Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Huu uzi nili subscribe Kabisaaaa kwa mara ya kwanza ulipoletwa hapa na kujiambia ntapanda na nitautafuta tena and I made it haikuwa rahisi Lakini tumefika , nijambo la kujivunia kwa kila mtanzania na asiye mtanzania
Machame route is the best [emoji307]
I love Kilimanjaro
I love Tanzania
Kiasi gani mlitumia ktk safari nzima?
 
Siku moja twende mimi na wewe achana na hao wafanya kazi wenzako.
Hongera mrembo, nina binamu yangu ameshapanda Kilimanjaro mara 2 kama si 3 ila anasema haina uzoefu unaweza kupanda mara nyingi na bado ukapata emergency ukadanji au ikabidi ushuke mlima na safari iishie hapo.

Huwa nawataniaga wafanyakazi wenzangu jamani tuchukue likizo ya pamoja twendeni tukapande Mlima Kilimanjaro... wanaishia kuniambia kama umechoka kula pizza tuache sie tupakatie pakacha zetu. Basi huwa nacheekaa.


Binafsi napenda sana kutembea na nilishapanda milima ya kawaida ya vijijini ikiwa ni njia ya kuelekea ninakofikia. Najiona namudu ila sijajipanga kupanda mlima wowote japo natamani.

Naishiaga kwenda Mbuga za wanyama nalala hoteli basi.

Hongera sana mamii.
 
Heaven on Earth kwenye baridi huwa si mzuka wa genye kupanda unakua speed 20

Vipi wewe umekaa kwenye ile mibarafu muda wote ule,hukuwa na mzuka kabisa

Hamnaga mahali umefika ukaona hapa angekuepo bebe angenikunjua mpk,maana panashawishi?

AU ukiwa kule ubongo haukumbuki upande wa pili wa shilingi kabisa,unawaza kifo tu?

Hiyo hamu hata haipo... Mimi sikuwazia kabisa mambo ya kugegedana.

Halafu kupanda sio mazoezi saaana na stamina pia ya mwili kuhimili mabadiliko ya hali ya hewa. Si waona yule mwarabu fighter hajafika kileleni na ubaunsa wake wote
 
Kila nikifikaga Marangu Forest huwa napata mzuka wa kupanda Kilimanjaro halafu unapotea. Nadhani mkipanda nyinyi inatosha. Kingine sijawahi kuona porter wa kike kwanini?
 
Mimi nilipanda 2003 wakati ule kuanzia mandara hapo hamuonani kwa ukungu kwa sababu ya baridi kali anyway nimeplan kwenda kupanda hadi kileleni enzi zile nilimpa kampani mchumba wa mama yangu mdogo(mzungu mzee) ambae vipimo vilionesha haruhusiwi kufika mbali kwa sababu ya umri wake.Kingine nilibahatika kuandika jina langu kwenye li mti limoja ambalo watu wengine waliacha machata
Hiyo hamu hata haipo... Mimi sikuwazia kabisa mambo ya kugegedana.

Halafu kupanda sio mazoezi saaana na stamina pia ya mwili kuhimili mabadiliko ya hali ya hewa. Si waona yule mwarabu fighter hajafika kileleni na ubaunsa wake wote
 
Fred jamani Fred naona ulipofika Zebra Rock FRED akakumbatia anyway just jokes vipi gharama ya kupanda ya safari nzima inaweza ikawa kama ngapi?
Hiyo hamu hata haipo... Mimi sikuwazia kabisa mambo ya kugegedana.

Halafu kupanda sio mazoezi saaana na stamina pia ya mwili kuhimili mabadiliko ya hali ya hewa. Si waona yule mwarabu fighter hajafika kileleni na ubaunsa wake wote
 
Siku moja twende mimi na wewe achana na hao wafanya kazi wenzako.

Woow!! I'd love it, tupange twende mie nnavopenda maadvencha eehehehee ila nikianza kukata pumzi ujiandae kunibeba si ujajua uzee tena heheheheee.

Kasinde Mahaba.
 
Back
Top Bottom