the maxter
Member
- Mar 31, 2024
- 59
- 24
It's so sad to a president and her family membersHivyo ndivyo inavyo takiwa. Kazi ikiwa predictable sana Haina maana.
Unatakiwa kukutana na surprise ambazo hukuzitegemea.
Huo ulikuwa Moja ya mpango wangu wakati naiandaa. Nilijua kabisa kwamba kuna watu ambao mngetegemea wangemaliza mpaka mwisho lakini matarajio yanakuwa tofauti unavyozidi kwenda mbele.
[emoji91][emoji91][emoji91] simulizi inaupekee wake
Mheshimiwa aliyakanyagaIt's so sad to a president and her family members
Wahusika wakuu mbona wanaishaaaa.Mheshimiwa aliyakanyaga
🔥Kitu kinazidi kunoga
Nani na nani mkuu?Wahusika wakuu mbona wanaishaaaa.
Madam Raisi,Bilali na Agent no.1 ndio hivyo tena ana kesi ambayo hachomoki!Nani na nani mkuu?
Naongezea tyuMadam Raisi,Bilali na Agent no.1 ndio hivyo tena ana kesi ambayo hachomoki!
Mkuu weekend inaisha kiz3mbe sana ingefaa ukatusogeza mbele kidogo kwa max tuburudike make sio poaaNani na nani mkuu?
Mpaka sasa unavyo hisi staring ni nani?Madam Raisi,Bilali na Agent no.1 ndio hivyo tena ana kesi ambayo hachomoki!
Hao walitakiwa kutolewa sadaka 😁Naongezea tyu
Bilali na wenzake a.k.a 🐉 boys
Leo mapema sana [emoji872]Tunasubiri muendelezo...........................
Jana nilipotea kabisa mkuu. Nafidia leoMkuu weekend inaisha kiz3mbe sana ingefaa ukatusogeza mbele kidogo kwa max tuburudike make sio poaa
Itakuwa Max. Lakin nae ameumaliza mwendo mapema kisheriaMpaka sasa unavyo hisi staring ni nani?
001Mpaka sasa unavyo hisi staring ni nani?
Karibu mkuuNimesabskraibu