kali linux unaongelea mambo mazuri na makubwa sana kwa wanadamu. Ningependa kusikia zaidi kuhusu namna ya kuondokana na kukataliwa au kushindwa mara kwa mara katika jambo. Sitajali ukini DM kwa maelezo zaidi.
Exactly
Na hii ndio pekee njia ya haki ya kutajirisha mtu. Kumfanya mtu awe mkuuu kwelikweli (a great person)
Nisaidie..Ulipata mwalimu au nikusaidie?
Fear inasababishaDini zote zina impose fear,huwa nadhani dini ziliundwa ili kupunguza hii nguvu ndani yetu,waliotuletea dini Inawezekana hawakutaka kuwe na watu wengi wenye uwezo wa kutambua nguvu za asili
Tena sisi blacks ndio tumekumbatia dini inatulemaza sana
Exactly mkuu.. binadamu tumeumbwa na nguvu kubwa mnoo..mara nyingi iko dormant kutokana na life style yetu tangu udogoni...but tunaweza kuiamsha tukiamua.Dini zote zina impose fear,huwa nadhani dini ziliundwa ili kupunguza hii nguvu ndani yetu,waliotuletea dini Inawezekana hawakutaka kuwe na watu wengi wenye uwezo wa kutambua nguvu za asili
Tena sisi blacks ndio tumekumbatia dini inatulemaza sana
Shusha vitu mkuu tupo wengi tunapenda kujifunza vitu vipyaUlipata mwalimu au nikusaidie?
True datNahisi kujikonekti na hiyo energy lazima kutahusisha kanuni ya 'kwa haki kutowatenda wengine usiyotaka kutendewa na kuwatendea wengine unayopenda kutendewa na kutii lengo kuu la uwepo wetu.'
Mawazo yako maoni yako yasiwe ya kibinafsi ukiwaumiza wengine bali act kama vile unataka watu woote wafaidike na uwepo wako hapa duniani hiyo energy ni automatic utaiona maana naamini 'With great responsibility comes great powers' jay-millions
Mwanzoni haya maneno nilijua ni nothing but letters and stories. ila niliyaishi nikashangaa vitu vizuri tu vinanifuata.Exactly
Na hii ndio pekee njia ya haki ya kutajirisha mtu. Kumfanya mtu awe mkuuu kwelikweli (a great person)
Tumpe time , kuna kitu anakiandaakali linux hutaki kujibu maswali yetu smh
AiseTumpe time , kuna kitu anakiandaa
Shusha vitu mkuu tupo wengi tunapenda kujifunza vitu vipya
Mkuu mbona kimya ?
Tumpe time , kuna kitu anakiandaa
Makala nzuri Sana jitahidi utujuze basi tufahamu maana pia Nia nimoja la agizo tunloambiwa na hawa wanao jiita Aman of God. Tutafute yaliyofichwa sirini
Hiii naona kama inanihusu kabisa
Jamaa hujibu mbona