Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Asante kwa simulizi nzuri....you seem to be a good writer.
Hongera sana kwa kufika "rooftop" ya Africa. Baada ya kusoma imeamsha ari yangu ya kutaka kupanda.
Karibu mwakani kushiriki Killy Marathon....
 
Kwangu mie huu ni uzi bora, huchoki kusoma. Mie siwezi kupanda umri umeenda sana.nilishindwa hata kupanda mapango ya KOLO. Naona ningeishia marangu getini.HONGERA SANA.
 
Baridi ya K'njaro si baridi hizi tumezoea za mwezi wa sita/saba...

Normally mwili unapokuwa subjected kwenye freezing temps kuna vitu vingi sana vinakuwa inactive including hamu ya mapenzi...

Kwa walioishi nchi/ukanda wa dunia unaopitia msimu wa baridi kali wanaweza wakawa mashahidi namna ambavyo mwili unavyokuwa kama mfu ukiwa kwenye baridi...
 
Nitakupa kifua changu six pack uegemee ukielemewa na nakuahidi mhelemeo ukikuzidi nitatafuta kichaka ambacho hakuna atakaetuona ili nikufanyie diagnosis ya mapafu. Ha ha ha Billie doctor wa mapenzi nipo.
Woow!! I'd love it, tupange twende mie nnavopenda maadvencha eehehehee ila nikianza kukata pumzi ujiandae kunibeba si ujajua uzee tena heheheheee.

Kasinde Mahaba.
 
Nitakupa kifua changu six pack uegemee ukielemewa na nakuahidi mhelemeo ukikuzidi nitatafuta kichaka ambacho hakuna atakaetuona ili nikufanyie diagnosis ya mapafu. Ha ha ha Billie doctor wa mapenzi nipo.


Toobaah.... Raha iliyojee kukwea mlima na dokta wa Mahaba....

Naanzaje kukataa sasa... Sina ujanja huo eeheheheeee.
 
Hiyo hamu hata haipo... Mimi sikuwazia kabisa mambo ya kugegedana.

Halafu kupanda sio mazoezi saaana na stamina pia ya mwili kuhimili mabadiliko ya hali ya hewa. Si waona yule mwarabu fighter hajafika kileleni na ubaunsa wake wote
Kumbe mpwa we we ni kipotable çha ukweli, yaani ni bebable kabisa.
 
1.Dada yangu hujasema mlitumia siku ngapi kufika juu.
2.Kuna pale mahali kwa mbele kidogo ya uhuru peak kuna lile shimo la volcano hamkuonyeshwa?
Sasa ushangae mfano mimi natoka mkoa wa Kilimanjaro asubuhi unaamka umefunga taulo unapiga mswaki unachungulia juu unaona dheluji ya mlima lakini hujawahi panda mlima sababu unaona kitu cha kawaida penye miti hakuna wajenzi.
You are so courageous woman kama umeolewa your husband must be lucky keep it up ni inbox
 
Hongera dear, Umenitamanisha kwakweli japo pia umenitisha sana, natamani kwenda. Nkipata group na nkajua gharama nitaenda
 
safi sana, nimesoma najiona kama niko napanda
 
Daaa,hongera sana yaani nimekuwa very emotional wakati nasoma hili bandiko,utafikiri ni mimi,hongera mkuu
 
Hivi humo njiani hamna wezi na vibaka?, kwanini kusiwe na helicopter zinazofika hadi Uhuru peak? Huko juu Uhuru peak kwanini kusijengwe hotel moja matata sana yenye vifaa maalumu vya joto?
Haitakuwa kupanda mlima sasa
 
Very inspiring, what a good writer you are! I climbed it when I was in secondary school in early 80s!
 
Hongera kwa darasa hasa kwa wale ambao hawajapanda mlima Kilmanjaro,kwa kuusikia mlima kilimanjaro unaweza ukaona ni kazi rahisi sana kuupanda huo mlima lakini kuna changamoto nyingi sana ambazo zinaweza kuchangia mtu asipande na kikubwa ni kwenye huduma ya uokoani ambayo kwa kweli Tanapa hawajawekeza vya kutosha.


Kazi kubwa ipo kuanzia Kibo Hut kwa wanaotumia njia ya Marangu,ukiweza kufika Gilmans point unakuwa na uwezekano mkubwa wa kufika Uhuru Peak maana hicho kigongo ni mwisho wa matatizo,kuna haja ya kila mtanzania kwa kile alichojaaliwa aweze kupanda japo mara moja kila baada ya miaka mitatu .


Ni aibu kubwa mzungu anakuuliza umewahi kupanda mlima Kilimanjaro ukamjibu sijawahi,hii ni aibu sana kwa kweli.
 
Asante jitahidi me niliwahi panda mlima meru kabla na cho ni kiama lol ila kupanda milima ni kumbukumbu nzuri sana maishani
Hongera sana kwa kuweza kupanda huo mlima mwenzio nikiamkaga asubuhi nikiona lile libarafu najiona nimeshaupanda halafu umepitia njia ngumu machame uko vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…