Abdallahking
JF-Expert Member
- Mar 19, 2018
- 3,985
- 10,840
- Thread starter
- #41
SEHEMU YA 37
Erick aliona ni vyema yeye ndio aende kuwachukua dada zake shuleni na kwavile alijifunza kuendesha gari hakuona tatizo, basi akawasha gari na kwenda hadi shuleni kwao, kwakweli Erica alifurahi sana kuona kaka yao ndio amewafata pale shuleni. Basi Erick alimuuliza Erica,
“Angel yuko wapi?”
“Sijui, labda darasani kwao”
Basi wakamsubiria kwa muda ila walipoona haendi wakaamua kwenda darasani kumuangalia dada yao.
Ni kweli leo Angel alichelewa kutoka kutokana na adhabu ambayo alipewa na mwalimu ila alipoona muda umeenda na wengine wote wameondoka akaona ni vyema nae aondoke tu ukizingatia mule darasani walibaki wawili tu yani yeye na Samir basi Angel akainuka ili atoke ila Samir alimvuta mkono hadi nyuma ya darasa na kuanza kumbusu mdomoni, Erica aliingia na kushangaa huku akisema,
“Dada”
Angel alishtuka na kuogopa maana alijua kila kitu kitafika kwa mama yao ukizingatia mdogo wake ni mbea sana.
Ni kweli leo Angel alichelewa kutoka kutokana na adhabu ambayo alipewa na mwalimu ila alipoona muda umeenda na wengine wote wameondoka akaona ni vyema nae aondoke tu ukizingatia mule darasani walibaki wawili tu yani yeye na Samir basi Angel akainuka ili atoke ila Samir alimvuta mkono hadi nyuma ya darasa na kuanza kumbusu mdomoni, Erica aliingia na kushangaa huku akisema,
“Dada”
Angel alishtuka na kuogopa maana alijua kila kitu kitafika kwa mama yao ukizingatia mdogo wake ni mbea sana.
Basi Angel alijiengua toka kwa Samir na kuanza kutoka nje ila bado Samir alimvuta na kumwambia,
“Nakupenda sana Angel”
Kisha akamuachia aende, kwakweli Angel alihisi kama mapigo ya moyo wake yakienda kwa kasi na kuwakimbilia wadogo zake kisha, akaona gari ya nyumbani kwao akaogopa sana ila hofu ikapungua alipomuona Erick akimuita kuwa akapande na waende nyumbani, basi Angel alipanda huku akiona aibu hata kuwatazama wadogo zake na safari ya kwenda nyumbani ikaanza.
Walipofika nyumbani basi Erick alimuuliza kwanza dada yake,
“Angel, utanisemea kwa mama kuwa sijaenda shule leo?”
Angel Akaka kimya tu na kushuka huku akielekea ndani, basi Erica nae akashuka ila Erick alivyoshuka akamvuta Erica kwa nyuma na kumwambia,
“Kilichotokea kwa dada leo ndio kitu kinachofanya nihofie pia kuhusu wewe Erica, kiukweli nakupenda na sipendi upotee jamani”
Erica alimuangalia tu kaka yake na kuingia ndani bila ya kusema chochote kile kwani taswira ya alivyomkuta dada yake ilikuwa ikimjia kwenye kichwa chake.
Erick aliona ni vyema yeye ndio aende kuwachukua dada zake shuleni na kwavile alijifunza kuendesha gari hakuona tatizo, basi akawasha gari na kwenda hadi shuleni kwao, kwakweli Erica alifurahi sana kuona kaka yao ndio amewafata pale shuleni. Basi Erick alimuuliza Erica,
“Angel yuko wapi?”
“Sijui, labda darasani kwao”
Basi wakamsubiria kwa muda ila walipoona haendi wakaamua kwenda darasani kumuangalia dada yao.
Ni kweli leo Angel alichelewa kutoka kutokana na adhabu ambayo alipewa na mwalimu ila alipoona muda umeenda na wengine wote wameondoka akaona ni vyema nae aondoke tu ukizingatia mule darasani walibaki wawili tu yani yeye na Samir basi Angel akainuka ili atoke ila Samir alimvuta mkono hadi nyuma ya darasa na kuanza kumbusu mdomoni, Erica aliingia na kushangaa huku akisema,
“Dada”
Angel alishtuka na kuogopa maana alijua kila kitu kitafika kwa mama yao ukizingatia mdogo wake ni mbea sana.
Ni kweli leo Angel alichelewa kutoka kutokana na adhabu ambayo alipewa na mwalimu ila alipoona muda umeenda na wengine wote wameondoka akaona ni vyema nae aondoke tu ukizingatia mule darasani walibaki wawili tu yani yeye na Samir basi Angel akainuka ili atoke ila Samir alimvuta mkono hadi nyuma ya darasa na kuanza kumbusu mdomoni, Erica aliingia na kushangaa huku akisema,
“Dada”
Angel alishtuka na kuogopa maana alijua kila kitu kitafika kwa mama yao ukizingatia mdogo wake ni mbea sana.
Basi Angel alijiengua toka kwa Samir na kuanza kutoka nje ila bado Samir alimvuta na kumwambia,
“Nakupenda sana Angel”
Kisha akamuachia aende, kwakweli Angel alihisi kama mapigo ya moyo wake yakienda kwa kasi na kuwakimbilia wadogo zake kisha, akaona gari ya nyumbani kwao akaogopa sana ila hofu ikapungua alipomuona Erick akimuita kuwa akapande na waende nyumbani, basi Angel alipanda huku akiona aibu hata kuwatazama wadogo zake na safari ya kwenda nyumbani ikaanza.
Walipofika nyumbani basi Erick alimuuliza kwanza dada yake,
“Angel, utanisemea kwa mama kuwa sijaenda shule leo?”
Angel Akaka kimya tu na kushuka huku akielekea ndani, basi Erica nae akashuka ila Erick alivyoshuka akamvuta Erica kwa nyuma na kumwambia,
“Kilichotokea kwa dada leo ndio kitu kinachofanya nihofie pia kuhusu wewe Erica, kiukweli nakupenda na sipendi upotee jamani”
Erica alimuangalia tu kaka yake na kuingia ndani bila ya kusema chochote kile kwani taswira ya alivyomkuta dada yake ilikuwa ikimjia kwenye kichwa chake.