Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 2,025
- 1,270
Haina shida boss, inabidi tupange iwe mwezi gani?Mkuu namimi nina nia hiyo mpaka sasa. Sina kampani tu. Kwa nini tusiunganishe nguvu tutimize hili mkuu
Kama ulisoma hii thread tangu mwanzo ungekuwa umemuelewa, kwake yy hiyo ilihusisha gharama ya usafiri kutoka dar to moshi, gharama ya hotel, gears porters na vingineHmm.. Kumbe ni gharama asee
Ngoja nifanye cost approximation then tutajua mkuuKama ulisoma hii thread tangu mwanzo ungekuwa umemuelewa, kwake yy hiyo ilihusisha gharama ya usafiri kutoka dar to moshi, gharama ya hotel, gears porters na vingine
Ilikuwa lini hiiii...?Baadhi ya picha za uhuru peak , barafu hing camp,View attachment 1210173View attachment 1210175View attachment 1210176View attachment 1210177View attachment 1210178
mimi nimeona manyoya tuh.. .na aisifuye mvua...[emoji4]Hako ka Fred hakajakugegeda kabisa
Kiasi gani mlitumia ktk safari nzima?Huu uzi nili subscribe Kabisaaaa kwa mara ya kwanza ulipoletwa hapa na kujiambia ntapanda na nitautafuta tena and I made it haikuwa rahisi Lakini tumefika , nijambo la kujivunia kwa kila mtanzania na asiye mtanzania
Machame route is the best [emoji307]
I love Kilimanjaro
I love Tanzania
hahahahahaahah
Hongera mrembo, nina binamu yangu ameshapanda Kilimanjaro mara 2 kama si 3 ila anasema haina uzoefu unaweza kupanda mara nyingi na bado ukapata emergency ukadanji au ikabidi ushuke mlima na safari iishie hapo.
Huwa nawataniaga wafanyakazi wenzangu jamani tuchukue likizo ya pamoja twendeni tukapande Mlima Kilimanjaro... wanaishia kuniambia kama umechoka kula pizza tuache sie tupakatie pakacha zetu. Basi huwa nacheekaa.
Binafsi napenda sana kutembea na nilishapanda milima ya kawaida ya vijijini ikiwa ni njia ya kuelekea ninakofikia. Najiona namudu ila sijajipanga kupanda mlima wowote japo natamani.
Naishiaga kwenda Mbuga za wanyama nalala hoteli basi.
Hongera sana mamii.
Heaven on Earth kwenye baridi huwa si mzuka wa genye kupanda unakua speed 20
Vipi wewe umekaa kwenye ile mibarafu muda wote ule,hukuwa na mzuka kabisa
Hamnaga mahali umefika ukaona hapa angekuepo bebe angenikunjua mpk,maana panashawishi?
AU ukiwa kule ubongo haukumbuki upande wa pili wa shilingi kabisa,unawaza kifo tu?
Hiyo hamu hata haipo... Mimi sikuwazia kabisa mambo ya kugegedana.
Halafu kupanda sio mazoezi saaana na stamina pia ya mwili kuhimili mabadiliko ya hali ya hewa. Si waona yule mwarabu fighter hajafika kileleni na ubaunsa wake wote
Hiyo hamu hata haipo... Mimi sikuwazia kabisa mambo ya kugegedana.
Halafu kupanda sio mazoezi saaana na stamina pia ya mwili kuhimili mabadiliko ya hali ya hewa. Si waona yule mwarabu fighter hajafika kileleni na ubaunsa wake wote
Siku moja twende mimi na wewe achana na hao wafanya kazi wenzako.