Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Ndio hapo Roma anapotuangusha yy yuko busy na michepuko watu wanataka kumtoa roho.
kinachompa jeuri ni kuwa hashindwi na kitu hata kitokee ghafla! Mambo yake mengi hayafanyi kwa mpango! Ila uzur at least anakuwa na historia nayo ndo maana mara nyingi ana shinda! Siku sauron anakapompa uchambuz uliokosewa ndo mwisho wa roma
 
kinachompa jeuri ni kuwa hashindwi na kitu hata kitokee ghafla! Mambo yake mengi hayafanyi kwa mpango! Ila uzur at least anakuwa na historia nayo ndo maana mara nyingi ana shinda! Siku sauron anakapompa uchambuz uliokosewa ndo mwisho wa roma
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].



uko makini sana.

Mimi kupitia hii simulizi nimegundua Moja Kwa Moja shetani ni mwanamke ama ana maumbo ya kike. Athena anataka ulimwengu umuabudi kama Mungu anayeonekana anafanya juu chini sayansi ishinde masuala ya Imani.

yote Kwa yote tunarudi kule kule kwamba Roma hayuko serious kabisa.

ila na kipande Cha Blandina kutaka kutolewa kafara na hao mafuremason kimeniumiza sana japo natumain mwanae kigundus ataenda iumkuja na kimnyanyua juu huyo rais wa Kenya na kumpa bonge la Buti huyu wa Tanzania.
 
Watu machambua story halafu mwishoni mnaomb episode, safi sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu tangu lini mwanamke akawa mtu? Angalia terminology "woman" means wo - come from the word _"who" halafu "man" means "mtu" so mwanamke means " mtu gani" sasa jiulize . Hapa dunian kuna kiumbe aina ya "mtu gan"?
 
Kesho weekend mambo mengi situlii
 
Roma ukitaka awe serious gusa usingizi wake [emoji1787]
 
Jiwe la Kimungu sio moja , Athena hajapata lenye Nafsi ya Gaia , nitajitahidi kupost mara kwa mara kwa wiki
 
Usirias wa ROMA pale tatizo linaptokea unanfanya nifikiri kwamba uenda azikufanyika juhudi zozote na hades wa zamani za kumjuza kwamba yeye roma ni nani haswa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…