Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Kiasi gani mlitumia ktk safari nzima?
Garama nililipa 400$ kwa trip ukijumlisha na tip ili range 600$ kwa staff Porter at least 5$ per day kuna chef 10$ kuna guide 30$ kwa siku so mnajumlisha alafu unagawa kwa idadi yenu (tourist) maana kiukweli bila hawa jamaa hufiki mahali
Salute to the Porter's and all mountain staff hawa watu ni wanaume na nusu

Nb; nimejaribu kutoa ufafanuzi wa tip maana wanadai hawana salary za maana wanaishi kwa tip so ni kama desturi ila hata wewe ukiona kazi wanayo piga utaelewa
 
Aisee mm Moshi napapenda San nataka safari niende Kili Marathon
 
Twendeni
 
Inshallah, my cousin and I are scheduled to go Dec 28- Jan 2. I have been training and I am praying my body iniruhusu nifike mwisho. Otherwise, all this gear tumenunua, let a lone pesa za kupanda will be a real waste!!!
 
Mna bahati sana, wakati napanda, ile tumefika tuu kibo, ikaanza kuangika snow ya nguvu pamoja na mvua kubwa sana, siku ya summit barafu tulianza kuikanyaga nje ya vibanda vya kibo hadi kileleni ni barafu tupu. Binafsi nilipata changamoto ya kuumwa kichwa na kutapika, ilikuwa nikila chochote kile natapika, kuna wazungu nilikuwa nao room moja wakawa wananicheka tuu. Ila nilikomaa na kupanda ya mlima bila ya kula hadi níkatoboa maana sunrise ilinikuta nishafika uhuru peak
 
Hongera sana mkuu.
 
Inshallah, my cousin and I are scheduled to go Dec 28- Jan 2. I have been training and I am praying my body iniruhusu nifike mwisho. Otherwise, all this gear tumenunua, let a lone pesa za kupanda will be a real waste!!!
How was the challenge?
 
Inshallah, my cousin and I are scheduled to go Dec 28- Jan 2. I have been training and I am praying my body iniruhusu nifike mwisho. Otherwise, all this gear tumenunua, let a lone pesa za kupanda will be a real waste!!!
Tupe feedback
 
Inshallah, my cousin and I are scheduled to go Dec 28- Jan 2. I have been training and I am praying my body iniruhusu nifike mwisho. Otherwise, all this gear tumenunua, let a lone pesa za kupanda will be a real waste!!!
Ni gharama sana kununua vifaa, zaidi kuna vifaa ukishatumia kupandia mlima huwezi vitumia tena, ni bora ukakodisha tuu, kampuni niliyopata kwa gharama ya chini ya milioni moja walinipa vifaa, fee za KINAPA, chakula na usafiri wa kunitoa mjini na kunirudisha.
 
Kiukweli kabisa hamasa ya kupanda mlima Kilimanjaro niliipata baada ya kusoma thread hii. Na nilijihapiza lazima nije kupanda mlima bahati nzuri siku niliyoenda kileleni ilikuwa ni tarehe 01/01/2021 (siku ya mwaka). Changamoto za kupanda mlima zipo cha muhimu ni kuwa na nia utafika kileleni, ila ukiwa mfuata mkungo utaishia njiani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…