Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Ni kweli. Ninachooomba na Kutaka kupata ufahamu kuhusu mbinu ya:

Andiko la Urejesho Lisilo na Kikomo

Jinsi ya Kuvuna Nishati ya Anga na Ardhi

Jinsi ya Kutumia Kanuni za Anga

Kupanda Levo
 
Hili hata mimi nililiona,
Hii riwaya haikupaswa kabisa kuitwa ya Ujasusi hata kidogo. Yaani sio riwaya mbaya ila haina ujasusi wowote ule.

Ingeitwa SIMULIZI YA KIJINI, NIMDHANIA KAHABA KUMBE BIKRA
Tayari umeshapata TITLE, sasa endelea na hiyo yako tuone utafika EPISODE ya ngapi.

Tujifunze ku appreciate pale wenzetu wanapofanya jambo zuri katika jamii. Singano Jr ameweza kutuburudisha kwa miaka miwili sasa hapa JAMII FORUMS bila kuchoka ama kunung'unika. Hata kama ameitafsiri riwaya hii kutoka chanzo kingine, (na sidhani kama ilishakuwpo kwa lugha ya kiswahili hapo kabla) mimi namkubali kwa ubunifu, uvumilivu, kipaji na moyo mkuu kama wa GAIA 🤣 😬
 
The greatest Potential, Strength and Powers of Human being are hiden within us, Within our Mind"
Mkuu Singano, mara kwa mara Marehemu Sheikh Yahya Hussein katika vipindi vyake vya unajimu katika TV, radio na Magazeti alikuwa akisisitiza hiki unachosema. Hata hivyo, falsafa ya mafunzo yake ilikuwa kinyume na imani nyingi za kidini na hata kanunui za kawaida za maadili. Niliweza kumkubali baada ya kuona hali ya uongozi wa Taifa letu na kuisema itakavyokuwa baada ya kipindi fulani licha ya kutotamka bayana jina la Mwanamke aliyekuwa akimsema.

Ninaomba utuambie namna binaadamu anavyoweza kuamsha hizi potentials, strength and powers ili zimfae katika kupambana na mazingira yake.
 
Shukrani saaaana singanojr hakika umejua kukonga mioyo yetu mtani! Ubarikiwe saaana! Sasa twende kwa hamza
 
Mwamba Roma aka Hades ongea na miungu wenzako mambo yanatuzidia maji huku, mvua barabara zinakatika, aridhi zinatembea basi watuachie hata kidogo mambo yaendele
 
Good and clear
 
[emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji1635][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji3590][emoji1635][emoji1635]
 
[emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji23][emoji3590]
 
[emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji3590]
 
[emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji1635]
 
Hatariiii
 
Asante
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1635]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…