Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,987
- 1,757
kinachompa jeuri ni kuwa hashindwi na kitu hata kitokee ghafla! Mambo yake mengi hayafanyi kwa mpango! Ila uzur at least anakuwa na historia nayo ndo maana mara nyingi ana shinda! Siku sauron anakapompa uchambuz uliokosewa ndo mwisho wa romaNdio hapo Roma anapotuangusha yy yuko busy na michepuko watu wanataka kumtoa roho.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].kinachompa jeuri ni kuwa hashindwi na kitu hata kitokee ghafla! Mambo yake mengi hayafanyi kwa mpango! Ila uzur at least anakuwa na historia nayo ndo maana mara nyingi ana shinda! Siku sauron anakapompa uchambuz uliokosewa ndo mwisho wa roma
Watu machambua story halafu mwishoni mnaomb episode, safi sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Itabidi SinganoJr atauongezee Episode zingine hii inabdi tuipate hata mara 5 kwa week...!! Shida yy hajui kuwa watu wanamuandaa kupiga na Jeshi la Illuminate ila wenziwe wanajua anakitu muhimu wanataka kumuondoa ktk uso wa dunia ila yy anapambana kuzilinda mbususa zake hasa ya Edina. Lkn The Don si keshapata jiwe la Kimungu kutoka kwa Roma? sasa mboma bado yuko nae Lesi sana?
Ila Mzee Kweka na chama lake bado halijajulikana mpango wao Siku The Don akiwatambua ni shida. SinganoJr huko uliko embu tupia hata kakipande tukimbize weekend.
Mkuu tangu lini mwanamke akawa mtu? Angalia terminology "woman" means wo - come from the word _"who" halafu "man" means "mtu" so mwanamke means " mtu gani" sasa jiulize . Hapa dunian kuna kiumbe aina ya "mtu gan"?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
uko makini sana.
Mimi kupitia hii simulizi nimegundua Moja Kwa Moja shetani ni mwanamke ama ana maumbo ya kike. Athena anataka ulimwengu umuabudi kama Mungu anayeonekana anafanya juu chini sayansi ishinde masuala ya Imani.
yote Kwa yote tunarudi kule kule kwamba Roma hayuko serious kabisa.
ila na kipande Cha Blandina kutaka kutolewa kafara na hao mafuremason kimeniumiza sana japo natumain mwanae kigundus ataenda iumkuja na kimnyanyua juu huyo rais wa Kenya na kumpa bonge la Buti huyu wa Tanzania.
Kesho weekend mambo mengi situliiHuyo bi mkubwa atakula beto la kafara tu! Mwamba yupo lushoto mtae anakula mapeasi tu huko! Labda kama bimkubwa atachukulia kibabe ndo the eagle waliopo dar watakinukisha! Ila ngoja tuachane na prediction tupeleke maombi kwa singanojr atuonee huruma jumapili hii hapo baadae
Roma ukitaka awe serious gusa usingizi wake [emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
uko makini sana.
Mimi kupitia hii simulizi nimegundua Moja Kwa Moja shetani ni mwanamke ama ana maumbo ya kike. Athena anataka ulimwengu umuabudi kama Mungu anayeonekana anafanya juu chini sayansi ishinde masuala ya Imani.
yote Kwa yote tunarudi kule kule kwamba Roma hayuko serious kabisa.
ila na kipande Cha Blandina kutaka kutolewa kafara na hao mafuremason kimeniumiza sana japo natumain mwanae kigundus ataenda iumkuja na kimnyanyua juu huyo rais wa Kenya na kumpa bonge la Buti huyu wa Tanzania.
Jiwe la Kimungu sio moja , Athena hajapata lenye Nafsi ya Gaia , nitajitahidi kupost mara kwa mara kwa wikiItabidi SinganoJr atauongezee Episode zingine hii inabdi tuipate hata mara 5 kwa week...!! Shida yy hajui kuwa watu wanamuandaa kupiga na Jeshi la Illuminate ila wenziwe wanajua anakitu muhimu wanataka kumuondoa ktk uso wa dunia ila yy anapambana kuzilinda mbususa zake hasa ya Edina. Lkn The Don si keshapata jiwe la Kimungu kutoka kwa Roma? sasa mboma bado yuko nae Lesi sana?
Ila Mzee Kweka na chama lake bado halijajulikana mpango wao Siku The Don akiwatambua ni shida. SinganoJr huko uliko embu tupia hata kakipande tukimbize weekend.
Jiwe la Kimungu sio moja , Athena hajapata lenye Nafsi ya Gaia , nitajitahidi kupost mara kwa mara kwa wiki
lile alilompora kule kigamboni ni jiwe lipi kamanda SinganoJr.?Jiwe la Kimungu sio moja , Athena hajapata lenye Nafsi ya Gaia , nitajitahidi kupost mara kwa mara kwa wiki
Mkuu nikiona kauli yako Kama hii napata hamu ya kununua bandoJiwe la Kimungu sio moja , Athena hajapata lenye Nafsi ya Gaia , nitajitahidi kupost mara kwa mara kwa wiki
Ila ya kumsapoti singanojr hauna! Au unadhan anatumia makamasi kupost humu? Ona basi aibu! Na post yako hii ya ki selfishMkuu nikiona kauli yako Kama hii napata hamu ya kununua bando
Kweli tumshike mkono mkuu singano jrIla ya kumsapoti singanojr hauna! Au unadhan anatumia makamasi kupost humu? Ona basi aibu! Na post yako hii ya ki selfish