Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro


Duh, ama kweli JF ni shule
 
Mwaka jana kwenye safari ya Kili challenge ndio kuna mtu alifariki eeh?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu.
Watu wanaosumbuliwa na mafua mara kwa mara wakipanda hali ya hewa inayobadilika haitawasumbua?

Sent using Jamii Forums mobile app
Baridi na mafua nadhani siyo watu marafiki kabisa na kule baridi siyo la kuuliza na kwa sasa sijajua barafu inaanzia wapi maana unakutana na mvua ya barafu iyo barafu ikikugusa kwenye ngozi ni kama umegusa moto inachoma achana na hii barafu unayokutana nayo kwenye fridge haina makali sana ila kama unaweza kupanda ukiwa hauna mafua dats good

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…