mfano.
ukimuuliza kitu flaani anajibu kengine ,
anazunguka nyumba nzima usiku kucha (halali), hali vizuri na sometimes huwa anapiga makelele kiufupi ni kama anaukichaa flaani ivi japo sina uhakika ni aina gani ya ukichaa pia nimegundua imani potofu na kumbukumbu zinamtesa sana.
Tumejaribu kumpeleka hospitali lakini haisaidii
misikiti pamoja na makanisa haisaidii pia .
samahani lakini ila kunawakati nashindwa kuendesha masomo yangu pamoja na wadogo zangu vizuri.
shukhran mkuu nimepata ujumbe wako.Kuna uzi mo
Kuna uzi Moja humu humu jamii forum Kuna mtu alikua anaeleza jinsi Mwenyezi Mungu anavyotutendea, ivyo akataka wadau waeleze vile Mungu kawafanyia maajabu Kuna mtu kwenye maoni yake ameeleza hii, kua mke wake alikua na tatizo kama hili wakapitia misukosuko badae wakapata daktar muhimbili, kama sikosei alisema tatizo linaitea "depression" ila watu wengi hawatambui, kwanza nitafute huo uzi
Tesha always have big mouth to suprise😅😅😅Tesha akamuuliza Bi Jamila, "JC ni kaka yetu wa damu ma' mkubwa? Ulikuwa unajua?"