Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,333
- 5,292
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar es salaam kubwa au umemaanisha jiwe la magogoni?Ukitaka ufaidi, fuata taratibu zao tu, hata kama unajisikia bado una nguvu, usiongeze mwendo, nenda taraibu kwa kasi ile ile.
Tulipofika Lava Tower ndio tumbo lilianza kuvuruga na kukumbuka kwamba chakula kikiingia kinatakiwa kitoke kwenye mwili.
Vile vile siku ya mwisho inabidi kujitahidi kupata chakula cha kutosha, hata kama haujisikii kula na mara zote hamu ya kula inakosekana kabisa. Ile ni siku ngumu kuliko zote. Mnaanza safari saa tano usiku, mtafika kileleni kwenye saa mbili asubuhi (kutokana na ukubwa wa kundi lenu). Mkifika huko mnaanza kushuka hadi pale mlipolala, mnakula na kuanza safari ya kuja kulala kituo cha chini. Unaweza kuona siku nzima ni harakati tupu.
Lakini pamoja na shida zote, asikudanganye mtu, kileleni kuzuri sana. Ukifika unasahau shida na taabu zote. Nilichukua JIWE kule juu kama kumbu kumbu, lakini lile JIWE liko tofauti na Jiwe la Dar es Salaam.
Kwa mbongo kupanda mlima ni bei gani kulipia na gharama zingine ni zipi mkuu?Nakufatilia ana kwa ana. Nimepanda sana mlima since nimemaliza six. Kiingereza kilikua kinatoka kwenye meno yangu. Nikajichanganya na maguide, mmoja rasi akanichukua. Nilikua napiga sana pesa. Wazungu wakawa wanachukua namba zangu aisee, hadi leo sijawahi kwenda nje ya inchi ila itakua haikupangwa na Mungu kwa mimi kwenda nje ya nchi manake kila kitu kilikua nje nje, nikiwa kule mlimani nikapata taarifa nimepata chuo mlimani. Nikatoroka wazungu nikarudi chini(duniani) tangu siku hiyo sijawaza tena wazungu na niliposoma nawachukia wazungu hadi leo. Namshukuru Mungu maisha yangu safi na nawaona wazungu ni sawa tu na mimi kila kitu.
Ila mlima una maajabu sana. Nimepanda mara 11 nimefika kileleni mara nne ila sikuwahi hata siku moja kuacha kushangaaa kule juu, kila siku ni siku ya kushangaa achilia mbali msitu na yale mawe kuna barafu pale juuu zimejipanga kama maua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Sana ,kwa heshima hiyo hiyo nakuomba Sana uunganishe story yoote uweke mwanzo wa post maana nawasomea watoto wangu Sasa wanapata taabu kunielewa pls maWewe ni miongoni mwa watu wanaojifanya niendelee kuandika.. [emoji120][emoji120]
Sent from my iPhone using JamiiForums
utainjoy wap..Umenishawishi,
Next Xmas nitainjoy hukoo...
Nimekapenda kamwili kako!![emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana aisee!
Kabla sijafa lazima nipande Kilimanjaro!
Kumbe wewe ndio huyo dada mwenye nguo nyeusi alietupa mgongo?
Yeah.. SHAME ON YOUNajiskia aibu mpaka sasa mtanzania mimi on my middle twenties sijapanda KLM. Kila mwaka huwa najiapiza kupanda lakini nakosa kampani sometimes nakatishwa tamaa. Mkuu umenipa moto sana.
SHAME ON ME.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mrembo mimi naenda kupanda huo mlima soon asante kwa kunipa taarifa kabisa ila hujamalizia,,hivi huruhusiwi kupanda japo na wiski kwa ajili ya kukata baridi kimtindo.. au uwe na kipande cha Bang!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasubiri kwa hamu sana ili nijiandae kwa lolote kuwa katika kilele cha africa..Nitahadithia kisa cha Bangi tulipokua tunaenda Uhuru peak. hapo wewe ndio utaona kama uwe na kipande cha bangi ama vipi...
Sent from my iPhone using JamiiForums