Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

Umeruka vipande mkuu 33 na 34 umeweka 35 umeruka tena 36 ukaweka 37
Tutaelewaje ss matukio
 
Kongole sana mwandishi story ipo super kabisaa hadhi ya 5 star...lakin sehemu ya 3 na 4 sijaziona nimetoka ya 2 inafanayofata ya 5,.vp hapo?
 
Kongole sana mwandishi story ipo super kabisaa hadhi ya 5 star...lakin sehemu ya 3 na 4 sijaziona nimetoka ya 2 inafanayofata ya 5,.vp hapo?
Zipo zote mkuu angalia labda chini
 
Episode ya mwisho nimecheka sana mpaka machozi pale Hamza alipoingia chumbani kwa Regina kumpelekea sukari na kumkuta anavyokula kwa uroho na kujiuliza kimoyomoyo [emoji1787][emoji1787]
 
Tatizo lako ndugu yangu kule kwenye group tumelipia,ikitokea dharura tujulishe,unaweza kuahidi kesho unaleta,inakata wiki,halafu ukiweka hufidii,unauweka mbili zilezile,hututendei haki,huku kwa free ndio uwaletee hizo sio kule kwenye biashara
 
Tatizo lako ndugu yangu kule kwenye group tumelipia,ikitokea dharura tujulishe,unaweza kuahidi kesho unaleta,inakata wiki,halafu ukiweka hufidii,unauweka mbili zilezile,hututendei haki,huku kwa free ndio uwaletee hizo sio kule kwenye biashara
Mbn tunaharibiana ndugu
 
Tatizo lako ndugu yangu kule kwenye group tumelipia,ikitokea dharura tujulishe,unaweza kuahidi kesho unaleta,inakata wiki,halafu ukiweka hufidii,unauweka mbili zilezile,hututendei haki,huku kwa free ndio uwaletee hizo sio kule kwenye biashara
"Nilidhani Kahaba Kumbe Bikra" Ilitumia mwaka na miezi sita kwisha. Hii pia kwa Mwendo huu tunaweza fika 2026🤔
 
Ila hawa watunga hadithi mwisho watugongeee wake zetu,wanaringa sanaa.
 
Singano tumesoma vizur kule kwa roma hongera. Kule kwa roma umemaliza vizur hongera ingawa kuna segment hazikuelezewa illishaje,mfano mpango lado ukawaje,na huku kusiwe na tusegment twing mwisho tukasahau mana hapa matukio meng,mara huyu kiajana ni kama supernatural jins unavyoelezea ila alizaliwa na mama chizi huko songwe,na anaonesha kashazunguka dunia nzima kwa sabab gani? Anyway sisi tunataka kuona kachkua mtoto regina ndio tunataka.connection iwepo mzee ajulikane,tayari wahuska wamekua wengi,usiache connection, tujue
 
Nilikua naangalia story siielew elew hvi
Kumbe baadhi ya sehem hazipo
 
Back
Top Bottom