Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisKazi nzuri kaka 👍👏👏👏
Ila hamza anaonokana kama roma
Lini inaendelea.....?Zipo zote mkuu angalia labda chini
Regina...Ni Kama umechanganya mafaili mrembo 🤔Edna
Ni kweli bwana hhahahaRegina...Ni Kama umechanganya mafaili mrembo [emoji848]
Mbn tunaharibiana nduguTatizo lako ndugu yangu kule kwenye group tumelipia,ikitokea dharura tujulishe,unaweza kuahidi kesho unaleta,inakata wiki,halafu ukiweka hufidii,unauweka mbili zilezile,hututendei haki,huku kwa free ndio uwaletee hizo sio kule kwenye biashara
"Nilidhani Kahaba Kumbe Bikra" Ilitumia mwaka na miezi sita kwisha. Hii pia kwa Mwendo huu tunaweza fika 2026🤔Tatizo lako ndugu yangu kule kwenye group tumelipia,ikitokea dharura tujulishe,unaweza kuahidi kesho unaleta,inakata wiki,halafu ukiweka hufidii,unauweka mbili zilezile,hututendei haki,huku kwa free ndio uwaletee hizo sio kule kwenye biashara
co 2026 2 alisema hii ni ndefu zaidi ya hiyo so hapa mpaka 2030"Nilidhani Kahaba Kumbe Bikra" Ilitumia mwaka na miezi sita kwisha. Hii pia kwa Mwendo huu tunaweza fika 2026🤔
Mpaka muda ambao Chief Hengaya atakuwa amemaliza muhula wa pili 🤔co 2026 2 alisema hii ni ndefu zaidi ya hiyo so hapa mpaka 2030